Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Washuhudia Majambazi Yakitwangana Risasi.......Zakamatwa Shehena za...

WATU watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wa kutumia silaha, ambao wamehusika kufanya matukio mbalimbali ya kihalifu katika mkoa wa Dar es Salaam, wameuawa na majambazi wenzao katika eneo la Vikindu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara ya Elimu Yawaasa Vijana Kutumia Elimu Kujiajiri

Na Jacquiline Mrisho-MaelezoSERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi imewaasa vijana waliomaliza shule kuacha kujibetweka bali watumie elimu waliyoipata kujitafutia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAKWATA yatangaza siku ya Sikukuu ya Eid ya kuchinja

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Tanzania Jumanne ya Septemba 6,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACT- Wazalendo watoa ufafanusi Kuhusu Taarifa ya Profesa Lipumba Kujiunga na...

Baada ya kumalizika kikao cha kamati kuu ya Chama cha ACT Wazalendo kilichofanyika leo septemba 05/2016 jijini Dar esSalaamKesho Jumanne Septemba 06/2016,Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo watakutana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema: Nitalipa Pesa Matibabu ya Baba diamond

Kwa kuonesha hana kinyongo na ex bf wake Wema sepetu amesema kuwa atapigana kufa na kupona mpaka pale hali ya baba yake diamond itakapo tengemaa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA MATUKIO MBALIMBALI BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Baadhi ya Wabunge wakielekea katika ukumbi wa bunge kuhudhuria mkutano wa nne(4) wa bunge la kumi na moja (11) la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma.BONYEZA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZAZI FEKI WA MWANAFUNZI ACHALAZWA BAKORA NA WALIMU

Mwanza: Walimu wacharuka, wamtandika mama feki baada ya mwanafunzi kuambiwa alete mzazi akaenda kukodi mama. Mama feki alipohojiwa maswali kuhusu mwanae hana analoelewa ndipo walipo amua kutafuta namba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIBONZO VYA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND Platnumz Awashangaza Mashabiki Wake Tena Kwa Kuimba "Remix ya All The...

Diamond Platnumz amejiongezea aka zingine mpya, Jini na Vampire. Jumatatu hii aliachia kipande cha verse kwenye hit single ya Remy Ma na Fat Joe ‘All The Way Up’ kilichoyakuna masikio ya mashabiki wake.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fella Agonga Mwamba Kumrudisha Kundini Juma Nature..Asema Haya

Mkurugenzi wa Yamoto Band na TMK Wanaume Family, Mkubwa Fella ameonekana kugonga mwamba juhudi zake za kutaka kurudisha mahusiano yake ya kazi na msanii wake wa zamani wa Kundi la TMK Family, Juma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Janga Kubwa Linalowatafuna Wasomi Wengi Tanzania ni Kutegemea vyeti Kama...

Janga kubwa linalowatafuna wasomi wengi ni kutegemea vyeti kama mkombozi wao kiuchumi; badala ya kutegemea uwezo wao kiakili. Ndio maana wakikosa ajira wanachanganyikiwa na wakiwa ajirani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOP 10 ya wanasoka wanaolipwa mkwanja mrefu

Mtu wangu wa nguvu najua unajua kwamba mchezo wa soka ndio mchezo maarufu zaidi, kama ambavyo ulivyo maarufu na kupendwa na watu wengi ni kawaida kuona wanasoka pia wakilipwa pesa nyingi katika vilabu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madawa ya Kulevya Yadaiwa Kummaliza KR Muller wa Wachuja Nafaka na TMK Family

Msanii Mkongwe wa Bongo Fleva ambaye kwa sasa anajitambulisha kama Rais wa Rader Enteternment rapper KR Muller alimuambia msanii mwenzake mkongwe Juma Nature amuache kwanza afanye mambo yake Kisa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA SEPETU AMPONGEZA SHAMSA FORD KWA KUFUNGA NDOA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya spika Job Ndugai kuhusu Rais Magufuli kupitisha miswada mitano

Na Eleuteri Mangi-MaelezoRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameridhia na kusaini Miswada mitano kutumika kama Sheria kamili za nchi.Hayo yamesemwa na Spika wa Bunge la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hali ya soko la filamu za Bongo ni tete

 Hali ya soko la filamu za Bongo ni tete, na hakuna mwenye uthubutu wa kutamba tena hadharani kuwa eti sinema za kibongo zinalipa. Je, nani wa kuiokoa Bongo Muvi? Tutajie muigizaji mmoja tu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO HAPA BEI TSH 3,000/= KWA SIKU

LEWIS MBONDE BLOG Audience: Readers of our blog 1,719,291TUNAPOKEA MATANGAZO MBALIMBALI YA BIASHARA MADOGO NA MAKUBWA BEI ZETU NI MOJA TU NI TSH 3,000/= KWA SIKU.TUNAPOST KWENYE BLOG NA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hawa ni mastaa wa US waliodai wataihama nchi hiyo Donald Trump akishinda Urais

Orodha kubwa ya mastaa wa Marekani imeapa kuihama nchi hiyo iwapo Donald Trump atashinda uchaguzi na kuwa rais.Iwapo mgombea huyo wa chama cha Republican akishinda, mastaa kama Jon Stewart, Cher,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yaendelea Kutatua Changamoto Mbalimbali Za Wananchi

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live