CHID BENZ ASEMA HAYA JUU YA STAA DIAMOND PLATNUMZ KUTOBOA PUA
Baada ya miezi kadhaa kutoka sober, Chid Benz jana ameachia ngoma yake mpya iitwayo Chuma aliyomshirikisha mkali wa ngoma ya Natafuta Kiki, Rayvany,kwenye kipindi cha XXL, amesimulia kwa mara ya kwanza...
View ArticleSio kwa kujiamini huku…. huyu Mrembo anacheza na Simba sakafu moja na mpaka...
Tunajua kuna ile list ya Wanyama wakali duniani ambao Binadamu hawatakiwi kujisogeza au kucheza nao…. na ukisikia kuna Simba kaonekana mtaani najua hautotoka nje ila yeye huyu Mrembo kwenye Hifadhi...
View ArticleWema Afunguka baada ya Kuchoshwa na Majungu ya Watu
Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ameonesha kuchoka na maneno mbalimbali kutoka kwa watu hususani kwenye mitandao ya kijamii kiasi cha kuamua kutoa yake ya moyoni kwa watu wote ambao wamekuwa...
View ArticleNina Furaha Toka Nitoke CCM - Edward Lowassa
Lowassa kupitia ukurasa wake wa Facebook ameelezea furaha yake namna ambavyo ameimarika zaidi baada ya kujitoa ndani ya CCM hadi sasa ambapo ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.''Nina furaha kutimiza...
View ArticleKama Ulikuwa Unajiuliza Wanawake wa Mjini Wanaishije Bila Kazi na Huku...
Msichana akitaka PERUVIAN HAIR mpya walahahangaiki sana...Anaingia kwenye PHONEBOOK yakeanachagua Madanga yake 20 anayoyaamini kwambahayawezi kumuangusha...AnaCOMPOSE MesejiTamuuu ambayo kila danga...
View ArticleKoffi Olomide aachiwa huru kutoka jela baada ya kutumikia kifungo kwa siku 2
Koffi Olomide Alikamatwa Jumanne July 26 2016 nyumbani kwake Kinshasa kwa tuhuma za kumshambulia dancer wake wa kike wakati wakiwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyata Nairobi na baadaye ikawa...
View ArticleHaya Ndio Magari 15 ya thamani anayoyamiliki Floyd Mayweather
Floyd Mayweather ni bondia wa kimataifa anayetajwa kuwa mmoja wa mastaa wenye utajiri mkubwa duniani kupitia kazi yake ya ubondia, achilia mbali mataji makubwa aliyonayo, mwaka 2015 katika pambano lake...
View ArticleWalimu 4 wamvua nguo na kumchangia viboko binti wa Kidato cha IV Mbeya huku...
VITENDO vya ukatili wa kijinsia na dhuluma dhidi ya watoto wa kike vimekuwa vikishamiri kila siku pamoja na kuwepo kwa taasisi za kutetea haki za wanawake na kuanzishwa kwa madawati ya Kijinsia kwenye...
View ArticleKIJANA MWANZA MBARONI KWA KUMTUKANA RAIS MAGUFULI NDANI YA GARI
Mgomo wa daladala Jijini Mwanza umesababisha kijana mmoja Jijini humo kutamka lugha chafu ndani ya gari ambayo alipewa lifti limemsababishia kuishia mikononi kwa sheria.Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
View ArticleRais Magufuli Atoa ONYO Kali....."Mimi sijaribiwi, wasije kunijaribu....
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Julai, 2016 ameanza ziara ya siku nne katika mikoa ya Singida, Tabora, Shinyanga na Geita akitokea mkoani Dodoma, ambapo...
View ArticleVitu alivyoongea bilionea Mohammed Dewji katika mpango wake wa kuinunua Timu...
Kuelekea mkutano mkuu wa Simba unaotaraji kufanyika Jumapili ya Julai, 31, shabiki na mkeleketwa wa Simba ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Makampuni ya Mohammed Enterprises (MeTL Group),...
View ArticleProfessor Jay: Kutokujua kimombo si dhambi
Msanii wa muziki wa Hip Hop na mbunge wa Mikumi, Professor Jay amesema kuwa kutokujua Kiingereza siyo dhambi.Rapper huyo kwa sasa anakiki na wimbo wake mpya ‘Kazi Kazi’ aliomshirikisha msanii wa nyimbo...
View ArticleMWANAMUZIKI KOFFI OLOMIDE AKOSA DHAMANA AENDELEA KUSOTA LUPANGO
Juhudi za wanasheria wa Koffi Olomide kutaka apewe dhamana zimegonga mwamba Ijumaa hii.Kesi yake ilisikilizwa leo huko Kinshasa. Anashikiliwa kwenye gereza la Makala.“Ni aibu. Ni lazima afurahie haki...
View ArticleBilionea Mohamedi Dewji Atoa sababu kwanini hajanunua Ndege binafsi
Kama ni msomaji na mtumiaji mzuri wa mitandao hususani ya kijamii, basi utakuwa ushawahi kukutana na headlines za mtanzania katika jarida la Forbes, mtanzaniaMohammed Dewji ambaye amewahi kutajwa na...
View ArticleAjipiga Risasi Kichwani Akitafuta 'Selfie Ya Mwaka'..Tazama Ilivyokuwa
Ajipiga risasi akitafuta 'Selfie ya mwaka'Polisi India wamesema kuwa kijana mmoja amejipiga risasi kichwani kimakosa,akitafuta mbinu ya kujipiga picha ya ''selfie'' ya kipekee akiwa na bastola ya...
View ArticleSerikali kupiga mnada majengo ya wizara, atakayegoma kuhamia Dodoma...
Rais John Pombe Magufuli amesema azma ya serikali yake kuhamia Dodoma haraka iwezekanavyo ipo pale pale huku akiwaonya wale wataong’ang’ania kubaki Dar es Salaaam kuwa watakuwa wamejifukuzisha kazi...
View ArticleWOLPER ADAIWA KULEWA MBELE YA MAGUFULI
MSANII nyota wa fi lamu Bongo, Jacqueline Wolper hivi karibuni anadaiwa kuongea mbele ya Rais Dk John Magufuli akiwa bwii wakati alipopewa nafasi ya kuzungumza na wana-CCM mjini Dodoma baada ya...
View ArticleRAIS MUSEVENI WA UGANDA AWA GUMZO TENA MITANDAONI SASA ACHEZA MPIRA BARABARANI
Raisi wa Uganda Yoweri Museveni haishiwi vituko kila kukicha.Kutoka kupokea simu hadharani barabarani mpaka kucheza mpira kwenye barabara haya mambo yanachekesha na kufurahisha sana jamani.Mambo kama...
View ArticleTrafiki Wakusanya Milioni 320 Kwa Siku Nne DSM
Jeshi la Polisi Kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Dar es Salaam limekusanya shilingi milioni 320.2 ambapo fedha hizo ni kutokana na tozo za makosa ya usalama barabarani.Askari wa kikosi cha usalama...
View Article