Mtoto wa Miaka Mitatu Abakwa Na Kunyongwa Hadi Kufa
Mtoto mwenye umri wa miaka 3 na miezi 4 Mariam Deogratius mwanafunzi wa shule ya awali ya Makoko iliyopo katika Manispaa ya Mji wa Musoma mkoani Mara, amebakwa kisha kunyongwa hadi kufa na mtu...
View ArticleNay wa Mitego Akimbilia Polisi..Achukua RB Adai Kuna Watu Wanamfuatilia...
MKALI wa Bongo Fleva, ambaye wimbo wake wa ‘Shika Adabu Yako’ umefungiwa na Baraza la Sanaa Nchini (Basata), Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, ameibuka na kudai kwamba ameamua kuchukua R/B kituo...
View ArticleAgnes Masogange na Wenzako Tumieni Ujana Wenu Vizuri
KWAKO Agness Gerald ‘Masogange’ pamoja na wenzako wengi ambao baadhi yao nitawataja kwa majina hapo chini. Nawasalimu katika jina la Bwana, vipi mko poa? Mnajionaje na hali? Mishe zenu zinakwenda kama...
View ArticleBandari ya Dar es Salaam yafunga Kamera 486 Kudhibiti Wizi
Zikiwa zimepita siku chache tangu waziri mkuu Mh Kassim Majaliwa kufanya ziara ya kushtukiza bandari ya Dar es Salaam na kubaini uozo wa kuchepushwa kwa bomba la mafuta mamlaka hiyo imekuja na mpango...
View ArticleRay C.'Nilianguka Bahati Mbaya Kama Binadamu Mwingine Watu Wangu wa Karibu...
Ray C ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano katika kipindi cha Planet bongo kinachorushwa na kituo cha EATV .BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleHili Hapa Ndio Tundu Lililochimbwa na Watuhumiwa wa Ujangili na Mauaji na...
Watuhumiwa watatu wa kesi za ujangili pamoja na mauaji wametoroka mahabusu katika kituo cha polisi wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu, mara baada ya kutolewa mahakamani kusikiliza kesi...
View ArticleNaibu Spika Dk. Tulia Ackson Anusurika Kifo Baada Ya Kupata Ajali
NAIBU Spika Dk. Tulia Mwansasu, amepata ajali mkoani Mbeya alikokwenda kwa ajili ya mapumziko. Kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Zainab Mbussi, Dk. Tulia alipata ajali hiyo jana wakati akitokea...
View ArticleNiva Aanika Siri za Nay wa Mitego ikiwemo Kupigwa Kibuti na Shamsa Ford
Baada ya Nay wa Mitego kumchana staa wa bongo muvi,Niva super mario kuwa ‘hana pa kulala,analala kwenye gari’ kupitia wimbo wake wa shika adabu yako,Niva amejitokeza na BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleDavido Paid $200,000 For His Feature With Meek Mill..!
This was revealed in Davido's Interview for Fader's February/March 2016 Issue. Davido featured American rapper Meek Mill in his hit single, “Fans Mi” .
View ArticleLEWIS MBONDE BLOG INADHAMINWA NA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI...
LEWIS MBONDE BLOG INADHAMINWA NA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI NA MBADALA.ANAPATIKANA MOROGORO,MTAA WA MAFISA KARIBU NA KANISA LA KAKOBE PIGA +255 717 344 281+255 765 732 242+255 784 732...
View ArticleCALL NOW +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE...
BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)...................................50,000/=BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)........................25,000/=ADSENSE (BLOGGERS UJIPATIE...
View ArticleWEMA SEPETU APATA MAJANGA MENGINE ATAKIWA KURUDISHA PESA ZA NGUO ANAZODAIWA
Aliyekuwa shabiki namba moja wa muigizaji wema sepetu(Team wema) , matilda au maarufu kama matikibokoyao ametoboa moja ya siri ya aliyekua boss wake kuwa huwa anakopa nguo kwa mfanyabiashara maarufu...
View ArticleMwanafunzi Wa Kidato Cha Tatu Ajinyonga Kisa Hiki Hapa
Mwanafunzi wa Kidato cha Tatu katika Shule ya Sekondari Nyanungu Tarafa ya Ingwe wilayani Tarime mkoani Mara, Charles Chacha (19), amekutwa amejinyonga chumbani kwake kwa kutumia kamba ya...
View ArticleHALMASHAURI MPYA YA MJI WA MBINGA MKOANI RUVUMA, YAAZIMIA KUNUNUA MITAMBO...
Mkurugenzi wa halmashauri mpya ya mji wa Mbinga OSCAY YAPESA......................Halmashauri mpya ya mji wa Mbinga mkoani Ruvuma, imeazimia kununua mitambo maalumu ya kusaga takataka ili kuondokana...
View ArticleBasi La Mashimba Express La Kahama- Mwanza Lagongana Na Gari Ndogo Na Kuua...
Watu wanne wamefariki dunia katika ajali baada ya basi la Mashimba Express lililokuwa linasafiri kutoka Kahama kwenda jijini Mwanza kugongana na gari dogo katika eneo la njia panda kuelekea wilayani...
View ArticleRay: Kama Huamini Sikulazimishi, Mi Maji Yananing’arisha!
HIVI kari-buni gumzo kubwa mitaani pamoja na kwenye mitandao mingi ya kijamii ilikuwa juu ya staa wa Bongo Muvi, Vincent Kigosi ‘Ray’ baada ya kudai kuwa kunywa maji mengi kunamfanya aendelea kuwa...
View ArticleMkongwe wa Muziki wa Dansi Mzee Kassim Mapili Afariki Dunia
Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Kassim Mapili amefariki dunia.Mzee Mapili alikutwa amefariki nyumbani kwake Tabata Matumbi. Inasemekama kifo chake kimejulikana usiku wa jana baada ya...
View Article