Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, tayari...

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, tayari amepiga kura yake kwenye Kituo cha Mtoni, Chumba Na. 13.Tofauti  na  ilivyokuwa  kwa  mgombea  Urais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari kutoka CCM Kuhusu Zoezi Zima La Kupiga Kura

CCM inafuatilia kwa karibu zoezi zima la uchaguzi kote nchini. Leo, tarehe 25.10.2015, saa kumi alasiri, CCM itafanya mkutano na waandishi wa habari. Hata hivyo, kabla ya hapo, tunapenda kuelezea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari Kutoka UKAWA Kuhusu Uchaguzi Unaoendelea-...

1. Hali ya vitisho vya jeshi la polisi na kamata kamata iliyoanza jana usiku hadi leo asubuhi. Wawaache wananchi watumie haki yao ya kikatiba kumchagua kiongozi wanayemtaka. 2. Suala la watu wenye kadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tuhuma za Kura FEKI Moshi na Pemba

Hii  imeripotiwa  kutokea  MoshiHii  imeripotiwa  kutokea  Pemba Chanzo:Mpekuzi blog

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vibanda vya Mama Lishe na Mitumba Vyachomwa Moto Mkoani Njombe......Polisi...

Moto ambao chanzo chake hakijajulikana hadi sasa umeteketeza baadhi ya mabanda ya mama lishe na mitumba karibu na kituo cha mabasi mkoani Njombe.Hata hivyo, kikosi cha Zimamoto mkoani humo kimefanikiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU YA KUMJUA MSHINDI WA URAIS NA SIKU YA KUAPISHWA HII HAPA

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jji Mstaafu, Damian Lubuva akizungumza na wanahabari juu ya mambo yahusuyo tume hiyo.TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema mshindi wa kiti cha urais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABOMU YA MACHOZI YARINDIMA MWANZA KUWATAWANYA WAFUASI WA CHADEMA WALIOINGIA...

Polisi mkoani Mwanza jana walitumia mabomu ya machozi kuwatawanya watu wanaoaminika kuwa wafuasi wa Chadema walioingia mitaani kushangilia wakiamini wagombea wao wanaongoza katika matokeo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 7 ZA UKUMBI UTAKAOTUMIWA NA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUTANGAZA MATOKEO...

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani amesema kuwa matokeo ya Raisi awamu ya kwanza yataanza kutangazwa LEO Jumatatu saa 4 asubuhi, saa 7 mchana na saa 10 jioni.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matokeo ya Awali Ya Uraisi kujulikana LEO saa Nne Asubuhi

Tume ya uchaguzi itatangaza matokeo ya Urais leo Saa Nne asubuhi, Saa Saba mchana na miwsho Saa Kumi jioni, hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Bw. Ramadhani....,.Stay tuned!!

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAID FELLA AIBUKA KIDEDEA UDIWANI KATA YA KILUNGULE MBAGALA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wagombea wa CHADEMA walioandika UPDATES za Uchaguzi Majimboni mwao kwenye...

Hawa ni baadhi yawagombea walioandika hali ya matokeo kwenye kurasa zao katika mitandao ya Kijamii;-Mh.Joshua Nasari wa Jimbo la Arumeru Mashariki yeye alikuwa anatetea Jimbo lake kaandika haya;-''Josh...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL NOW +255 658 194 194 FOR I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION

BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)..................................... 45,000/=BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)........................25,000/=ADSENSE (BLOGGERS UJIPATIE...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zanzibar: Vijana Wawili Wapigwa Risasi Na Vikosi Vya Usalama

Kutoka Hospitali ya Mnazi Mmoja, taarifa ni kwamba wamepokelewa watu watatu waliojeruhiwa, wawili kati yao wakiwa wamepigwa risasi ambapo mmoja tayari anafanyiwa operesheni baada ya risasi kupitia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HABARIKA BLOG INALETWA KWENU KWA UDHAMINI MKUBWA WA DR MNINDO

HABARIKA BLOG INALETWA KWENU KWA UDHAMINI MKUBWA WA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI NA MBADALA.ANAPATIKANA MOROGORO,MTAA WA MAZIMBU SOKONI KARIBU NA MAHAKAMA PIGA +255 717 344 281+255 765...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ESTA MATIKO AIBUKA KIDEDEA UBUNGE TARIME MJINI KUPITIA CHADEMA

Chanzo: ITV

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO NA HABARIKA BLOG BEI ZETU NI NAFUU SANA

HABARIKA  BLOG Audience: Readers of our blog 1,189,147DemographicsThe targeted audience is aged between 18 and AboveHabarika blog is read in 130+ countries, but the targeted audience are the residence...

View Article

Matokeo rasmi ya Urais majimbo mengine mawili ya Malindi na Kwahani kutoka ZEC

Matokeo rasmi ya Urais majimbo mengine mawili ya Malindi na Kwahani kutoka ZECJimbo la MalindiACT - 4TADEA - 3ADC - 10FP - 6CCK - 3CCM - 2,334CHAUMA - 7CUF - 5,667MAKINI - 3JAHAZI -2NRA - 0TLP - 1SAU -...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Swizz Beatz ampongeza Diamond kwa kumuita ‘King’ baada ya kushinda tuzo za...

Diamond ameutafuna mfupa uliowashinda wengi.Hakuna msanii yeyote kutoka Afrika Mashariki, Magharibi na Kusini aliyewahi kushinda kipengele cha Worldwide Act, Africa/India kwenye tuzo za MTV EMA....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS : MAGUFULI AONGOZA MATOKEO YA AWALI..YAONE HAPA -

Tume  ya  Taifa  ya  Uchaguzi  imeanza  zoezi  la  kutangaza  Matokeo  ya  Urais  ambapo  mpaka  sasa  majimbo  matatu  yametangazwa.  Majimbo  Yaliyotangazwa  ni  Jimbo  la  Makunduchi,Pache  na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchumba wa Jack Wolper Wavunjika

ULE uchumba wa mwigizaji Jacqueiline Wolper na Mkongo ambao ulipamba vyombo vya habari kwa miezi kadhaa iliyopita, hatimaye umevunjika rasmi huku daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live