Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

BREAKING NEWZZ:RAIS AMTEUA MREMA KATIKA UTEUZI WAKE HUU MPYA

$
0
0


RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa mamlaka aliyopewa amefanya uteuzi wa viongozi na watendaji wa taasisi mbalimbali za Serikali na pia amewapandisha vyeo maafisa wa Jeshi la Polisi Tanzania.

Katika uteuzi huo, Rais Magufuli amemteua Mwenyekiti wa Chama cha TLP Taifa, Mhe. Augustino Lyatonga Mrema kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Parole. Miezi kadha iliyopita Mrema alikaririwa na baadhi ya vyombo vya habari akimuomba Rais Magufuli ampe kazi yeyote kwenye serikali yake ili amsaidie kutumbua majipu.

                                PAROLE (1)
PAROLE (1)                                 PAROLE (2)PAROLE (2)PAROLE (4)

                 PAROLE (3)

PAROLE (4)




Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles