Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

ALIKIBA AANZA KUPAA KIMATAIFA ASHINDA TUZO MBILI HUKO USA

$
0
0
staa Alikiba ambaye kwa sasa yupo chini ya Sonny Music ameshinda tuzo mbili katika tuzo za Holly Wood $ African People's Choice zinazofahamika kama THE NAFCA zilizofanyika Califonia USA, Alikiba alikuwa akiwania tuzo hizo katika vipengele viwili 'Favorite Artist of the year'na Favorite song of the year.
Mbali na Alikiba wasanii wengine waliokuwa wanawania tuzo hizo ni pamoja na Diamond Platnumz, Mr Flavour, Davido, na wasanii wengineKwa upande wa Alikiba amewashukuru mashabiki zake kwa kuweza kumpigia kura na kumfanya aweze kushinda tuzo hizo mbili. "Asanteni sana fans blood wote tuliopiga kura usiku na mchana tuendelee na kupiga kura @afrimma" Alikiba

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles