Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

DAVIDO ASEMA HAYA KUHUSU POST HII YA DIAMOND PLATNUMZ

$
0
0
Kwa Davido, Tanzania itaendelea kukaa katika nafasi muhimu sana moyoni mwake.

Katika wakati ambao wengi tunadhani ameisahau, hitmaker huyo wa How Long, ameibuka na kuthibitisha kuwa bado ana mapenzi tele na ya milele kwa nchi ya Magufuli.
davidoofficial-20161017-0001
Davido
Ameufungua moyo wake kwenye post ya Diamond katika mtandao wa Instagram ya show yake ya mjini Harare nchini Zimbabwe – Watora Mari iliyofanyika mwishoni mwa wiki.
Kwenye post hiyo ya show hiyo iliyofana na kushuhudia akiujaza ukumbi mkubwa wa HICC akiwa na mwenyeji wake Jah Prayzah, Diamond aliandika:
This Song Called #NumberOneRemix it has more than 18.5 Million Views on Youtube….. Go watch it and enjoy the Mix of Bongo flavour and Naija.”

Kama ambavyo Jah Prayzah anamshukuru Diamond kwa kumtambulisha kwenye ramani ya muziki wa Afrika, Diamond atamshumkuru milele Davido kwa kumpa shavu kwenye remix ya Number One iliyompa staa huyo wa Tanzania umaarufu mkubwa
PicsArt_12-05-08.35.18

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles