Vichwa 8 vya Habari kubwa kwenye TV za Tanzania May 16 2016
Kichwa cha Habari kutoka ITV…Morogoro Watu 11 wakamatwa kwa tuhuma za kumdhalilisha mwanamke wa miaka 21Kichwa cha Habari kutoka ITV…Bungeni Dodoma Msemaji wa kambi ya upinzani asusia kuwasilisha maoni...
View ArticlePenzi la Diamond, Kiba Lamtesa Jokate
Siri imevuja kuwa penzi la vinara wawili wa Muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond PlanumZ’ na Ali Saleh Kiba ‘King’ linadaiwa kumtesa mlimbwende Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ ambaye amekuwa akijutia...
View ArticleSerikali yazidi kumg'ang'ania Zombe, yafufua kesi yake kivingine
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amemuondolea kosa la mauaji aliyekuwa mkuu wa upelelezi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abdallah Zombe na sasa inataka ajibu mashtaka ya kuficha wahalifu.DPP amefanya mabadiliko...
View ArticleWalimu 35,411 Kuajiriwa Mwezi wa 7 Mwaka Huu
Walimu 35,411 nchini wataajiriwa katika shule za msingi na sekondari katika mwaka wa fedha 2016/2017.Watakaokaidi kwenda kuripoti katika mikoa ya pembezoni, hawataajiriwa na serikali.Hatua hiyo...
View ArticleTOA ODA YAKO SASA KWA HUDUMA YA MC DR CHENI NI MSHEREHESHAJI BORA ZAIDI TANZANIA
Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde
View ArticleCALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION
PROJECT PROPOSAL ............................................................300,000/=RESEARCH PROPOSAL WRITTING.......................................250,000/=RESEARCH PAPER...
View ArticleBreaking News:David Kafulila ameshindwa katika kesi aliyoifungua kupinga...
TABORA: Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ameshindwa katika kesi aliyoifungua kupinga ushindi wa Hasna Mwilima wa CCM.BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleLEWIS MBONDE BLOG INADHAMINIWA NA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI...
LEWIS MBONDE BLOG INADHAMINIWA NA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI NA MBADALA.ANAPATIKANA MOROGORO,MTAA WA MAFISA KARIBU NA KANISA LA KAKOBE PIGA +255 717 344 281+255 765 732 242+255 784 732...
View ArticleSababu 5 kwanini wanawake wenye akili nyingi hupata tabu ya kupata mapenzi...
Akili nyingi ni zawadi na laana. Wanapojiangalia kwenye kioo, wanawake wenye akili nyingi huona picha ya mtu mwenye nguvu mwenye malengo, anayejua anachotaka. Kuwa na akili nyingi ni kitu muhimu kuwa...
View ArticleKutoielewa sheria ya makosa ya mtandao kutawaponza wengi
Tecno, Huawei na simu zingine za sqmartphone zenye bei chee zimewafanya watu wengi kuweza kufaidi ukuaji wa teknolojia. Lakini pia uwepo wa simu hizo, usingeweza kukamilika pasipo makampuni za mitandao...
View ArticleMabasi ya Mwendo Kasi ‘Yawatema’ Askari na Walimu
HUDUMA ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka imeanza rasmi jana jijini Dar es Salaam huku yakilalamikiwa na watumiaji wakiwemo baadhi ya watu waliokuwa na msamaha wa kusafiri bila kutoa nauli, ambao...
View ArticleAliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue Sasa Amestaafu Bila...
Aliyekuwa Katibu mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue sasa amestaafu bila kupangiwa kazi nyingine kama alivyoahidiwa na Rais John Magufuli siku aliyomteua Balozi Injinia John Kijazi kushika wadhifa huo na...
View ArticleMjane Aliyemwaga Machozi Mbele ya Rais Magufuli Akabidhiwa Nyumba Yake
Hatimaye mjane aliyemwaga machozi mbele ya Rais John Magufuli akidai kudhulumiwa mali ya urithi, amepewa nyumba na shamba baada ya Mkuu wa Wilaya ya Babati mkoani Manyara, Crispin Meela kusuluhisha...
View ArticleNakua Kama Chizi Kwa Wivu wa Mke Wangu...
Nina mke mmoja ambae tunapendana sana tatizo ana WIVU kupindukia.Ninapoingia tu home ananidaka na kuninusa nguo,akisikia pafyum kwa mbali MATATIZO,mim situmii pafyum ila usafiri wa kwetu ni...
View ArticleKIJIPU UPERE NDANI BARABARA YA MAGARI YA MWENDO KASI
Hivi jamani watanzania tutabadilika lini maana sijui kuna watu wengine kama hawaelewi, wamekuambia hiyo ni barabara ya magari ya mwendo kasi na wewe unaunga nyuma yake. Ilo gari la wagonjwa tunaweza...
View ArticleMAISHA: Uzuri wa Mke ni Tabia. Je, Uzuri wa Mume ni Nini?
Huwa nasikia mara nyingi watu wakisema na hata kuimba ni nini. Msisitizo umekuwa kuweka vigezo vya kijumla kwa mwanamke, sijaona kukiwa na msisitizo wa vigezo vya jumla kwa wanaume.Ninajua kila...
View ArticleDR CHENI AIASA JAMII KUACHA KUWADHALILISHA WANAWAWAKE
Ameandika maneno haya kupitia account yake ya instagram kufuatia jeshi la polisi kufanikiwa kuwakamata na kwafikisha mahakaani wale waliodhalilisha binti huko morogoro drchenitzAsanteee serikali kwa...
View ArticleBesigye ashtakiwa kosa la uhaini Uganda
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye amefikishwa mahakamani mjini Kampala na kushtakiwa kwa kosa la uhaini.Dkt Besigye alifikishwa katika majengo ya mahakama ya Nakawa mapema kabla ya saa...
View Article