
Ameandika maneno haya kupitia account yake ya instagram kufuatia jeshi la polisi kufanikiwa kuwakamata na kwafikisha mahakaani wale waliodhalilisha binti huko morogoro

drchenitzAsanteee serikali kwa kufanikisha kuwakamta na kuwafikisha mahakamani hawa jamaa waliomdhalilisha mwanadada si jambo jema kumdhalilisha mwanamke hawa ni mama zetu