Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

ZITTO KABWE "Rais Magufuli Atakuwa Rais Kwa Muhula Mmoja Tu"

$
0
0
Kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema udikteta anouonyesha Rais John Magufuli ndio kitanzi cha kumfanya awe Rais wa muhula mmoja, kwa kuwa wananchi hawatakuwa tayari kumvumilia uchaguzi ujao....Maneno hayo ameyasema wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za chama hicho Kijitonyama...
Je Kwa Unavyoona Wewe Maneno Hayo Yanaukweli?

Chanzo:Udaku Specially

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Latest Images

Trending Articles