Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA NDIO MANENO MAKALI ALIYOPEWA LULU KUTOKA KWA MAMA YAKE

Mwigizaji Lulu ameandika haya jana kwenye ukurasa wake mtandaoni, ikiwa ni siku ya kuzaliwa ya mama yake mzaziUmenifundisha kujua thamani ya Mama Duniani,Umenifundisha urafiki wa kweli uko vipi,undugu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUFURU NYINGINE KUTOKA KWA FLOYD MAYWEATHER BAADA YA KUJA NA SAA YA BILLION 2

Bondia maarufu duniani, Floyd Mayweather yupo mapumzikoni dubai.Kama sehemu yake ya matumizi ya kawaida bondia huyo ameamua kuonyesha jeuri nyingine ya fedha baada ya kununua saa ya mkononi yenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL NOW +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE...

                BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)..............................  60,000/=              BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)..................... 45,000/=              ADSENSE (BLOGGER...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cheni Arts Creation Company Wasambazaji wa Filamu za Kibongo

Inatoa nafasi ya kuchukua filamu za wasanii wachanga na wakubwa kwa ajili ya  kuzipeleka kwenye tv stesheni zilizowai kutoka na atakama kazi yako ujaitoa tutaichukua kwa makubaliano maalumu ili tuweze...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Misaada Ya Mbunge Lwakatare (Chadema ) Yakataliwa Hospitalini

Baadhi ya wakuu wa vituo vya afya na zahanati katika Manispaa ya Bukoba, wamegoma kupokea misaada kwa ajili ya wajawazito uliotolewa na Mbunge wa Bukoba Mjini (Chadema), Wilfred Lwakatare kwa madai ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Tanzania Leo Jumatatu Ya Jaunuari 4, 2016

  BONYEZA HAPA KUSOMA MAGAZETI MENGINE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Daraja la Flyover Limeanza Kujengwa Makutano ya Tazara

 Naam, ujenzi wa flyover pale TAZARA jijini Dar umeanza kama ilivyoahidiwa.Tutarajie kupata kitu imara toka kwa wajapani?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chuo cha Garissa kufunguliwa tena

Image copyrightAFPImage captionKituo cha polisi kimejengwa ndani ya chuo kikuu cha GarissaChuo kikuu cha Garissa, mashariki mwa Kenya, kilichofungwa mwaka uliopita baada ya watu 148 kuuawa kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchungaji Lwakatare Apinga Nyumba yake Kubomolewa....Mwanasheria Wake Aitaka...

Mchungaji  a  Kanisa  la  Assemblies of God,Mikocheni, Dr Getrude Lwakatare amepinga  nyumba  yake  kubomolewa  ikiwa  ni  siku chache  baada ya wizara  ya  maliasili  na  utalii kupitia  wakala  wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Basi la Luwinzo Lagongana na Lori Asubuhi Hii.......Wawili wafariki Dunia...

Basi la abiria la kampuni ya Luwinzo linalofanya safari za Dar es salaam - Njombe limegongana na lori asubuhi hii likitokea Njombe kuelekea Dar.  BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Noti Bandia Zawaliza Wafanyabiashara Msimu wa Christmas

Misimu wa sikuu za Christmas na Mwaka Mpya ilikuwa na neema kwa wafanyabiashara wengi nchini lakini iliacha vilio vya utapeli kwa baadhi wa wafanyabiashara hususan maeneo ya pwani waliojikuta wametoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge wa Kinondoni Mhe. Maulid Mtulya Awasilisha Pingamizi Mahakamani kuhusu...

Mbunge wa jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia amewasilisha mahakamani shauri la kupinga zoezi la ‘bomoabomoa’ linaloendelea jijini Dar es Salaam.Shauri hilo lenye uwakilishi wa wananchi nane linatarajiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ikulu Yamjibu Dk Makongoro Mahanga Aliyemtuhumu Rais Magufuli Kuunda Serikali...

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amesema ameshangazwa na kauli ya aliyekuwa Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongo  Mahanga kuwa wingi wa makatibu wakuu unakinzana na dhana ya kupunguza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shule sita Nchini Kufundisha Kichina

WIZARA ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi imeteua shule sita za sekondari nchini kuingia katika mpango maalumu wa wanafunzi wake kufundishwa somo la lugha ya Kichina kuanzia mwaka huu.Kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mbarawa Atoa Siku Tatu Ukarabati Reli Ya Kati Iliyosombwa na Mafuriko

Waziri Mbarawa Atoa Siku Tatu Ukarabati Reli Ya Kati Iliyosombwa na MafurikoWaziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amewataka watendaji wa Shirika la Reli nchini (TRL) na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL NOW +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE...

                BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)..............................  60,000/=              BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)..................... 45,000/=              ADSENSE (BLOGGER...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cheni Arts Creation Company Ltd Wasambazaji wa Filamu za Kibongo

Inatoa nafasi ya kuchukua filamu za wasanii wachanga na wakubwa kwa ajili ya  kuzipeleka kwenye tv stesheni zilizowai kutoka na atakama kazi yako ujaitoa tutaichukua kwa makubaliano maalumu ili tuweze...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Naibu Waziri -Tamisemi Seleman Jaffo Amsimamisha Kazi...

Naibu Waziri Tamisemi Suleiman Jaffo amemsimamisha kazi kwa muda Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela jijini Mwanza John Wanga ili kupisha uchunguzi wa uhalali wa fedha zilizotumika kujenga fensi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Saed Kubenea Akana Tuhuma Dhidi Yake.....Asimulia Jinsi Alivyosoma, Akana...

==> Hili  ni  Tamko  La  Saed Kubenea(mbunge wa ubungo)  kupangua Tuhuma Mbalimbali zilizoelekezwa  kwake  NIMESOMA andishi la anayejiita Seif Rashid, lililochapishwa kwenye mitandao kadhaa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND PLATINUMZ NA ROMY JONES NGOMA NZITO.WATIBUANA MBAYA,MAZITO YAFICHUKA,

Kimenuka! Mbongo-Fleva mwenye taito kubwa Afrika kwa sasa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kutibuana na kaka yake, Romy Jones ‘Romy Jons’, kiasi kwamba hata mawasiliano ya simu hayapo kama...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live