Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

MZAZI FEKI WA MWANAFUNZI ACHALAZWA BAKORA NA WALIMU

$
0
0
Mwanza: Walimu wacharuka, wamtandika mama feki baada ya mwanafunzi kuambiwa alete mzazi akaenda kukodi mama. Mama feki alipohojiwa maswali kuhusu mwanae hana analoelewa ndipo walipo amua kutafuta namba ya mzazi kwenye vitabu wakapata kuuliza nyumbani hawana habari zozote za shule wala hawajatuma mtu ndipo Mkuu wa shule na wazazi halisi walipoamua kutoa fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles