
Ni August 14, 2016 ambapo mchekeshaji kutoka kwenye kundi la Original Komedi, Emmanuel Mgaya aka Msanja Mkandamizaji anaziandika headlines leo baada ya kufunga ndoa na mchumba wake Monica katika kanisa la Mito ya Baraka Dar es Salaam.
![]()

Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye ukumbi wa Primrose uliopo Mbezi Beach ambapo shughuli hiyo inaendelea sasa hivi, endelea kukaa karibu na millardayo.com pamoja na Ayo TV nitakusogezea kila kitu kinaendelea hapa

.

.

.


wedding photos(harusi) of Masanja mkandamizaji and her wife

Mc Pilipili doing his things on Masanja's wedding day

Bride and Groom



Two MC Dr Cheni and MC pILIPILI


.

.

.

.

.

.


.

.

.

.

.

.

.

.

.

.