Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madada wa The Kardashians Wakanusha Kauli ya The Game Kuwa ‘Alipita’ na 3...

Madada wa The Kardashians wanadai kuwa rapper The Game anadanganya anaposema kuwa amewahi kulala na watatu kati yao kwenye wimbo wake mpya, Sauce.Kwa mujibu wa TMZ, Game alipita na mmoja tu. Vyanzo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI AMWAGA MACHOZI MBELE YA KAMATI YA BUNGE

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo mkoa wa Morogoro, Agnes Mkandya amemwaga machozi alipokuwa akiulizwa maswali na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC).Tukio hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Manji atuma ujumbe kwa mashabiki wa Yanga

Habari ya Yusuf Manji kujiuzulu kwenye nafasi yake ya uenyekiti ndani ya klabu ya Yanga ndio imekuwa stori kubwa ikiwa ni siku chache tangu atangaze kutaka kuikodi timu hiyo kwa muda wa miaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zari awapa makavu wabaya wake

Ni muda mrefu mahusiano ya Diamond na Zari yameelezwa kutokuwa mazuri kutokana na muimbaji huyo kuhusishwa kutoka na warembo wengine.Kuna tetesi nyingi sana zimevuma kwenye mitandao ya kijamii hivi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Timu ya Simba Sasa Kuendeshwa Kwa Hisa..Mo Dewji Akabithiwa Timu

Kamati ya utendaji ya Klabu ya Simba August 15 2016 ilikutana na mkurugenzi mtendaji mkuu wa makampuni ya Mohammed Enterprises Limited (MeTL) Mohammed Dewji ambaye aliomba kununua asilimia 51 ya hisa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS ALIPOMJIA JUU MNIGERIA ALIYEMTAKA MTOTO WAKE WA KIKE

This is funny actually! The President of Rwanda switched to his military side after a Nigerian guy "jokingly and stylishly" asked for his daughter's hand in marriage.Twitter user, @Bar_Baric posted...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakuu wa shule 90 za msingi na sekondari kuvuliwa madaraka Kinondoni

Hivi karibuni Rais Magufuli katika ziara yake mkoani Mwanza aliwaonya walimu wanaotoa taarifa za uongo za wanafunzi ili kujipatia BOFYA HAPA MC DR CHENI BLOG KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa za awali za Polisi Dar baada ya kuwakamata Original Komedi

 August 17 2016 Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es salaam imewahoji wasanii wanne wa kundi la sanaa ya uigizaji Orijino komedi akiwemo kwa tuhuma za kuvaa sare za polisi kwenye harusi ya msanii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatua nane zilizochukuliwa na serikali baada ya uhakiki wa mikopo ya wanafunzi

Wizara ya elimu, sayansi na teknolojia iliunda timu ya kuhakiki wanafunzi kwenye taasisi za elimu ya juu nchini ili kujiridhisha na uhalali wa wanafunzi wanaopata mikopo kwa ajili ya elimu ya juu....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyakazi nane wafukuzwa kazi kisa unene

Habari hii imeripotiwa na BBC ambapo imetokea nchini Misri kwenye television ya Taifa hilo ambapo imewafukuza kazi wafanyakazi 8 wa kike na kuwashauri waende wakapunguze uzito wa mwili.Chama cha Radio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OBAMA AMTEMBELEA MWANAE KAZINI NA KUMUUNGA MKONO KATIKA KAZI YAKE YA HOTELINI

Obama visited where his younger daughter is working, he decided to support her in doing some of her duties. What is your responsibility as a father? What kind of role are you playing in bringing your...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTANA NA MWANAFUNZI HUYU WA CHUO WA MIAKA 19 ALIYEBADILI MAISHA YAKE NA KUWA...

By Zainul Mzigeon August 17, 2016 Mwanafunzi wa Chuo Robert Mfune mwenye umri wa miaka 19, ameweza kutengeneza zaidi ya maelfu ya Paundi za Uingereza akiwa anafanyakazi katika muda wa ziada kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO TANZANIA ALHAMISI AGOSTI 18,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tazama Vibonzo 7 Vikali vya Leo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking Newzz: Rais Magufuli Atengua Uteuzi Wa Mkuu Wa Mkoa Arusha Felix...

Mkuu wa Mkoa mpya wa Arusha,Mrisho Gambo aliyeteuliwa na Rais,kuapishwa kesho ijumaa Ikulu jijini Dar***RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko madogo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCRA Yaonya Wanaoutumia Akaunti Feki Kwenye Mitandao ya Kijamii

MAMLAKA ya Udhibiti wa Mawasiliano hapa Nchini (TCRA) imewaonya watumiaji wa mitandao ya kijamii wanaojisajili katika mitandao hiyo kwa kutumia majina na taarifa za uongo.James Kilaba Kaimu Mkurugenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEHE MKUU DAR AMUITA WEMA SEPETU KUHUSU ISHU YA MTOTO

Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Musa Salum amemuita Miss Tanzania 2006 na nyota wa filamu za Bongo, Wema Sepetu kufika ofisini kwake kwa ajili ya dua ili aweze kupata mtoto, Amani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IDRISS SULTANI AIFUTA ACCOUNT YAKE YA INSTAGRAM

Kama utakuwa unakumbuka mwaka 2015 msanii kutoka kwenye tasnia ya Bongo Movie, Elizabeth Michael aliingia kwenye headlines za kujiondoka kwenye mtandao wa instagram kutokana na matatizo yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA JOSEPH KUSAGA AMTEMBELEA DIAMOND PLATNUMZ OFISINI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kama Umesoma au Unasoma Kwa Lengo la Kuja Kupata Pesa; Unaweza Kuja...

Kama umesoma[au unasoma], kwa lengo la kuja kupata pesa; unaweza kuja kujidharau na kuwa "disappointed". Kwa sababu huku mtaani kuna watu ni ama la saba au hata la saba hawakumaliza lakini ndio...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live