Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Peter Okoye atangaza kurejea kwa P-Square, wamrudisha kaka yao kama meneja

Baada ya miezi kadhaa ya mfarakano wa ndani kwa ndani, kundi la P-Square limerejea. Member wa kundi hilo, Peter Okoye ametangaza kuwa wamemaliza tofauti zao na yote yaliyopita wameyaacha yapite. Peter...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA KUU KANDA YA IRINGA YAMTIA HATIANI MTUHUMIWA WA MAUWAJI YA...

 Ulinzi  wa  polisi  viwanja  vya  mahakama  kuu kanda  ya  Iringa  leo  kabla ya  mtuhumiwa wa mauwaji  kufikishwa. Wananchi  wakiwa  foleni  kukaguliwa  kabla ya  kuingia  mahakamani leo. Mtuhumiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Noti na Sarafu za Shillingi 500 zatoweka

NOTI na sarafu ya Sh 500 zimeadimika kwenye mzunguko wa fedha kwa zaidi ya mwezi sasa, hali inayosababisha adha kubwa kwa wafanyabiashara,imefahamika.Wakizungumza kwa nyakati tofauti   mwishoni mwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Jumanne ya July 26,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mshtakiwa wa Kuiba Milioni 7 kwa dakika Aongezewa Kesi Nyingine

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) leo inatarajiwa kuwapandisha kizimbani wafanyabiashara wawili akiwemo Mohamed Mustafa Yusufali ‘Choma’ aliyewahi kutajwa kuwa anajipatia Sh milioni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchungaji Anthony Lusekelo Adai Lowassa ni Tishio CCM......Asema Uchaguzi...

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) la Ubungo jijini Dar es Salaam, Anthony Lusekelo maarufu ‘Mzee wa Upako’ amesema kitendo cha viongozi wa CCM kulitaja zaidi jina la Edward Lowassa katika Mkutano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makongoro Nyerere Anusurika Ajalini....

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere amenusurika katika ajali baada ya gari lake kuwagonga ng’ombe saba kwenye eneo la Makatanini, Babati mkoani Manyara.Mtoto huyo wa Baba wa Taifa,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JULY 28 BIRTHDAY JOINT AT MAISHA BASEMENT COME SHARE CAKE WITH DR CHENI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikwete: Nashukuru Mungu Kwa Kuutua Mzigo Salama Huku Nikiiacha Nchi Ikiwa...

MWENYEKITI Mstaafu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt.Jakaya Kikwete amesema anashukuru Mungu Kwa kuutua mzigo salama huku akiicha nchi ikiwa salama tulii kabisa.Amesema kuwa safari yake ya urais ilianzia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZ:Koffi Olomide ahukumiwa kifungo cha miezi 18 jela

Mwanamuziki maarufu nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Koffie Olomide, amehukumiwa kifungo cha miezi 18 jela.Koffi akiwasili kwenye gereza la Makala, Kinshasa kutumikia kifungoHukumu hiyo imekuja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyebikiri wasichana 104 Malawi agundulika na ngoma na kukamatwa

Eric Aniva aliyeripotiwa wiki iliyopita huwa huingiza fedha kwa kazi ya kuwabikiri wasichana nchini Malawi amekamatwa na polisi nchini humo.Aniva ambaye ni maarufu kwa jina la Fisi, hulipwa kiasi cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR BOOKING MC KENYATTA

BOOK NOW MC KENYATTA CALL +255 658 194 194BOOK NOW MC KENYATTA CALL +255 658 194 194BOOK NOW MC KENYATTA CALL +255 658 194 194BOOK NOW MC KENYATTA CALL +255 658 194 194

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 754 222 201 OR +255 658 194 194 FOR BOOKING MC DR CHENI

Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr CheniVODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194a Lewis Mbonde

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PIGA +255 717 344 281 AU +255 784 732 242 KUPATA HUDUMA YA DR MNINDO NI...

LEWIS MBONDE BLOG INADHAMINIWA NA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI NA MBADALA.ANAPATIKANA MOROGORO,MTAA WA MAFISA KARIBU NA KANISA LA KAKOBEPIGA +255 717 344 281+255 765 732 242+255 784 732...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA BEI ZETU NI NAFUU SANA

LEWIS MBONDE BLOG Audience: Readers of our blog 1,609,556TANGAZO KUBWA LA JUU TOP AD BANNER 100,000/= KWA MWEZITANGAZO SIZE YA KATI  LA PEMBENI SIDER BANNER  80,000/= KWA MWEZITANGAZO DOGO 50,000/= KWA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR LEWIS MBONDE IT & BUSINESS CONSULTANCY BLOG...

                           CALL +255 658 194 194                    BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)             BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)                 ADSENSE (BLOGGER UJIPATIE KIPATO)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumatano ya July 27,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LA UDA LAGONGA TRENI ENEO LA GEREZANI – KARIAKOO JIJINI DAR

Ajali imetokea usiku wa leo kati ya treni na basi la Uda linalofanya safari zake kati ya Kariakoo na Mbagala na kuua mtu mmoja na wengine zaidi ya 45 kujeruhiwa.Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mawakili zaidi ya 100 Waandamana kudai haki

MAWAKILI wa kujitegema zaidi ya 100 mkoani Arusha, jana waliandamana kwenda kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo, kulaani kile walichokiita ukandamizwaji wa sheria za nchi na kazi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyekuwa Akiibia Serikali Milioni 7 Kwa Dakika Asomewa Mashitaka Mapya 222

WAFANYABIASHARA wawili, akiwemo Mohamed Yusufali “Choma”, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka 222 ya kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya Sh...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live