Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Baada ya Kujitoa CCM, Balozi Juma Mwapachu Atoa Mpya..Adai Hata Nyerere Angekuwa Hai Angejitoa CCM

$
0
0
Siku moja baada ya kutangaza kujitoa CCM, kada mkongwe wa chama hicho, Balozi Juma Mwapachu amesema uamuzi alioufanya ni sahihi ambao hata Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere angekuwa hai angeufanya kwa sasa.

Balozi Mwapachu alieleza hayo jana katika mahojiano maalumu na kuongeza kuwa chama chake cha zamani kimepoteza 
 
 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles