Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UWOYA, MASOGANGE WADAIWA KUZUA KIZAAZAA KANISANI

 Agnes Gerald ‘Masogange’. Akina dada wenye ‘taito’ kubwa Bongo, Irene Pancras Uwoya ‘Mama Krish’ na Agnes Gerald ‘Masogange’, wanadaiwa kuzua kizaazaa cha aina yake baada ya hivi karibuni kutinga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE AAGIZA AZIKWE HUKU AMEKAA HUKO MASWA

Mzee mmoja huko Wilayani Maswa aliacha wosia kuwa atakapofariki azikwe kwenye jeneza akiwa amekaa.Watoto na ndugu zake wametekeleza hapo jana baada ya kutengeneza jeneza ambalo lilimfanya mzee huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU WANAODHANIWA KUWA MAJAMBAZI WAUA MLINZI NA KUCHOMA MABWENI MAWILI YA...

Mtu mmoja amekufa kwa kupigwa risasi na wengine wawili kujeruhiwa vibaya baada ya watu wanaodaiwa kuwa ni vikundi vya uhalifu vilivyokuwa na silaha mbalimbali kuvamia mabweni mawili yaliyokuwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUMUITA RAIS MAGUFULI KILAZA KWENYE WHATSAPP

 ELIZABETH Asenga (40), mkazi wa jijini Dar es Salaam amepandishwa kortini jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kuandika maneno ya kumkashifu Rais John Magufuli kupitia mtandao wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCU YATANGAZA KUANZA UDAHILI AWAMU YA PILI KWA WANAFUNZI WANAOJIUNGA VYUO...

Tunapenda kuutangazia Umma kuwa tulifunga mfumo wa pamoja wa udahili tarehe 31/08/2016 saa sita usiku ili kuchakata maombi ya waombaji waliofanikiwa kuomba udahili kwa mwaka wa masomo 2016/2017.  Hata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA NDANI NA NJE YA TANZANIA LEO JUMAMOSI,SEPT 03,2016

TANZANIAKENYA  UK

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli ataka Jecha apewe Tuzo ya heshima, Amtaka Dr Shein,...

RAIS John Magufuli, amemtaka Dk. Ali Mohamed Shein, kumpa tuzo Jecha Salim, mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Zanzibar, kutokana na kile alichokiita kazi nzuri aliyoifanya visiwani humo mwaka jana, kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatimaye Shamsa Ford Afunga Ndoa na Chidi Mapenzi

STAA wa Bongo filamu nchini, Shamsa Ford amefunga ndoa na Rashidi Said ‘Chidi Mapenzi’ ambaye ni mfanyabiashara wa maduka ya nguo.Sherehe za ndoa hiyo zilifanyika nyumbani kwa wazazi wa Shamsa eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je Kuwa MTU Maarufu Kunawezesha Kufanya Kila Kitu Kwenye Tasnia Mbali Mbali?

The industry is too big you cant own it all. The growth of all things depend on focus, persistence and passion and in math we only have 100% to build legacy and less than that to create life...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA Wagoma Kuhamia Dodoma, Wadai Hawana Mpango Huo

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema wazo la kuhamia Dodoma halimo kwenye ajenda zake.Akizungumza na Mwananchi hivi karibuni, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Vincent Mashinji alisema chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu Atoa Tahadhari Kwa Wabaya Wake

Madam Wema Sepetu amewatumia ujumbe wa tahadhari wabaya wake wanaomfuatilia anga zake.Ni ukweli usiopingika kuwa Wema amekuwa akihangaika mara nyingi huku na kule ili apate mtoto lakini mambo bado...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vifaa Vyote vya Freeman Mbowe Vilivyokamatwa Jana na NHC Vitauzwa Baada ya...

VIFAA vilivyokamatwa jana vya klabu ya usiku ya Bilicanas na ofisi ya gazeti la Tanzania Daima, vyote vinavyomilikiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA VIDEO YA HARUSI YA SHAMSA FORD ILIVYONOGAA

 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nay Wa Mitego amchimba mkwara mume wa Shamsa Ford

Nay Wa Mitego ameonekana kumchimba mkwara mwanaume aliyemuowa aliyekuwa mpenzi wake, Shamsa Ford.Nay na Shamsa walikuwa na mahusiano mwaka 2015 japo mahusiano yao hayakufanikiwa kudumu kwa muda mrefu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msanii Mr Blue Acharuka..Kuwachukulia Sheria Naj na Baraka da Prince...

Msanii wa bongo flava Mr. Blue ambaye hivi karibuni alipatwa na msuko suko wa kuyumba kwa ndoa yake, kutokana na kusambaa kwa tetesi za kuwasiliana na ex wake Najma Dartan, amesema yuko tayari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fella kumuachia Temba jukumu la kuisimamia Yamoto Band na ‘Mkubwa na Wanae...

Mkurugenzi wa Mkubwa na Wanae Foundation pamoja na Yamoto Band, Mkubwa Fella amesema tayari ameshampata mtu sahihi ambaye atamwachia mikoba yake ya kusimamia wasanii pale atakapostaafu.Akiongea na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIO KAULI YA RAIS MAGUFULI KUHUSU MAALIM SEIF KUMNYIMA MKONO RAIS DK SHEIN

RAIS DK MAGUFULI AKIONGEA LEO NA WANANCHI WA UNGUJA JUU YA MAALIM SEIF KUMNYIMA MKONO RAIS SHEINHIVI NDIVYO ALIVYOSEMA“Dk Shein ni mpole sana… Mimi nitoe mkono wangu, uukatae halafu eti kesho nisaini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE MBOWE AELEZA SAKATA LOTE KUMHUSU YEYE NA SHIRIKA LA NYUMBA LA NHC 0

Freeman Mbowe akana kudaiwa kiasi chochote na NHC akisema katika jengo hilo yeye si mpangaji bali ni mmiliki mwenza wa NHC.Alisema anamiliki jengo hilo kwa asilimia 75 tangu mwaka 1997 na kinachofanywa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumapili ya Septemba 4 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha:Mahaba ya Tanga

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live