Jeshi la Polisi Lapiga Marufuku mikutano ya Ndani ya Vyama vya Siasa
Kutokana na matukio ya kiuhalifu yanayoendelea katika baadhi ya maeneo nchini, leo August 25 2016 Jeshi la Polisi limepiga marufuku mikutano yote ya kivyama ndani na nje ili kuzuia machafuko ya amani...
View ArticleMUME WA KAJALA KUPAMBANA NA MICHEPUKO YA MKEWE
Baada ya mume wa muigizaji Kajala Masanja, Faraji Chambo kufutiwa mashtaka ya kubadilisha umiliki wa nyumba iliyokuwa na zuio la Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru), ubuyu mpya...
View ArticleMajambazi Yaua Polisi 4 Mbande Dar es Salaam usiku wa Kuamkia Leo
Jeshi la Polisi limethibitisha kuwa jumla ya askari wake wanne wameuawa usiku wa kuamkia leo baada ya majambazi kuvamia tawi la benki ya CRDB lililopo Mbande, wilayani Temeke, Dar es Salaam.Akizungumza...
View ArticleJeshi La Polisi Lahusisha Mauaji ya Polisi Wanne na Sakata la Oparesheni...
KUFUATIA mauaji ya askari wanne yaliyotokea Kata ya Mbande Temeke kwa watu wanaodhaniwa ni majambazi kuvamia benki ya CRDB na kuwaua askari hao kwa kutumia silaha za moto jeshi la Polisi limetangaza...
View ArticleUfafanuzi Kuhusu Wasiokopeshwa Mikopo Na HESLB Kudaiwa
1.0 UTANGULIZIKumekuwepo na taarifa zilizotolewa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari, hasa gazeti la Jamboleo toleo namba 2541 la 23 Agosti, 2016 kuhusu Bodi ya Mikopo kuwadai...
View ArticleRais Magufuli Amuapisha Mkurugenzi Mkuu Mpya Wa Idara Ya Usalama Wa Taifa
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.John Pombe magufuli akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Dkt Modestus Francis Kapilimba akila kiapo cha maadili ya viongozi wa Umma Ikulu jijini Dar es...
View ArticleKingunge Ngombale Mwiru Avunja Ukimya.......Amtaka Mkapa na Ali Hassan Mwinyi...
Aliyekuwa kada wa CCM, Kingunge Ngombale Mwiru amewaomba marais wastaafu, Rais Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa kuzungumza na Rais John Magufuli ili aitishe kikao kati ya Serikali na Chadema kwa...
View ArticleOparesheni UKUTA: Msajili wa Vyama Aitisha Mazungumzo ya Siku Mbili Kwa Vyama...
MSAJILI wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, ameitisha Baraza la Vyama vya Siasa ili kunusuru mvutano uliojitokeza kati ya Jeshi la Polisi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).Jaji...
View ArticleMr Blue: Barakah na Naj walitaka kunivunjia ndoa yangu
Mr Blue amekiri kuwa skendo yake kuwa amekuwa akiwasiliana na ex wake, Naj ambaye kwa sasa ana uhusiano na Barakah Da Prince ilitaka kuivunja ndoa yake.Akiongea na Clouds FM, rapper huyo wa ‘Mboga...
View ArticleBusu la Nelly Kamwelu shavuni kwa Diamond akiwa na Wizkid lawatoa povu...
Haipiti wiki bila Diamond kuwatoa povu mashabiki, hata kama alichokifanya si kwamba alidhamiria.Jumanne hii hitmaker huyo wa ‘Kidogo’ alipost video akiwa na starboy, Wizkid. Haijulikani wamekutana Dar...
View ArticleWitness: Nimejichora tattoo kiunoni ili nisisaliti ndoa yangu
Msanii hip hop hapa nchini, Witness aka Kibonge Mwepesi, ameitaja sababu ya kujichora tattoo ya jina la mpenzi wake Ochu Sheggy kwenye kiuno chake.Akiongea katika kipindi cha E-News cha East Africa TV,...
View ArticlePOLISI DAR WAANZA MAZOEZI YA UKAKAMAVU
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imeanza mazoezi ya ukakamavu katika Mkoa wa Kipolisi wa Temeke kwa lengo la kudhibiti uhalifu.Akizungumza Dar es Salaam jana baada ya mazoezi hayo, Kamanda wa...
View ArticleMan Fongo Awachimba Mkwara wa Bongo Fleva
Kwa kasi iliyopo kwenye muziki wa Singeli, ni wazi kwamba unaelekea kuupoteza muziki wa Bongo Fleva kutokana na kasi ya kuenea kwake hapa nchini, jambo linalosisitizwa na mkali anayetesa katika muziki...
View ArticleShilole azungumzia bifu la Bill Nas na TID
Baada ya TID kudai kuwa Bill Nas hana shukrani, Shilole ameibuka na kumtetea rapper huyo wa label mpya, ‘LFLG’.Bado Bill Nas amekuwa akisema kuwa aliondoka Rada bila tatizo.Akiongea na Perfecto TV,...
View ArticleTLP: Mtengeni Maalim Seif hadi atakapoitambua serikali
Chama cha Tanzania Labour(TLP) kimemuandikia barua Rais wa Mapinduzi wa Zanzibar, Dk Mohamed Ali Shein na kumtaka kuanzia sasa wamtenge Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad kwa kutomualika...
View ArticleDiamond Platnumz aikataa Mimba ya Lynn LIVE
Msikilize Diamond Platnumz Akikana kabisa kuwa na mahusiano na Mrembo Lynn, Adai hana mawasiliano naye na wala hawajawahi kumuona tena toka alivyofanya video ya Kwetu na Raymond..Msikilize Hapa chini:
View ArticleRomy afunguka Diamond kutokufika kwenye birthday yake
BAADA ya hivi karibuni ndugu wa Mwanamuziki, Nasibu Abdul ‘Diamond’, kufanya sherehe ya siku yake ya kuzaliwa na kuhudhuriwa na mastaa kibao isipokuwa msanii huyo na kudaiwa kuwa wana bifu, Romy Jones...
View ArticleMKUU WA MKOA WA DAR PAUL MAKONDA AIBIWA SIMU JANA
Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-salamm, Paul Makonda ameibiwa simu jana baada ya kufanya kikao na waandishi wa habari alipokuwa na balozi wa Korea nchini na aliporudi ofisini na kutaka kumpigia mtu simu ndio...
View Article