Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nchi 10 Zinazolipa Vizuri Mishahara Duniani...

Je, ulishawai kujiuliza nchi ambazo wafanyakazi wanalipwa mishahara ya juu? Hebu tuangalie nchi kumi ambazo wafanyakazi wanapata malipo makubwa ya kazi zao wanazofanya#10 UfaransaUfaransa ni nchi ya 7...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hawa Ndio Watu Wanaochukiwa Zaidi Duniani

1. WATU WEUSI.Hawa ndio wanaongoza kwa kuchukiwa na kubaguliwa zaidi duniani. Wanateswa na kunyanyaswa kila sehemu walipo. Ulaya, Marekani, Australia Arabuni, Mashariki ya Kati, Mashariki ya Mbali, na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtanzania Awekwa Bondi na kaka yake kisa Madawa ya kulevya huko India....

Mtanzania amuweka mdogo wake Bondi kwaajili ya Madawa ya kulevya huko INDIA sasa wenye mzigo wamecharuka wanataka pesa zao hali sio nzuri kabisa kwa mdogo mtu Haya ndio maneno yalio sikika akiyasema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli afanya uteuzi mwingine Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Longinus Kyaruzi Rutasitara kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA). Prof. Longinus Kyaruzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa za Jerry Muro Kuteuliwa Kuwa Msemaji Msaidizi wa Ikulu, Jerry Asema Haya

Ule ujumbe wa Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga, Jerry Muro kuwa ameteuliwa na Rais John Pombe Magufuli kuwa msemaji msaidizi wa Ikulu imezua gumzo kubwa.Ujumbe huo umesambaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto aliyewekewa ‘mashine’ kwenye moyo aanza mazoezi

Mtoto Happiness John Mkazi wa Seliani Arusha aliyefanyiwa upasuaji kwenye moyo na kupandikiziwa kifaa cha kusaidia kudhibiti mapigo ya moyo (pacemaker), ameanza mazoezi. Daktari Bingwa wa magonjwa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haji Manara Atoa ya Moyoni akiwa Safarini Kuelekea India kwaajili ya Matibabu

Ni wiki mbili kamili zitakazotimia leo majira ya saa nane usiku. Muda huo bila shaka nitakuwa katika  anga la dunia nikisafiri kuelekea New Delhi nchini  India kupitia Muscat Oman kwa ajili ya matibabu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

​Diamond Asherehekea Video ya Kidogo Kufikisha Views Milioni 1 Ndani ya Siku 4

Diamond Platnumz anasherehekea mafanikio ya video ya wimbo wake mpya, Kidogo.Ndani ya siku nne, video ya wimbo huo aliowashirikisha P-Square imefikisha views zaidi ya milioni moja kwenye mtandao wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAJESHI 2,839 WAKAMATWA BAADA YA JARIBIO LAO LA MAPINDUZI KUSHINDWA

Waziri Mkuu wa Uturuki Binali Yildirim amesema wanajeshi 2,839 wakiwemo maafisa wa ngazi za juu, wamekamatwa baada ya jaribio la mapinduzi lililozimwa.Miongoni mwa wanaoshikiliwa wamo majenerali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pichaz za Usiku wa utoaji wa tuzo za ZIFF kilivyohappen Zanzibar..

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR LEWIS MBONDE IT & BUSINESS CONSULTANCY BLOG...

                               CALL +255 658 194 194                 BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)             BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)                 ADSENSE (BLOGGER UJIPATIE KIPATO)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA Zikionyesha Jinsi Raia wa Uturuki Walivyowachapa Wanajeshi Baada ya...

Furious civilians attack soldiers who were involved in the coup attempt after they surrendered on Istanbul's landmark Bosphorous BridgeSoldiers involved in the coup attempt in Turkey surrender on...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mrema Afunguka: Asema Rais Magufuli Anaishi Kwenye Maneno Yake Hana Longo Longo

Mwenyekiti wa TLP Dkt. Augustino Lyatonga Mrema amesema Rais Dkt. John Magufuli anaishi kwenye maneno yake kwa kuwa mwaka jana alipofika kwenye jimbo la Vunjo aliwaambia wananchi wamchague Mrema na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IKULU IMEKANUSHA TAARIFA ZINAZOENEA MITANDAONI KUWA RAIS MAGUFULI AMEMTEUA...

Baada ya taarifa kuenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa Rais John Pombe Magufuli amemteua Jerry Murro ambaye alikuwa afisa habari wa Yanga kuwa msaidizi wa mawasiliano ya Rais Ikulu, kurugenzi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBONZO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMATATU TAREHE 18.07.2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

​Staa wa Pakistan Auawa na Kaka yake Aliyechukia Picha Alizokuwa Akiweka...

Qandeel Baloch, aliyekuwa miongoni mwa mastaa wa mitandao ya kijamii nchini Pakistan, ameuawa na kaka yake katika mji wa Multan uliopo kwenye jimbo la Punjab. Alidai amemuua dada yake kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyeongoza Jaribio la Mapinduzi Nchini Uturuki Akamatwa

Jenerali Erdal Ozturk (katikati) aliyekuwa kinara wa jaribio akiwa mikononi mwa wananchi.Jenerali Erdal Ozturk aliyekuwa kinara wa jaribio lililoshindikana la mapinduzi ya rais nchini Uturuki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu na Idris Sultam Wamwagana Rasmi

DAR ES SALAAM: Ubuyu wa motomoto wa mjini ni kwamba, zile mbwembwe zote za penzi la mastaa wawili Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Idris Sultan, zinadaiwa kufikia ukingoni na sasa imebaki stori...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAUL Makonda Afunguka na Kutolea Ufafanunuzi Kauli yake ya Kukamata Watu...

Jukumu la Ulinzi na Usalama kwa ngazi ya chini lipo chini ya Serikali za Mitaa baada ya Serikali Kuu kuhamishia madaraka yake huko likiratibiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ambaye...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live