Updates Za Matokeo Malimbali Ya Ubunge na Udiwani Hizi Hapa....Karibu Sana...
Tunawaletea matokeo rasmi kwa nafasi ya Ubunge kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yanavyotangazwa na Wakurugenzi wenye dhamana hiyoTembelea Habarika Blog mara kwa mara kwa updates...
View ArticleBREAKING NEWZZ:HALIMA MDEE AIBUKA MSHINDI UBUNGE JIMBO LA KAWE
Mbunge mteule wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee;ALIYEKUWA mgombea wa Ubunge Jimbo la Ubungo Halima James Mdee ametangazwa kuwa ndiye Mbunge mteule wa Jimbo hilo baada ya Kumshinda mgombea wa CCM, Kipi...
View ArticleFloyd Mayweather atumia $3,498,000 kununua Bugatti Veyron Grand Sport
Bondia mwenye rekodi ya kutopigwa Floyd Mayweather bado jina lake linatumika kupamba headlines mbalimbali katika mitandao mbalimbali duniani. Stori kutoka kwa promota wa bondia huyo zilizotoka October...
View ArticleBatuli, Wema Hawaivi Tena!
Mwisho wa reli? Urafiki wa mastaa wawili wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu na Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ unadaiwa kupoteza mwelekeo baada ya wawili hao kusemekana hawaivi tena kama ilkivyokuwa huko nyuma...
View ArticleBAADA YA DIAMOND KUCHUKUA TUZO YA MTV DAVIDO,NEYO WANENA HAYA
BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDISHARE
View ArticleABDALLAH MTOLEA WA CUF AMNG'OA MTEMVU UBUNGE JIMBO LA TEMEKE
Jimbo la Temeke: Abdallah Mtolea wa CUF, ameshinda kwa jumla ya kura 103231 dhidi ya mpinzani wake wa karibu Abas Mtemvu, aliyepata kura 97555Mkoani Rukwa katika Jimbo la Kalambo: Kandege Sinkamba...
View ArticleManeno ya mchekeshaji Kingwendu baada ya kushindwa Ubunge Kisarawe
Mwigizaji Kingwendu ni miongoni mwa mastaa wa Tanzania ambao walichukua headlines za kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu 2015 ambapo wengine ni pamoja na Afande Sele, Professor Jay na Mwigizaji...
View ArticleTULINDE AMANI TUNAPOENDELEA KUPOKEA MATOKEO.
Ndugu watanzania wenzetu, tunapenda kuwapongeza kwa kumaliza mchakato wa kampeni za vyama vya siasa na wagombea kwa amani na utulivu. Vile vile tunawapongeza kwa kupiga kura kwa kwa amani na utulivu,...
View ArticleCCM YALAANI MAALIM SEIF NA CUF KUTANGAZA USHINDI
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimelaani vikali kitendo cha Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF) kujitangaza mshindi kinyume na sheria ya Uchaguzi huku ikiishangaa Tume ya Uchaguzi...
View ArticleHABARIKA BLOG INALETWA KWENU KWA UDHAMINI MKUBWA WA DR MNINDO NI MTAALAMU...
HABARIKA BLOG INALETWA KWENU KWA UDHAMINI MKUBWA WA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI NA MBADALA.ANAPATIKANA MOROGORO,MTAA WA MAFISA KARIBU NA KANISA LA KAKOBE PIGA +255 717 344 281+255 765...
View ArticleWEMA SEPETU AAMUA KUWACHAFUA VIONGOZI HAWA KUPITIA INSTAGRAM
Mwana Dada Mlimbwende wa Bongo Muvi kwa jina Wema Issack Sepetu ametumia akaunti yake ya Instagram kufikisha Ujumbe kwa Watanzania kwa njia ya picha ambayo ina maelezo matatu.Nisinge penda Kuongeza...
View ArticleCALL NOW +255 658 194 194 FOR I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION
BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)..................................... 45,000/=BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)........................25,000/=ADSENSE (BLOGGERS UJIPATIE...
View ArticleKafulila aandika ujumbe mzito kwenda kwa Tume ya Uchaguzi
"TUME INATAKA KUNIHUJUMU KIGOMA KUSINI.Kwanza Mkuu wa Mkoa Kigoma Kanali Issa Machibya na Mkuu wa Wilaya Mrisho Gambo walifanya kampeni kubwa na vitisho kwa wananchi wakitumia polisi.Pamoja na hujuma...
View ArticleBREAKING NEWZZ: PROFESA JAY ASHINDA UBUNGE JIMBO LA MIKUMI
Joseph Haule (Mbunge mteule Jimbo La Mikumi)MATOKEO HAYA NI KWANUJIBU WA AKAUNTI YA UCHAGUZI MKUU YA TWITTERMatokeo ya Urais, Magomeni(Zanzibar) Kura: 9,772 @MagufuliJP (CCM):5,716 @edwardlowassatz...
View ArticleUN TANZANIA STATEMENT ON TANZANIA GENERAL ELECTIONS 2015
UN Resident Coordinator, Alvaro Rodriguez.Dar es Salaam, 29 October 2015: The United Nations is following very closely the Tanzanian general elections of 25 October and congratulates the president...
View ArticleMAGAZETI YA LEO TANZANIA IJUMAA,OKTOBA 30,2015-UDAKU,MICHEZO NA HARD NEWS
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . chanzo-Millardayo.com
View ArticleVyama 6 Yyamtaka Mwenyekiti ZEC Ajiuzulu......Maalim Seif atoa Wito kwa Rais...
Mgombea wa Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amemuomba Rais Jakaya Kikwete na Rais Ali Mohamed Shein kubeba dhamana ya uongozi katika siku hizi chache zilizobaki za uongozi wao kwa kusimamia...
View ArticleHABARIKA BLOG INALETWA KWENU KWA UDHAMINI MKUBWA WA DR MNINDO NI MTAALAMU...
HABARIKA BLOG INALETWA KWENU KWA UDHAMINI MKUBWA WA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI NA MBADALA.ANAPATIKANA MOROGORO,MTAA WA MAFISA KARIBU NA KANISA LA KAKOBE PIGA +255 717 344 281+255 765...
View ArticleRais Kikwete Alivyomkaribisha Kumpongeza Dk. Magufuli Baada ya Matokeo ya...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli wakifurahia matokeo mara baada ya Mwenyekiti wa...
View ArticleKARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO NA HABARIKA BLOG BEI ZETU NI NAFUU SANA
HABARIKA BLOG Audience: Readers of our blog 1,205,170DemographicsThe targeted audience is aged between 18 and AboveHabarika blog is read in 130+ countries, but the targeted audience are the residence...
View Article