Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IRENE Uwoya Afunguka Haya Baada ya Gazeti Moja Kudai Anamchukia Wema Sepetu

Baada ya gazeti la Ijumaa kutoka na stori “Uwoya: Simpendi Wema” katika ukurasa wake wa mbele, muigizaji wa filamu Irene Uwoya amekanusha madai hayo kupitia ukurasa wake wa instagram.Pia muigizaji huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Alia na 'Utapeli' Vyeti vya Ndoa

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Mohamed Utali ametoa agizo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, Florent Kyombo kutomhamisha mwalimu yeyote kwa kigezo cha cheti cha ndoa. Alisema baadhi wanaghushi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali Mbaya ya Lori na Hiace Yaua Watu 9 na Kujeruhi 18 huko Ifunda Iringa

Watu tisa wamefariki dunia na wengine 18 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Ifunda mkoani Iringa jana baada ya lori kugonga gari dogo la abiria aina ya Toyota Hiace. Mkuu wa Mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jiji la Dar es Salaam Lashika Nafasi Ya 6 Barani Afrika Kwa Maambukizi Ya Ukimwi

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO.Mbali na jitihada za makusudi za Serikali na wadau wa mapambano dhidi ya UKIMWI nchini bado hali siyo ya kuridhisha ambapo Jiji la Dar es Salaam linashika nafasi ya Sita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAVIDO ASEMA HAYA KUHUSU POST HII YA DIAMOND PLATNUMZ

Kwa Davido, Tanzania itaendelea kukaa katika nafasi muhimu sana moyoni mwake.Katika wakati ambao wengi tunadhani ameisahau, hitmaker huyo wa How Long, ameibuka na kuthibitisha kuwa bado ana mapenzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OP 5 ya Wasanii wa Bongo Waliomake Mkwanja Mrefu Kwa Huu Mwaka 2016

1.DiamondHuu jamaa katengenza hela nyingi sana mwaka kuanzia kwny endorsement zake, show, kuuza mziki kwny digital platform plus label yake inayomwingzia mkwnja day after day2.A.YJapo jamaa hategemei...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIBONZO VILIVYOBAMBA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mzee wa Miaka 75 Ameweka Bango Lenye Sifa za Mke Anayemtaka, Katikati ya Mtaa...

Mzee wa miaka 75 nchini Tanzania ameweka bango lenye sifa za mke anayemtaka, katikati ya mtaa anaoishi.Athuman Bakari Mchambua mkazi wa Dar es Salaam amechukua hatua hiyo baada ya kifo cha mke...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZ:Hatimaye Diamond na Zari Wamepata Mtoto wa Kiume Leo Tarehe 6...

Ni good news nyingine kwa msanii wa Bongofleva Diamond Platnumz ambaye leo December 6 2016 mpenzi wake Zarina Hassan amefanikiwa kujifungua mtoto wake wa pili, Zari na Diamond wamepata mtoto wao wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBONZO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO TANZANIA JUMATANO DEC 07,2016

         

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALICHOANDIKA Darassa Baada ya Dereva Kukamatwa Akicheza Wimbo Wake Huku...

Msanii wa Bongofleva Darassa ambaye kwa sasa anafanya vizuri na hit single ya wimbo wake mpya unaoitwa ‘Muziki’ ameamua kuweka wazi mtazamo wake kuhusu ile video iliyosambaa ikionesha vijana wakicheza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OMMY DIMPOZ ASEMA HAYA BAADA YA DIAMOND KUPATA MTOTO WA PILI

msanii wa Bongofleva Diamond Platnumz ambaye leo December 6 2016 mpenzi wake Zarina Hassan amejifungua mtoto wake wa pili.Soudy Brown amepiga story na Meneja wa Diamond Sallam kuhusu Diamond kupata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIBONZO VYA LEO VILIVYOTIKISA MTANDAONI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wimbo wa Darasa 'Muziki' Waufunika wa Diamond Salome

Kulingana na jinsi watu walivyopokea wimbo mpya wa darasa 'muziki' katika maeneo mbali mbali nchini, wimbo wa Diamond wa 'Salome' umekufa kifo cha mende..yani hausikiki tena...Yani kila mahali ni wimbo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PUMZIKA KWA AMANI BRO ORESTO MBONDE "DINGI"

We missed u bro Oresto Mbonde "Dingi" nakumbuka tukiishi pamoja Mazimbu na Kihonda uliponiacha na Morogoro mm nilikuja kuishi kwa ushawishi wak.So sad huwa bado siamini kama hatuko wote,mama pia bado...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE WA MIAKA 73 TATU DAR ATAFUTA MKE KWA KUWEKA BANGO LA TANGAZO MTAANI

Katika  hali isiyo ya kawaida mzee mwenye umri wa miaka 75, Athuman Mchambua, mkazi wa Mtoni kwa Azizi Ally jijini Dar es Salaam amezua gumzo mtaani  baada ya kuamua kutafuta mke kwa kuweka bango...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Trump akataa ndege mpya ya Air Force One

 MAREKANI: Donald Trump ametangaza nia ya kusitisha uagizaji wa ndege 2 mpya za Rais(Air Force One). Adai bei iko juu na huenda imezidishwa.Ndege hizo ambazo gharama zake ni takribani dola za Marekani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAOMBWA KUWAPATIA BIMA YA AFYA WALEMAVU WA NGOZI

Muweka hazina wa Chama cha Watu wenye Ualbino Tanzania, Abdilah Omari  akiwa pamoja Leonard Gasper anayesumbuliwa na tatizo la kansa na kumpatia msaada wa kiasi cha fedha milioni moja kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAREHEMU Wanaodaiwa Mikopo HESLB, Kusamehewa

Serikali kupitia Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) pamoja na na Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi imejikuta ikitoa taarifa zinazokinzana kuhusu wadaiwa wa mikopo ya elimu ya juu ambao...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live