Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO NA HABARIKA BLOG BEI ZETU NI NAFUU SANA

HABARIKA  BLOG Audience: Readers of our blog 1,1449,986DemographicsThe targeted audience is aged between 18 and AboveHabarika blog is read in 130+ countries, but the targeted audience are the residence...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sheria ya Mtandao Yamtia Mbaroni Mtayarishaji wa Vipindi Mkoani Dodoma

Mtayarishaji wa vipindi, Sospiter Jonas amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo ya Dodoma Mjini akishtakiwa kwa matumizi mabaya ya mtandao.Sospiter alisomewa mashtaka hayo na Mwendesha Mashtaka wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa: Mliobaki CCM Nifuateni Chadema.

Mgombea wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amewataka viongozi na makada wengine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete Awaonya Wanaopanga Kulinda Kura Vituoni

Rais Jakaya Kikwete amesema watu wanaopanga kubaki katika vituo vya kupigia kura baada ya kumaliza zoezi hilo kwa lengo la kulinda kura kunaashiria uvunjaji amani, hivyo serikali imejipanga kupambana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DR BILAL AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU DKT....

Maafisa wa Bunge wakibebea Jeneza lenye mwili wa marehemu Dkt. Abdallah Kigoda, wakati ulipowasili kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuagwaMakamu wa Rais wa Jamhuri ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kizza Besigye akamatwa Uganda

Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda, Kizza Besigye amekamatwa pamoja na wanachama wengine wa chama chake.Kukamatwa kwao kunajiri wakati ambapo chama hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi...

Mwenyekiti  wa  Chadema, mh Freeman Mbowe  amemtaka Rais Kikwete kutovuruga amani ya nchi na badala yake   amemtaka aondoke  madarakani  na kuiacha  nchi ikiwa  salama.Mbowe alitoa  kauli hiyo jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

National Election call centre launched

UNDP Country Director, Awa Dabo The National Electoral Commission (NEC) has appealed to the public to make sensible use of the national election information centre it launched yesterday, saying all...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MAJESHI DAVIS MWAMUNYANGE YUPO SALAMA ANAENDELEA NA MAJUKUMU YAKE NA...

 Mkuu wa majeshi akiwa katika shughuli zake za kawaida nje ya nchi mzima wa afya njemaAkiwa London juzi na mjukuu wake Familia ya Mkuu wa Majeshi General Davis Mwamunyange imetoa kauli mara baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OMMY DIMPOZ AWASHUKURU WALIOJITOKEZA KUMPOKEA ALIPOWASILI AKITOKEA MAREKANI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI MWENZA WA UKAWA DR EMMANUEL MAKAIDI AMEFARIKI DUNIA

Mwenyekiti wa NLD, ambaye ni mwenyekiti mwenza wa vyama vya upinzani vinavyounda Ukawa, Dkt. Emmanuel Makaidi amefariki leo majira mchana katika hospitali ya Nangao mkoani Lindi.Taarifa za uhakika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO TANZANIA IJUMAA OKTOBA 16, 2015

...........................

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya Kujitoa CCM, Balozi Juma Mwapachu Atoa Mpya..Adai Hata Nyerere...

Siku moja baada ya kutangaza kujitoa CCM, kada mkongwe wa chama hicho, Balozi Juma Mwapachu amesema uamuzi alioufanya ni sahihi ambao hata Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere angekuwa hai angeufanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HELIKOPTA YA CCM YAANGUKA MBUGANI IKIWA NA MH DEO FILIKUNJOMBE

Usiku wa kuamkia leo October 16 2015 majukwaa  ya siasa Tanzania yametawaliwa na ajali ya Helikopta ambayo imeanguka na kulipuka kwenye mbuga ya BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lamar Odom Has 50/50 Chance For Survival, Took Several Sex Pills Before His...

According to a report by TMZ, former NBA star Lamar Odom has a 50/50 chance of survival. They also confirmed that Khloe is still married to him and is now making all the decisions on his behalf.Sources...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baadhi Ya 'Vituko' Vilivyopo Ndani ya Daftari la Wapiga Kura.....Picha...

Hizi  picha  mbili  za  kulia  sio  za  binadamu. Moja  ni  kama  ya  mlango, nyingine  ni  weusi tu  unaonekana BONYEZA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWSS: MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LUDEWA (CCM),DEO FILIKUNJOMBE AFARIKI...

HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE:Aliye kuwa Mbunge wa jimbo la Ludewa na Mgombea wa jimbo hilo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM, Deo Filikunjombe (Pichani) amefariki dunia wakati akielekea kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMAMOSI OKTOBA 17,2015

............................

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL NOW +255 658 194 194 FOR I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION

BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)..................................... 45,000/=BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)........................25,000/=ADSENSE (BLOGGERS UJIPATIE...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dakika 6 za maneno ya mwisho ya marehemu Deo Filikunjombe

Deo Filikunjombe alikua mbunge wa Ludewa (CCM) ambaye alipata ajali ya Helikopta kwenye eneo la Selous na kufariki jioni ya October 15 2015 akiwa na watu wengine watatu akiwemo baba mzazi wa aliyekua...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live