Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIBONZO VYA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diddy aongoza tena orodha ya mastaa wa Hip Hop matajiri Duniani

Forbes wametoa orodha mpya ya mastaa was Hip Hop matajiri zaidi duniani. Bosi wa lebo ya Bad Boy, Diddy bado anaendelea kuongoza orodha hiyo kwa kuingiza kiasi cha dola milioni 62 katika kipindi cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZ : MSAFARA WA MAKAMU WA RAIS WAPATA AJALI MTWARA

Msafara wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Mama Samia Suluhu Hassan ambao ulikuwa unaelekea Wilayani Tandahimba ukitokea Ikulu ndogo ya Rais ,mkoani Mtwara, umepata ajali na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Operesheni Dadapoa, Kakapoa Dar es Salaam Yashika Kasi

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema linafanya operesheni ya kuwakamata wamiliki wa nyumba za kulala wageni wanaofanya biashara kinyume cha sheria.Taarifa iliyotolewa na Kamishna wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama Wema Afunguka kuhusu Beef yake na Man Fongo

NI Mama Wema Sepetu ambae ameingia kwenye headlines mitandaoni baada ya kutofautiana na mkali wa nyimbo za singeli, Man Fongo.Sasa hapa tumefanikiwa kuipata video ikionesha Mama Wema akieleza tofauti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mambo 10 Ambayo Mwanaume Hupenda Kusikia Toka Kwa Mpenzi Wake

10. Kukosolewa – “I think you are wrong”Wanaume wanaweza kujikweza sana lakini daima hawachukii kurekebishwa. Wanachojali zaidi ni jinsi gani au njia gani imetumika kuwarekebisha. Mwanaume akikosea,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Familia ya bilionea Msuya yataka usimamizi wa mirathi

Na JANETH MUSHI, ARUSHAWAKATI mke wa marehemu bilionea Erasto Msuya, Miriam Msuya akisota rumande kwa tuhuma za mauaji ya wifi yake, Aneth Msuya, wanafamilia ya bilionea huyo wamefungua kesi katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shilole Atoboa Siri ya Kupenda Vijana Wadogo

Mwanamuziki wa Bongo flava ambaye ana vimbwanga kila siku kwenye mitandao ya kijamii kwa skendo ya kutoka na vijana walio chini ya umri wake amefunguka na kusema asipangiwe ni nani wa kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diva adai hamjui Ruby ‘Simjui na sijawahi kumsikia’

Mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, Loveness Malinzi ‘Diva’ ambaye haishi vimbwanga, Alhamisi hii amefunguka kwa kudai kuwa hamjui msanii, Ruby ambaye aliwai kufanya vizuri na wimbo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mambo 3 mjasiriamali mdogo wa Tanzania anaweza kujifunza kutoka kwa Kanye West

Kanye West si ni rapper wa Marekani, ana uhusiano gani na mjasiriamali wa Tandahimba? Ni swali ambalo huenda umejiuliza uliposoma tu kichwa cha habari.Ni kweli, Kanye West ni rapper mmoja tu hivi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya ndio maisha ya Harmonize na Wopler, wanaishi kama familia

Wapenzi wawili Harmonize pamoja na Jacqueline Wolper wanaendelea kuuonyesha umma jinsi wanavyopendana.Wawili hao Alhamisi hii walienda shopping pamoja na kufanya manunuzi ya vitu mbalimbali katika Mall...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majay Birthday: Lulu amwambia Majay ‘I think sisi ni perfect combo’

Leo ni siku ya kuzaliwa ya CEO wa EFM, Majay, ambapo wadau mbalimbali pamoja na watu wake wa karibu wanamtakia heri ya mafanikio katika maisha yake.Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye anadaiwa kuwa kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chid Benz Adaiwa kurudi tena kwenye matumizi ya Dawa za Kulevya

Ni Headlines ambazo zimekuwa zikichukua sura tofauti kwa mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva kuhusu taarifa za kwamba  Chid Benz amerudi kwenye matumizi ya dawa za kulevya.Sasa mengi yamezungumzwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hamisa Mobetto Hana Tatizo na Uhusiano wa Majay na Lulu, Soma Ujumbe...

Hakuna tena bifu kati ya Lulu na Hamisa Mobetto – angalau kwa kile Hamisa amekiandika kumpongeza mzazi mwenzake.Hamisa amezaa na CEO huyo wa EFM mwenye uhusiano na Elizabeth Michael ‘Lulu’ na kuna...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMAA ANAYEDAIWA KUWALA URODA WAKE ZA WATU KISHIRIKINA SHINYANGA...

Wananchi wenye hasira kali katika kijiji cha Bugayambele kata ya Kizumbi katika manispaa ya Shinyanga wamemshushia kichapo jamaa anayedaiwa kuwaingilia wanawake nyakati za usiku kisha kufanya nao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE HUNA HAJA YA KUMWACHIA UHURU SHOGA YAKO NA MUMEO, ATAKUSALITI MUDA...

Unapokuta mwanamke au mwanaume anamlaumu mume au mke wake kwa kitendo chake cha kukaa na kuzungumza na mtu wa jinsia nyingine mara kwa mara utasemaje, je utasema ni wivu uliopitiliza ?.Inawezekana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli ateua Makatibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa na Mara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 09 Septemba, 2016 amemteua Bw. Ado Steven Mapunda kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara.Bw. Ado Steven Mapunda anachukua nafasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJIRI KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Waziri wa Habari, Utaamduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (MB) akiwaeleza jambo Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini Mhe. Peter Msigwa (Katikati)na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Mhe. George...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA AFYA ALIAGIZA BARAZA LA FAMASIA KUHAKIKI VYETI VYA WAUZA DAWA

* Aliagiza Baraza lifanye Operesheni ya kuhakiki Vyeti vya Wataalam wa Dawa (Wafamasia) nchi mzima ili kuthibiti Wauza Dawa Feki.* Alitaka kuwafutia usajili wafamasia wanaouza Dawa za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAHAMU MAANA YA BRAND NA NAMNA UNAVYOWEZA KUJI-BRAND

Na Lewis Mbonde +255 658 194194Kama unataka kuanzisha biashara, au umekwisha anzisha, basi hii mada inakuhusu. Na hata unataka kuajiriwa au unatafuta kazi bora zaidi uliyonayo, ni jambo la msingi kujua...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live