Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZ:Mzee Yusuf atangaza kuachana na muziki

Mfalme wa Taarab nchini, Mzee Yusuf, ametangaza kuachana na muziki.Ametangaza azma hiyo Ijumaa hii kwenye msikiti wa Taqwah jijini Dar es Salaam. Amedai kuwa kuanzia sasa atakuwa akimtumikia Mungu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MREMBO HUYU ATIKISA HUKO INSTA LEO KWA PICHA HIZI KALI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Platnumz Awaonya Wasanii...Adai Wakimuiga yeye Wataishia Kuwa Watumwa...

Msanii Diamond Platnumz amefunguka na kuwataka wasanii ambao wanachipukia na wale ambao wapo kwenye muziki wafikiri kufanya mambo zaidi yake na wasifikirie au kuwaza kuwa kama Diamond Platnumz.Diamond...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA TANZANIA NA NJE LEO 13/08/,2016

TANZANIAKENYAUK

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli: Nitaigeuza Ikulu Kuwa Jumba la Makumbusho

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Magufuli amesisitiza kutekelezwa kwa mpango wa serikali kuhamishia makazo yake mkoani Dodoma ndani ya kipindi cha miaka mitano ya utawala wake huku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makonda kuzichapa na bondia Francis Cheka kuhamasisha usafi

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda anatarajia kupanda ulingoni Agosti 27 kuzichapa na bondia Francis Cheka katika pambano la kuhamasisha usafi jijini Dar es salaam.Akizungumza jijini Dar,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sauti ya Diamond Kwenye wimbo wa Dully Sykes feat Harmonize - INDE

Mimi si timu alikiba wala mavi kunuka gani sijui wala chama sina. Nakosoa panapohitajika.Diamond hapa unachemka, atakayeiskia hii nyimbo atajua direct we ndio unayeimba, sauti yako tayari iko common,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Papa Francis Awatembelea Waliokua Makahaba Roma

Papa Francis amewashangaza makahaba wa zamani 20 alipowatembelea katika ziara ya kushitukiza kwenye makazi yao yenye ulinzi mjini Roma.Mkuu huyo wa kanisa katoliki alizungumza na wanawake hao, ambao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nicki Minaj Ammwaga Meek Mill Rasmi..Chanzo Cha Kumwagana Hiki Hapa

Mastaa waliokuwa wapenzi kwa zaidi ya miaka miwili Meek Mill na Nicki Minaj wametengana.Watu wa karibu na Couple hii wanasema Meek Mill amekuwa na maisha tofauti na Minaj huku Meek akitaka zaidi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha:Ujauzito wa Zari Sasa Unaonekana...Diamond Platnumz Aomba Ushauri wa...

Bongo fleva super staa Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa anatarajia kupata mtoto wa kiume na kwamba angependa mashabiki wake watoe mitazamo yao juu ya jina gani ampe mtoto wake.Mpaka sasa tunafahamu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STYLE NYINGINE ZA KUCHEZA NI SHEEDAH

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENZETU HATA KAMA MTU MZIMA UKILETA UMBULULAZZ LAZIMA UKIONE CHA MOTO

Mzee mmoja ashushwakwenye gari pande za angola baada ya kuova teki gari katika foleni na kupigishwa magoti huku akishika masikio.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BI HARUSI ATEKWA SAA CHACHE BAADA YA KUFANYIWA KICHEN PARTY

Bi harusi Asha Halili, mkazi wa Kichangani mkoaniMoro.STORI: DUSTAN SHEKIDELE, RISAJI JUMAMOSI MOROGORO: Katika hali ya kushangaza, bi harusi Asha Halili, mkazi wa Kichangani mkoani hapa ambaye alikuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Asili ya aina za ushangiliaji za wanamichezo pindi wanapofunga

 Tasnia ya muziki imekuwa bega kwa bega na michezo hata imekuwa ikiingiliana na wapenzi yaani wanaopenda michezo na muziki kwa wakati mmoja.Tumeona mara nyingi tu wanamuziki wakitunga mashairi yao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumapili ya Agosti 14,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJANE BI AMINA SALEHE MWENYE MIAKA 80 ANAOMBA MSAADA KUWEZA KUWALEA YATIMA 5...

Mjane alipotembelewa na EWC kwa ajili ya kumuandikisha Annaberta Chimbuvu mwenye Tshirt Nyekundu Anaitwa bibi Halima Salehe ana umri wa miaka80 katika zoez la uandikishaji wa wajane na yeye tulipelekwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZ-RAIS MSTAAFU ZANZIBAR AFARIKI DUNIA,TAARIFA NA HISTORIA YAKE...

Taarifa ambazo mtandao huu umezipata ni kuwa Rais Mstaafu wa zanzibar wa awamu ya pili Mzee ABOUD JUMBE MWINYI amefariki dunia mchana huu nyumbani kwake Kigamboni.Taarifa zaidi za msiba huo zitakujia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MWINGINE AJIUZURU KWA ULEVI

Waziri wa elimu nchini Sweden amejiuzulu wadhifa wake baada ya kupatikana akiendesha gari akiwa mlevi.Bi Aida Hadzialic, ambaye amekuwa waziri wa elimu ya sekondari na elimu ya watu wazima, amejiuzulu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASANJA MKANDAMIZAJI WA ZE COMEDY AUAGA UKAPELA AFUNGA NDOA

Ni August 14, 2016 ambapo mchekeshaji kutoka kwenye kundi la Original Komedi, Emmanuel Mgaya aka Msanja Mkandamizaji anaziandika headlines leo baada ya kufunga ndoa na mchumba wake Monica katika kanisa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Dkt. Ali Mohamed Shein atoa taarifa rasmi ya kifo cha Rais Mstaafu wa...

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, ametoa taarifa rasmi ya Serikali kuhusu kifo cha Rais Mstaafu wa Zanzibar wa Awamu ya Pili, Mheshimiwa Alhaj Aboud...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live