Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANZANIA MPENDA SELFIE ASHTAKIWA KWA KUMTHALILISHA MHUDUMU WA NDEGE

Raia wa Tanzania mwenye umri wa miaka 42 anashikiliwa na Mahakama Kuu ya makosa ya jinai ya jiji la Dubai, Falme za Kiarabu kwa tuhuma za kumdhalilisha mhudumu wa kike wa Shirika la Ndege la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtanzania Mwingine Akamatwa kwa Kumtukana Rais Kupitia "WhatsApp"

  Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi,ambapo mtu  mwingine ameingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais kwenye mtandao wa WhatsApp.Mtuhumiwa huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti yua Leo Jumatano ya June 22,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kanali Lubinga: Aliyeandika Habari ya Kuibiwa Kifaru Atasimulia...

"WATASIMULIWA WAMESHUGHULIKIWAJE?"Msemaji wa Jeshi la ulinzi wa Wananchi wa Tanzania amesema aliyeandika habari kuwa Jeshi limeibiwa Kifaru atawasimulia waandishi wengine jinsi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhariri wa Gazeti la Dira na Mwandishi wake Wapandishwa Kortini

MAHAKAMA  ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewapandisha kizimbani, mhariri na mwandishi wa gazeti la Dira ya Mtanzania, Musa Mkama na Prince Newton kwa kosa moja la kuandika habari za uongo zilizoleta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERENI SANA HARUSI YENU ILINOGAA SANAA

Maharusi wakiingia ukumbini Mmenogaa sana maharusi Mungu awe nanyi ktk ndoa yenuKUONA PICHA ZAIDI BONYEZA HAPA MC DR CHENI BLOG

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Staili’ ya Ukawa ya kubandika karatasi mdomoni yabamba mitandaoni

Dar es Salaam. Picha za watu wa kada mbalimbali nchini wakiigiza ‘staili’ mpya ya wabunge wa Ukawa waliojibandika karatasi midomoni zenye ujumbe tofauti kuhusu haki ya uhuru wa Bunge wanayodai kuminywa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kitendo cha Watu Kumchangia Pesa Aliyemtukana Rais Chafika Bungeni...Mbunge...

June 21 2016 Mbunge wa Nchemba Juma Nkamia alisimama bungeni kuomba mwongozo wa bunge kujadili tukio la mtuhumiwa wa kesi ya kumtukana Rais Magufuli kuchangiwa fedha na watu kwa ajili kulipa fidia,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAKUZI WA MTANDAO WAFANIKIWA KUCHUKUA ACCOUNT YA PAH ONE

Kwa kipindi cha hivi karibuni mastaa wengi wamekuwa wakilalamika kuhusu kuchukulowa account zao za mitandao ya kijamii na wadakuzi.kundi la Pah One chini ya meneja wao Brown limechukuliwa account yao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZ:RAIS AMTEUA MREMA KATIKA UTEUZI WAKE HUU MPYA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa mamlaka aliyopewa amefanya uteuzi wa viongozi na watendaji wa taasisi mbalimbali za Serikali na pia amewapandisha vyeo maafisa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JARIBIO LA MAPINDUZI LAGONGA MWAMBA NCHINI UTURUKI WANAJESHI WAPANGA NJAMA...

Waziri Mkuu wa Uturuki, Binali Yildirim, ameelezea jaribio la mapinduzi la jana usiku, kuwa doa jeusi katika demokrasi ya Uturuki.Na kaimu mkuu wa jeshi la Uturuki, ametangaza kwenye televisheni,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jaribio la mapinduzi ya kijeshi limeshindwa-Erdogan

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amelihakikishia taifa kwamba yupo madarakani na kwamba jaribio la mapinduzi sasa limeshindwa.Milio ya bunduki na milipuko hata hivyo iliendelea kusikika katika mji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SNURA AFUNGUKA KUHUSU CHURA WAKE,ASEMA BADO ANASHIKILIWA

MKALI wa wimbo wa Chura, Snura Mushi ‘Majanga’ amesema bado wimbo wake umezuiliwa licha ya kupeleka muswada mpya unaoongoza video mpya ya wimbo huo.Snura aliwaambia waandishi wa habari visiwani hapa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gold Man auawa India

Datta PhugeYule mwanamume wa India anaependa kuvalia mrundo wa dhahabu hadi kubandikwa jina The Gold Man ameuawa.Mtu huyo kwa jina Datta Phuge aliwahi kununua shati mojawapo ghali zaidi duniani kwani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA NA MEDEAMA SC ZATOKA SARE 1-1 TAIFA JIONI HII

July 16 2016 ilikuwa ni zamu ya wawakilishi pekee wa Tanzania katika mashindano ya kimataifa klabu ya Dar es Salaam Young Africans kucheza mchezo wao wa tatu wa Kundi A wa Kombe la shirikisho barani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Harmonize adai aliwahi kuitiwa mwizi Kariakoo

Harmonize adai kuwa aliwahi kuitiwa mwizi maeneo ya Kariakoo wakati anafanya biashara ndogo ndogo.Muimbaji huyo wa lebo ya WCB hivi karibuni ameachia video ya wimbo wake mpya’ Matatizo’ ambao kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIZI NDIZO MBINU 8 MUHIMU SANA ZA KUMFANYA MSICHANA AKUPE NAMBA YA SIMU,BASI...

Mojawapo  ya kazi ngumu sana kwa mwanaume yoyote aliye kamilika ni kumtokea au kumtongoza msichana hadharani.Unakuwa unajaribu kumfanya mtu ambaye humjui sio tu kwamba akuone bali mfahamiane kwa undani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumapili...Julai 17,2016

 CHANZO-MILLARDAYO.COM

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBONZO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tume ya Vyuo Vikuu(TCU) yatoa Ufafanuzi Kuhusu Alama za Kudahiliwa Vyuoni

TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza utaratibu mpya kwa watahiniwa wa mwaka mpya wa masomo wa 2016/2017 wanaochukua shahada, huku wanafunzi wengi wakiwa hatarini kukosa nafasi kwa kukosa sifa...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live