Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumatano ya Septemba 7,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIBONZO VYA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PESA ZAWATIA UCHIZI WAREMBO HAWA WABONGO,WAWA JAMVI LA WAGENI

NDANI ya tasnia ya burudani Bongo, kwa sasa imevamiwa na wingi wa wasanii, wauza sura na wanamitindo wapya ambao wamejipatia umaarufu ndani ya muda mfupi hasa kutokana na kukua kwa kasi kwa mitandao ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NDO MJENGO MKUBWA KULIKO YOTE DUNIANI

Erranean village.Chinese officials have declared the building the world’s largest freestanding building and it took about 3 years for the construction to complete.An artificial sun is built inside the...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA BUNGENI DODOMA

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Harrison Mwakyembe akiwaeleza jambo Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (Kushoto) Mhe. Ruth Mollel na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Christian Bella: Rais Magufuli ananikubali mpaka basi!

Christian Bella ameungana na Mrisho Mpoto kwenye orodha ya wasanii waliopo kwenye playlist ya Rais Dkt John Pombe Magufuli.Akiongea kwenye kipindi cha Bongo Beatz cha Star TV, Bella alisema Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Juma Nature amlaumu TID, ni baada ya kumuokota KR akiwa amelewa chakari

Msanii wa muziki na kiongozi wa Kundi la TMK Wanaume Family, Juma Nature amemtupia lawama mkurugenzi mkuu wa Rada Entertainment TID kwa tuhuma za kumuaribu KR Muller.KR ambaye zamani alikuwa katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyetaka Kupindua Ikulu Afikishwa Mahakamani Kisutu Aliyetaka Kupindua Ikulu...

Aliyetaka Kupindua Ikulu Afikishwa Mahakamani Kisutu

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majina ya Watu 4 Matajiri zaidi Tanzania

 Uchumi mkubwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unategemea zaidi kilimo kwa takriban asilimia 25 ya GDP na asilimia 85 Exports. Aidha, Tanzania ina madini kama dhahabu, almasi, makaa yam awe,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Alhamisi ya Septemba 8,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC PAUL MAKONDA AKANUSA KUTUMA ASKARI KUKAMATA WATU WANAOLALA MCHANA GUEST HOUSE

Akihojiwa kwenye kipindi cha Pb Clouds amesema hajawahi kutoa maagizo kama hayo, kinachofanyika ni Umbeya umbeya tu."Mimi kama Mwenyekiti wa ulinzi Na usalama siwezi kutoa maagizo kama haya, kuna watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Show za Mr Blue Fiesta Wengi Wadai Ndio Msanii Bora wa Tanzania Kwa Sasa.....

Kwa mujibu wa Mrisho Mpoto, Harry Sameer, wamjua zaidi kama Mr Blue, anastahili kuwa msanii bora Tanzania.Mpoto alidiriki kusema hivyo baada ya kushuhudia show ya hitmaker huyo wa ‘Mboga Saba’...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mr Blue, Barakah Da’ Prince Wapatana

BAADA ya kutibuana kisa kikiwa Naj, hatimaye wakali wa Bongo Fleva, Mr Blue na Barakah Da’ Prince wameamua kuwa kitu kimoja.Wawili hao walipatana saa chache kabla ya kufanyika Tamasha la Fiesta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMANDA SIRRO AWATOA HOFU WANAPANGAJI WA NYUMBA ZA WAGENI JIJINI DAR

Kamishna wa Polisi Kanda Maalum Dar Es Salaam anatoa rai kwa wakazi wa Jiji la Dar Es salaam na wageni wanaoingia jijini wakitokea mikoani  kupuuza  taarifa za sauti  zinazozagaa katika mitandao ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Profesa Lipumba Asema Hana mpango wa kuhama CUF wala kuanzisha chama Kingine,...

Aliyekuwa mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema hana mpango wa kuhamia chama chochote.Aidha amesema hana mpango wa kuanzisha chama chake kwa kuwa yeye bado ni Mwenyekiti halali wa CUF kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakonta Kapunda, Binti Aliyekuwa Akiandika Kwa ulimi, Apata Kifaa cha Kisasa

Wakonta alipata ajali siku ya mahafali yake ya kidato cha sita miaka minne iliyopita. Ajali hiyo ilimuacha akiwa amepooza kwanzia shingoni kushuka chini na kumfanya kutoweza kutumia mkonoWiki kadhaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatimaye Mtatiro ‘Amchana’ Prof. Lipumba, Amuita ni Jemedari Aliyekimbia Vita

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF, Julius Mtatiro amesema aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba amekiacha chama kwenye wakati mgumu baada ya kujiuzulu wakati wa Uchaguzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Ray C Aonyesha Muonekano Wake Mpya

Msanii wa muziki Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameonyesha picha yake ya kwanza toka asaidiwe na jeshi la polisi miezi michache iliyopita baada ya kudaiwa kuzidiwa na matumizi ya Madawa ya kulevya.Jumatano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aunty Ezekiel Afunguka Sababu ya Yeye Kujiachia Enzi Zile

Nyota wa filamu nchini Aunty Ezekiel amefunguka kuwa kipindi cha nyuma kabla ya kuwa na mahusiano na Mose Iyobo na kabla ya kupata mtoto alikuwa akijiachia sana kwa lengo la kutafuta kiki na wala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI MBAYA IMETOKEA JANA ENEO LA PALM BEACH DAR

Kuna ajali imetokea eneo la Palm Beach muda wa saa 12:15 asubuhi ya leo Alhamisi gari aina ya Altezza au Subaru limeharibika vibya maana likiwa vipande vipande kutokana na kugonga nguzo ya taa za...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live