Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Basi la Kampuni ya Tahmeed Lateketea Kwa Moto

Basi la Abiria la Kampuni ya TAHMEED linalofanya safari zake kati ya Tanga- Dar es Salaam, limeteketea kwa moto katika barabara ya Chalinze- Segera.BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashabiki ‘Wamteka’ Mwamuzi Mechi ikiendelea

MASHABIKI wa timu ya Friends Rangers, jana Jumanne uvumilivu uliwashinda baada ya kuchukua maamuzi magumu ya ‘kumteka’ mwamuzi wa pembeni aliyekuwa akichezesha mchezo wao dhidi ya Misosi FC kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Ya Utekelezaji Wa Maagizo Ya Serikali Kuhusu Ukomo Wa Matumizi Ya...

1.0   UTANGULIZI1.1. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ni taasisi ya Serikali yenye dhamana ya kusimamia shughuli za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta hapa nchini. Kuwepo kwa Sheria ya Mawasiliano ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa Amwandikia Waraka Mzito Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu

WAZIRI Mkuu wa zamani na aliyekuwa mgombea urais wa Chadema kwa mwamvuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amemwandikia barua Mkuu wa Jeshi la Polisi   (IGP),...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mrema Amkingia Kifua Magufuli....Awataka Wapinzani Wamwache Achape Kazi

MWANASIASA mkongwe nchini na Naibu Waziri Mkuu mstaafu, Agustine Mrema amewataka wapinzani kumwacha Rais Dk. John Magufuli afanye kazi yake kwa kuwa amechaguliwa kihalali na bado hajamaliza hata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASANJA MKANDAMIZAJI AAMUA KULUDI KURUDI KIJIJINI

Msanii wa kundi la Orijino Komedi, Masanja Mkandamizaji ameshare picha kadhaa kwa mashabiki wake wa kwenye mitandao ya kijamii kuonyesha jinsi anavyowajibika akiwa shambani kwake.Mchekeshaji huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maalim Seif afunguka kuhusu Lipumba, amesema alijiuzulu mwenyewe hakulazimishwa

Katibu mkuu wa CUF Maalim Seif amejitokeza na kuongelea hatua ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Prof. LIpumba ya kuomba kurudia nafasi ya Uenyekiti.BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEWIS MBONDE BLOG INADHAMINIWA NA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI...

LEWIS MBONDE BLOG INADHAMINIWA NA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI NA MBADALA.ANAPATIKANA MOROGORO,MTAA WA MAFISA KARIBU NA KANISA LA KAKOBEPIGA +255 717 344 281+255 765 732 242+255 784 732...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOA ODA YAKO SASA KWA HUDUMA YA MC DR CHENI NI MSHEREHESHAJI BORA ZAIDI TANZANIA

 Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194CALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY...

  CALL +255 658 194 194              BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)..............................  60,000/=              BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)..................... 45,000/=...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simu Feki Kuzimwa Kesho Rasmi - TCRA

SIMU ziliingizwa nchini zikiwa hazina kiwango kuzimwa rasmi kesho, katika kuhakikisha kila mtu anatumia simu kiwango kwa usalama  na ulinzi wa nchi.Akizungumza na waandishi habari jijini Dar es Salaam,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya Hapa Magazeti ya Tanzania leo Alhamis,Juni 16,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA KENYA,UGANDA NA UINGEREZA(UK)

KENYA\UGANDAUK

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simu FEKI Kuzimwa Leo.....Mafundi Wapewa ONYO Kali

IKIWA leo saa sita usiku Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inatarajia kuzima simu feki za mkononi, mafundi wa simu nchini wanatakiwa kuanza mchakato wa kupata leseni ya kutengeneza simu kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watuhumiwa wa Ubakaji na Waliosambaza Picha za Uchi za Msichana Morogoro...

Waendesha mashtaka wa serikali Morogoro wamepewa miezi miwili kuwasilisha cheti kutoka kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ili kuachia ama kuendelea kushikilia dhamana ya washtakiwa wanne wa kesi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ramadan Kareem photo From Bongo Movie Actress wema sepetu

Ramadan Kareem photo From Bongo Movie Actress wema sepetu

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Juni 16 kila mwaka ni siku ya Mtoto Wa Afrika, fahamu zaidi kuhusu siku hii

Leo Juni 16, 2016 ni maadhimisho ya siku ya Mtoto wa  Afrika ambapo shughli na majadala mbalimbali hufanyika ikiwa na lengo la kulinda na kumuinua mtoto wa Afrika.Siku ya mtoto wa Afrika huadhimishwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEWIS MBONDE BLOG wishes Happy youth day June 16 2016

June 16th, Many children were injured & some lost thier lives. Over 5000 youth were arrested protesting for better life and education. Happy youth day

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utafiti wabaini madhara kwa watu wanaoangalia picha za utupu (porn)

Watoto wengi hupata njia ya kutazama picha za ngono mitandaoni wakiwa na umri mdogo, kwa mujibu wa utafiti.Karibu asilimia 53 ya watoto walio kati ya umri wa miaka 11 na 16 wametizama picha za ngono...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

THE GAME AONYESHA GARI LAKE JIPYA LA KIFAHARI FERRARI 458

As he shared on Instagram

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live