Serikali Yalifunga gazeti la Mseto kwa miezi 36
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeamua kulifungia kwa miezi 36 gazeti la “MSETO”. Amri ya kulifungia Gazeti hilo imetolewa kwa Tangazo la Serikali Na. 242 lililotolewa tarehe 10 Agosti,...
View ArticleNjemba Avamia Makao Makuu ya Trump, Adakwa!
NEW YORK: Njemba mmoja nchini Marekani aliyejiita kuwa ni mtafiti binafsi na shabiki wa Donald Trump, jana Agosti 10, 2016 alitumia masaa matatu kupanda jengo la mfanyabiashara huyo maaufu duniani...
View ArticleMahakama Kuu yatengua hukumu ya awali ya kuwafutia shtaka la utakatishaji...
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetengua uamuzi uliotolewa na Hakimu Mkazi Mkuu Emmilius Mchauru wa kufuta shtaka la kutakatisha Dola Milioni 6 za Kimarekani baada ya kuona liliondolewa kinyume...
View ArticleMtoto wa OBAMA arekodiwa Akivuta Bangi
Mtoto mkubwa wa Rais Barack Obama – Malia Obama – anahisiwa siku kadhaa nyuma alikuwa amepewa kipisi cha bangi kuvuta na akavuta na kujikuta akirekodiwa na video za mapaparazi wa Marekani. Tukio hilo...
View ArticlePICHA HIZI ZA SHILOLE ZAWATOA POVU VIDUME
Bongo fleva singer, Zuwena Mohamed 'Shilole' has put on display her $exy tattooed thighs, through her Instagram account Shilole shared her amazing pics as she does daily showing off her hot body, see...
View ArticleMalia Obama is defended on social media after caught smoking weed
People are defending Obama’s daughter ever since her photos of her smoking where exposed on the social media. To make it clear they are not led by Malia Obama, it is Barack so let teenager live their...
View ArticleBabu Tale abanwa na Mahakama
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupa pingamizi la Mkurugenzi wa Kampuni ya Tiptop Connections ya jijini Dar es Salaam, Hamis Shaban Taletale, maarufu Babu Tale, na kumtaka ajieleze ni kwa nini...
View ArticleMAMA MZAZI AMFUNGA KAMBA MWANAYE SHINGONI NA KUMLISHA KAMA MBWA,ATUPIA PICHA...
Hili lingine limetokea huko Ufilipino baada ya mama kuamua kumfunga mtoto wake mnyoyoro na kumwekea chakula kama mbwa kwa madai amekua akimsumbua.Matukio ya unyanyasaji kwa watoto yameendelea kuchukua...
View ArticleDALADALA LAPINDUKA KITUONI MBAGALA-SABASABA JIJINI DAR ES SALAAM, WATU KADHAA...
DALADALA namba T274 DEX,(pichani), lililokuwa likisafiri kutoka Mbagala RangiTatu kuelekea Temeke jijini Dar es Salaam, limeanguka mita chache kutoka kituo cha Daladala Sabasaba-Mbagala leo asubuhi...
View ArticleRais Magufuli Akiweka Jiwe La Msingi Daraja Wa Waenda Kwa Miguu La Furahisha...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli ameitaka Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano kuhakikisha kuwa ujenzi wa daraja la watembea kwa miguu na upanuzi wa Barabara ya...
View ArticleEMPOWER WIDOW AND CHILDREN ORGANIZATION
Home Service:- Kwa wafanyakazi wa majumbani; usafi wa kila siku, wiki au kwa mwezi(kufua, Kupasi nk)- Kwa wafanyakazi wa Maofisini- Wanaohitaji wapambaji wa masherehe, Mc na Matukio malimbali-...
View ArticleTAHADHARI DHIDI YA MATAPELI KWA WAOMBAJI WA MIKOPO HESLB
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwatahadharisha waombaji wa mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2016/2017 na umma kwa imepokea taarifa kuwa kuna watu wasio waaminifu ambao...
View ArticleRais Magufuli Akerwa na Uozo Uliopo Ndani ya CCM.......Aagiza Jiji la Mwanza...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuna mambo ya hovyo ambayo yapo ndani ya Chama cha Mapinduzi ambayo yanahitaji...
View ArticleShibuda aibukia mkutano wa Rais Magufuli Mwanza.....Awapa Neno UKAWA
Katibu Mkuu wa Chama cha ADA-Tadea, John Shibuda jana alijitokeza katika mkutano wa Rais Dkt. John Magufuli katika viwanja vya Furahisha Jijini Mwanza na kumpongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa namna...
View ArticleSerikali: Hatuna ushahidi wa kuzihukumu shule za Feza, Hivyo Hatuwezi Kuzifunga
SERIKALI imesema haina ushahidi wa kutosha kuzitia hatiani shule za Feza nchini zinazodaiwa kumilikiwa na mmoja wa wananchi wa Uturuki anayetuhumiwa kujihusisha na ugaidi na kuitaka Serikali ya Uturuki...
View Article‘Ndani ya kipindi changu fyatueni watoto wa kutosha’- Rais Magufuli
August 12 2016 Rais wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli alikutana na wakazi waDar es salaam na kuzungumza nao kuhusu maendeleo ya nchi lakini hakuacha kukumbushia lengo lake kuu la kuruhusu elimu bure...
View ArticleWanawake, Msing'ang'anie Wanaume Ambao Hawawataki
Zaidi ya watu wa 5 wameshakueleza kwamba jamaa hana time na wewe na ameshachumbia mtu mwingine hukuamini. Mungu sio Mwigulu Nchemba, siku 1 akiwa kwenye mishemishe za kuchepuka simu yake ikajipiga...
View ArticleMSAFIRI MEDIA PRODUCTION BEST IN TOWN
Msafiri Media Production Best in Town for still picture, Video production,Video Editing,Converting VHS to DVD,Renting LCD tv & Projector,Graphics design etc kwa sherehe yako.Wanapatikana...
View Article