Frank Mwakajoka wa Chadema Aibuka mshindi ubunge jimbo la Tunduma
Frank Mwakajoka,Mgombea ubunge wa CHADEMA/UKAWA jimbo la Tunduma (mbeya) ametangazwa kuwa mshindi wa jimbo hilo.
View ArticleHaya Ndio Majimbo 49 Ambayo CCM imeshinda Kwa Kishindo
1. Chalinze- Ridhiwani J. Kikwete2. Kibaha Mjini- Sylvester Francis Koka3. Gairo-Ahmed Shabiby4. Mvomero-Suleiman Ahmed Saddiq5. Chemba- Juma Selemani Nkamia6. Bahi-Omar Ahmed Badwel7. Kibakwe-George...
View ArticleUpdate Za Matokeo Malimbali Ya Ubunge na Udiwani Zinapatikana Hapa....Karibu
Jimbo la Mbinga Vijijini Mgombea wa Ubunge kupitia CCM jimbo la Mbinga Vijijini Martin Msuha ameshinda na kutangazwa rasmi kuwa mbunge wa jimbo hiloJimbo la MonduliUbunge: Julius Kalanga (Chadema)...
View ArticleBreaking News:Maalim Seif Sharif Hamad Ajitangazia Ushindi wa Urais Zanzibar..
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, ameitisha mkutano wa waandishi wa habari na kusema kuwa baada ya chama chake kukusanya fomu zote za matokeo kutoka vituoni, yeye...
View ArticleMabomu ya Machozi Yarindima Zanzibar Kuwatawanya Wafuasi wa CUF Walioingia...
Hali ya Usalama Zanzibar sio nzuri, Polisi amelazimka kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa CUF walioingia barabarani kushangilia ushindi wa Maalim Seif Sharif Hamad...
View ArticleMeet The Handsome Young Man Who Has Been Eating HUDDAH MONROE …. He Is Rich Too
Huddah Monroe has finally revealed the identity of the man whose cars she has been flossing with on social media.The mysterious guy uses the handle @Romeoluuv and he is a sight to behold for ladies.See...
View ArticleCCM Waongea na Vyombo vya Habari.....Wamesema Hadi sasa Wameshinda Majimbo...
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wanachama, wapenzi na washabiki wake na kwa umma Watanzania.Tathmini ya Upigaji KuraKama tulivyoeleza jana, tumeridhishwa na amani na utulivu uliotawala katika...
View ArticleLowassa Kaongea na Vyombo vya Habari Mchana wa Leo.......Kasemaje?? Bofya Hapa
Nimewaita kueleza masikitiko yetu mawili haswa katika upande wa jeshi la Polisi. Tuna vijana wetu wanaofanya kazi za IT kwa kujitolea maeneo ya kinondoni na kijitonyama jumla ya vituo vitatu.Hawa...
View ArticleNEC Imetangaza Matokeo Katika Majimbo Mengine 10......Mpaka sasa Magufuli...
Tume ya taifa ya Uchaguzi imeendelea na zoezi la kutangaza matokeo ya Urais ambapo jioni hii imetoa matokeo ya majimbo mengine 10Majimbo hayo ni Bumbuli, Kibaha...
View ArticleMatokeo Rasmi ya Ubunge Kwa Majimbo 18 Mengine Yaliyokwishatangazwa Hivi Punde
Mheshimiwa Wiliam Lukuvi katetea kiti chake cha ubunge.Jimbo la Sumbawanga Mjini: Aeshi Hilaly wa CCM, ameshinda kwa jumla ya kura 41763, dhidi ya mpinzani wake wa karibu Ikuwo Malila wa Chadema,...
View ArticleCALL NOW +255 658 194 194 FOR I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION
BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)..................................... 45,000/=BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)........................25,000/=ADSENSE (BLOGGERS UJIPATIE...
View ArticleMawaziri watano chali
Ni Wasira, Kebwe, Kilango, Mwanry, Chiza na wabunge wengine kama Vicent Nyerere Mawaziri watano wa Serikali inayomaliza muda wake wameanguka kwenye uchaguzi majimboni mwao, sambamba na wagombea wengine...
View ArticleBREAKING NEWS:SAED KUBENEA ASHINDA UBUNGE JIMBO LA UBUNGO
Saed Kubenea ametangazwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo baada ya kuvuna kura 87,666 na kumwacha kwa mbali mpinzani wake ambaye alikuwa anashangilia toka jana kuwa ameshinda, Didas Masaburi aliyepata...
View ArticleLIVE: Matokeo Rasmi ya Urais kwa Mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi...
Tunawaletea matokeo rasmi kwa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yanavyotangazwa.Tembelea ukurasa huu mara kwa mara kwa updates zaidi...
View ArticleAugustine Mrema Ndio Basi Tena ..Mbatia atwaa Vunjo, Komu mshindi Moshi Vijijini
By auli Giliard/Louis Kolumbia, Mwananchi DigitalTume ya Uchaguzi (NEC) imemtangaza James Mbatia wa NCCR Mageuzi kuwa mbunge mteule wa jimbo la Vunjo huku kada wa Chadema, Anthony Komu naye akiibuka...
View ArticleInstagram waifungia akaunti ya Idris Sultan, aeleza kilichosababisha
Instagram imeifungia akaunti ya mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan.Idris ameimbia Bongo5 kuwa hatua hiyo imekuja baada ya kuvunja masharti ya mtandao huo.Amesema anadhani sababu za kufungikiwa kwa...
View ArticleParents, This is What your Daughters Were Doing over the Weekend, Shocking...
While majority of parents are busy warming up their beds, their daughters are wasting their lives in clubs in the name of partying and having a good time.The way they dress to these clubs leaves more...
View ArticleRead What Ne-Yo And Alicia Keys' Husband Said About Diamond Platnumz After...
American music star Ne-Yo has joined various international music celebs to congratulate Tanzania's Diamond Platnumz for his wining as best worldwide act: Africa/India at the 2015 MTV Europe Music...
View ArticleMabula Ashinda Ubunge Jimbo la Nyamagana..Amgaragaza Vibaya Ezekiel Wenje
By Louis Kolumbia/Sauli Giliard Mwananchi DigitalDar es Salaam. Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stanslaus Mabula ametangazwa mshindi wa mbio za ubunge katika jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza kwa...
View ArticleMkoa wa Kilimanjaro Wavunja Rekodi ......Majimbo 7 kati ya 9 Yanyakuliwa na...
Mkoa wa Kilimanjaro, umevunja rekodi ya uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995 baada ya upinzani kunyakua majimbo saba kati ya majimbo tisa. BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View Article