Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

CHID BENZ ASEMA HAYA JUU YA STAA DIAMOND PLATNUMZ KUTOBOA PUA

$
0
0

Chidi-Benz na diamond
Baada ya miezi kadhaa kutoka sober, Chid Benz jana ameachia ngoma yake mpya iitwayo Chuma aliyomshirikisha mkali wa ngoma ya Natafuta Kiki, Rayvany,kwenye kipindi cha XXL, amesimulia kwa mara ya kwanza kumuona Diamond akiwa maetoboa pua.

Kama unakumbuka vizuri Diamond aliwahi kumuimba Chid Benz baada ya kutoboa pua kwenye ngoma aliyoimba na Nay Wa Mitego iitwayo ‘Muziki Gani’.
“Unajua sikuwa kwenye mitandao kwa muda mrefu kuna mtu alikuwa ananitumia vitu mbalimbali vinavyoendea hapa nchini, sasa alinitumia bila kuniandikia chochote, niifungua nikaangalia nikamwona Diamond lakini sikuichunguza sana, lakini baadaye akanimbia umemwona mdogo wako anaonekana anakupenda sana anakufuata kila kitu, nikamwambia mbona sijakuelewa anakiambia si umemwona katoboa pua? Ndio nikifungua nikaingalia vizuri nikaona katoboa”  Alisema Chid Benz.
Diamond843
“Sasa kuna siku nilimkuta ofisini nikamuuliza na wewe umetoboa pua? Akacheka akaniambia ametoboa” Aliongeza Chid Benz.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles