
Sasa leo August 17 2016 Idris Sultan anazimiliki headlines mitandaoni baada ya kuchukua maamuzi ya kujindoka kwenye mtandao wa instagram bado haijajulikana tatizo ni nini ila Raha zawalimwengu inaendelea kufuatilia kwa kina ili kujua sababu za staa huyo kujiondoa.
