Mtoto Aliyewekewa Betri Kwenye Moyo Kuruhusiwa Kupita Kwenye Viwanja vya...
Kadi ya kumtambulisha mtoto Happiness John (5) kimataifa baada ya kufanyiwa upasuaji na kuwekewa betri ndani ya moyo inatengenezwa nchini Afrika Kusini. Happiness ambaye alifanyiwa upasuaji huo Julai...
View ArticleMahakama Kuu Yampunguza MAKALI Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP)
MAMLAKA ya kugomea dhamana za watuhumiwa aliyokuwa nayo Biswalo Mganga, Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), sasa imeondolewa na mahakama kuu.Awali, DPP alikuwa na uwezo wa kuzuia dhamana za baadhi...
View ArticleTanzania yatajwa kati ya nchi zinazoongoza wahitimu elimu ya juu wasio na...
UTAFITI: Asilimia 61 ya wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu wana uwezo mdogo, hawawezi kushindana katika soko la ajira nchini.Kulingana na utafiti huo imegundulika kuwa vyuo Vikuu vingi vimekuwa...
View ArticleWachezaji wa Korea Kaskazini na Kusini wapiga picha ya pamoja katika Michezo...
Wanamichezo wa mazoezi ya viungo kutoka Korea Kusini na Kaskazini, ambao wanashiriki Michezo ya Olimpiki Rio 2016, wameuonesha ulimwengu ishara ya umoja, kwa kupiga selfie pamoja.Picha hii imesifiwa...
View ArticleITV na Clouds Media vyatozwa faini ya Tsh 19M na TCRA
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kupitia kitengo chake cha maudhui Jumanne hii kimevitoza faini ya jumla Sh19m vituo vya utangazaji, ITV, Clouds TV na Clouds FM kwa kukiuka kanuni za...
View ArticleUsikose kipindi hiki maalum, "SAFARI YA DODOMA" kila Jumatano saa 3:00 usiku...
TBC inakuletea kipindi kipya maalum ambacho kitawakutanisha wadau mbalimbali wakijadiliana na kuongelea umuhimu wa kuhamia Makao Makuu Dodoma, kama ilivyoagizwa na Mhe Rais John Pombe Magufuli.Kutana...
View ArticleTundu Lissu: Barua ya Sekretarieti ya Maadili ni njama ya kutengeneza...
TUMECHOKA kuvumilia! Ni kauli ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya kudai kusakamwa na Serikali .Chama hicho kimetoa kauli hiyo leo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar...
View ArticleALIKIBA AANZA KUPAA KIMATAIFA ASHINDA TUZO MBILI HUKO USA
staa Alikiba ambaye kwa sasa yupo chini ya Sonny Music ameshinda tuzo mbili katika tuzo za Holly Wood $ African People's Choice zinazofahamika kama THE NAFCA zilizofanyika Califonia USA, Alikiba...
View ArticleHARMONIZE AKANUSHA TUHUMA ZA KUCHUNWA PESA NA WOLPER
Mwanamuziki wa Bongo Flava anayesimamiwa na Wasafi, Harmonize, amekanusha kuchunwa pesa na mpenzi wake Jackline Wolper kutokana na mwanamke huyo kuonekana kuwa na maisha ya kifahari.Harmonize...
View ArticleKAJALA MASANJA FICHUA JINSI ALIVYOKURUPUKA KUINGIA KWENYE MAPENZI KISA GARI
Msanii wa filamu nchini Kajala Masanja ambaye kwa sasa yupo karibu sana na msanii Quick Racka amefunguka na kusema kuwa alikurupuka kukubaliana na mwanaume ambaye hakuweza kumfahamu vizuri tabia zake...
View ArticleDiamond: Muziki si Kitu Cha Lazima Kwangu
Diamond amesema kuwa hategemei muziki kuendesha maisha yake.Hit maker huyo wa wimbo wa ‘Kidogo’ hivi karibuni kupitia kipindi maalum cha kituo cha runinga cha E!TV, E Vip aliutaja utajiri wake kuwa ni...
View ArticleDIAMOND ANASEMA HIZI NDIYO NYIMBO ZAKE TATU ZINAZOFANYA VIZURI KIMATAIFA
Msanii Diamond Platnumz amesema kuwa katika nyimbo zake zote ambazo amefanya ni nyimbo tatu tu ndiyo zimeweza kutamba zaidi nje ya nchi na kumtambulisha vizuri katika soko la kimataifa.Diamond...
View ArticleDiamond Akiri Kupenda Bifu
Msanii Diamond Plutnuz amewashangaza watu baada ya kauli yake kwamba anaona bifu kwenye muziki na kitu kizuri, tofauti na wasanii wenzake wengi ambao hupinga suala la bifu.Akiongea kwenye Planet Bongo...
View ArticleGigy Money akiri kutembea Kimapenzi na Alikiba pamoja na Abdukiba
Katika miaka 19 aliyoishi Duniani hakumbuki idadi ya wanaume ambao ameshalala naoAkiwa amezaliwa katika Familia ya Watoto wanne ambao kila mtu ana Baba yake, kwa upande wake HAKUWAHI KUMJUA BABA...
View ArticleMAKONDA AFAFANUA POST YAKE KUHUSU YANGA ILIYOZUA UTATA INSTAGRAM
Siku za hivi karibuni, habari ya town katika michezo ni uamuzi wa wanachama wa Yanga kuamua kuikodisha timu yao pamoja na nembo kwa Mwenyekiti wao Yusuf Manji ambaye pia ni Mwenyekiti wa klabu hiyo...
View ArticleTOFAUTI NA UIGIZAJI HIKI NDICHO ANACHOKIFANYA KENYATTA
BOOK NOW MC KENYATTA CALL +255 658 194 194MC KENYATTA AKIWA MAKINI KAZINI KATIKA KAZI YAKE YA UMC MC KENYATTA AKIWA KAZINI...
View Article