Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Vichwa 8 vya Habari kubwa kwenye TV za Tanzania May 16 2016

$
0
0

Kichwa cha Habari kutoka ITV…Morogoro
Watu 11 wakamatwa kwa tuhuma za kumdhalilisha mwanamke wa miaka 2120160516_201604
Kichwa cha Habari kutoka ITV…Bungeni Dodoma
Msemaji wa kambi ya upinzani asusia kuwasilisha maoni ya kambi hiyo20160516_200244
Kichwa cha Habari kutoka TBC1Watu 11 wanashikiliwa na jeshi la Polisi kwa tuhuma za udhalilishaji20160516_200744
Kichwa cha Habari kutoka TBC1…Serikali yatoa ushirikiano wa kutosha kuhusu mkataba wa Lugumi20160516_200253
Kichwa cha Habari kutoka Azam TWO…Bure kwa waendao kwa miguu tu
Wakazi wa Jiji la Dar es salaam wanaotumia Daraja jipya la Mwalimu Nyerere, wanatumia daraja hilo bila malipo kupita kwa miguu, ikiwa ndio siku ya kwanza leo kuanza kulipiwa.20160516_201107
Kichwa cha Habari kutoka Azam TWO…Watuhumiwa wa ubakaji wanaswa20160516_201343
Kichwa cha Habari kutoka Star TV…Wanafunzi wawili wagongwa
Wakazi wa kisesa wafunga barabara Mwanza- Musoma baada ya wanafunzi wawili kugongwa na mmoja kufariki20160516_200308
Kichwa cha Habari kutoka Star TV…Mabasi yaendayo kasi Dar
Ikiwa ni siku ya kwanza kwa wakazi wa Dar kulipia, kwenye huduma ya Mabasi yaendayo kasi, vituo vyake vyakabiliwa na Changamoto mbalimbali.
20160516_200920

ULIIKOSA EXCLUSIVE YA LULU KWANINI HAKUPOST WALA KWENDA

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles