Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nisha Amjibu JackWolper

Staa wa sinema za vichekesho Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ameibuka na kumjibu mwigizaji mwenzake, Jacqueline Wolper Massawe kuwa hajawahi kutaka ‘kiki’ za kijinga wala ugomvi na anachoangalia yeye ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanasayansi: Mugabe ana Vinasaba vya Kuishi Milele

WANASAYANSI maarufu kutoka Taasisi moja kubwa ya Sayansi nchini Uingereza wametoa ripoti ya utafiti walioufanya ikithibitisha kwamba, Rais wa Zimbabwe, Komrade Robert Mugabe amegundulika kuwa BOFYA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nuh Mziwanda Amuumbua Upya Shilole

Msanii anayefanya poa kwenye Bongo Fleva, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ amemuumbua upya aliyekuwa mwandani wake, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kwa kuanika A-Z ya namna alivyokuwa anamnyanyasa kwenye uhusiano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video ya wimbo ‘Jike Shuka’ ya Nuh Mziwanda yamtoa povu Shilole..Adai Nuhu ni...

Ikiwa ni siku chache toka Ex wa Shilole, Nuh Mziwanda aachie video ya wimbo ‘Jike Shupa’ ambayo inaelezea jinsi alivyoishi na mpenzi wake huyo, Shilole ameonyesha kukasirishwa na kazi hiyo.Nuh...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msanii Rashid Abdallah Makwiro 'Chid Benz' ajiunga katika lebo ya WCB

Msanii maarufu wa miondoko ya kufoka/kurapu Rashid Abdallah Makwiro al maarufu kama CHID BENZ amejiunga rasmi katika lebo ya Wasafi Classic Baby WCB mchana Iliyo chini ya mwanamuziki machachari kabisa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi wa CUF Wamkataa Profesa Ibrahim Lipumba.......Wadai Sababu...

Wakati aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba akitengua uamuzi wake wa kung’atuka kwenye wadhifa huo na kuomba kurejea, viongozi wa juu wa chama hicho wamepinga hatua hiyo wakisema katiba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Wasiowapigia Saluti Wabunge Kukatwa Mshahara

Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Fakharia Khamis amehoji bungeni adhabu gani askari anapewa ikiwa atashindwa kutoa saluti kwa mbunge. Katika swali la nyongeza mbunge huyo alitaka kujua maana ya saluti kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumanne ya June 14 2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tigo yatoa ofa ya simu za bure katika kuhamasisha wateja kuhusu simu bandia

 Tigo yatoa ofa ya simu za bure katika kuhamasisha wateja kuhusu simu bandia 0Kampuni ya Tigo Tanzania imetangaza ofa mpya ambayo watumiaji wote wa simu ambazo ni bandia watapata simu halisi kila...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Akaunti ya Instagram ya Linah yenye Followers milioni 1.3 Yadukuliwa (hacked)

Akaunti ya Instagram ya Linah yenye followers milioni 1.3 imedukuliwa (hacked) Jumanne hii.Tayari hacker huyo ameibadilisha jina akaunti yake na kuipa jina ‘suponzetrie’ huku akifuta picha zake zote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fake Kenyan 'Billionaire' Cons Facebook User

A Kenyan woman residing in South Africa is in distress after she was conned on Facebook by a Kenyan man she met in 2015.Mary Wangari Mwangi became friends with one Nathan Ochieng' who identified...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zari is insecure over Jackline Wolper, not Wema Sepetu anymore

Hear this hot gossip......according to insiders Zari is neither insecure about Wema Sepetu nor Kajala Masanja as many people think. According to a source from Diamond's team, Zari's insecurity of her...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS:Maalim Seif: Prof. Lipumba atafute uwenyekiti chama kingine,...

 Maalim Seif amtaka Prof Lipumba atafute uwenyekiti chama kingine CUF hana nafasi ya uongozi labda abakie kuwa mwanachama wa kawaida tu ndani ya CUF.Maalim Seif amesema hayo wakati akimjibu mwaandishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Professor Jay atembelea ‘WCB’ ya Diamond, afurahishwa na uwekezaji...

Mbunge wa Mikumi ambaye ni msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop, Joseph Haule ‘Professor Jay’ Jumatatu hii alitembelea ofisi za WCB na kujionea uwekezaji uliyofanywa na rais wa label hiyo Diamond...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maneno Mazito ya Mtatiro kwa Prof. Lipumba Baada ya Kuutaka Uenyekiti wa...

NGOJA NIWAELEZE UKWELI!Kama mzee wetu anao washauri, wamwambie kuwa "DALILI ZA MVUA NI MAWINGU". Na kwamba, NGOMA ivumapo sana hupasuka na tena ajulishwe kuwa VITANI hakuna michezo ya KUJIFICHA na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makubwa Haya!! Mwanamke Aliyebakwa Akiwa Amelewa Ahukumiwa Kifungo Jela Mwaka...

Doha,Qatar Mahakama moja huko Qatar imempata na hatia mwanamke raia wa Uholanzi kwa kushiriki ngono nje ya ndoa.BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO KABWE "Rais Magufuli Atakuwa Rais Kwa Muhula Mmoja Tu"

Kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema udikteta anouonyesha Rais John Magufuli ndio kitanzi cha kumfanya awe Rais wa muhula mmoja, kwa kuwa wananchi hawatakuwa tayari kumvumilia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA SANA USIKU UWAKO ULIPENDEZA SANAAA

 Bi harusi mtarajiwa na wapambe wake Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Bi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jack Wolper Nusura Apigwe Risasi Kituo cha Mafuta‘Sheli’

Chupuchupu! Mwanadada anayeng’ara kunako tasnia ya filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper, juzikati almanusra apigwe risasi kwenye kituo kimoja cha mafuta kilichopo Tegeta (jina linahifadhiwa) jijini Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumatano ya June 15,2016

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live