Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUMPHREY Polepole Ateuliwa Kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Humphrey PolePole ameteuliwa na Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi kuchukua  nafasi ya  Nape NnauyeKwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YOUNG D 'Kwa Mara ya Kwanza Nimejisikia Tofauti Sana Baada ya Kumbeba tu...

Rapper Young Dee amesema kupata mtoto kumempa furaha ambayo hawajawahi kuwa nayo katika maisha yake.Young amesema:Kwa mara ya kwanza nimejisikia tofauti sana baada ya kumbeba tu mwanangu. Yaani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MR Nice Afunguka Haya Baada ya Kuzushiwa Amefariki Dunia.....

Msanii mkongwe wa muziki, Mr Nice amesikitishwa na watu ambao wamemzushia kifo katika mtandao wa kijamii.Mtandao mmoja wa kijamii uliandika taarifa za uongo kwamba muimbaji huyo amefariki akiwa nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumatano ya Disemba 14,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAJABU YA DUNIA:KUTANA NA MAKABURI YA KIFAHARI YANAYOZIDI NYUMBA ZA...

Maishani, watu wengi hutaka kuishi katika nyumba nzuri na za kifahari. Wengi huwa hawafanikiwi. Lakini nchini Mexico, ambapo ulanguzi wa mihadarati umekithiri, wakuu wa magenge ya ulanguzi wa dawa za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yamwaga Ajira za Walimu wa Sayansi na Hisabati

   SERIKALI imetangaza kuajiri walimu wa masomo ya sayansi na hisabati katika shule za sekondari ambao wametakiwa kupeleka nakala za vyeti vyao vya elimu ya sekondari, vya taaluma ya ualimu (stashahada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamanda Sirro: Aliyetishwa na kauli ya Mzee wa Upako afungue kesi

Polisi  Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imemtaka yeyote anayeona kuwa kauli iliyotolewa na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo maarufu Mzee wa Upako imetishia maisha yake,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO WA PILI WA DIAMOND AZUA BALAA ZITO,FREEMASON WAMCHUNGUZA DIAMOND PLATINUMZ

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYETOBOLEWA MACHO USO KWA USO NA SCORPION MAHAKAMANI.

(Picha by Google)Kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha na kujeruhi inayomkabili Salum Njwete ‘Scorpion’ imeendelea katika mahakama ya wilaya ya Ilala wakati shauri hilo lilipoletwa kwa ajili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI wa Afya wa Afrika Kusini Atoa Kali..Adai Wanaume Ambao Ucheza Dansi...

Waziri wa Afya wa Afrika Kusini, Aaron Motsoaledi amezua mshangao mkubwa nchini humo baada ya kuwaonya wasichana akisema kuwa wanaume ambao hucheza sana kwenye sherehe na kumbi za starehe huwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA:CHAMPION FRANCIS CHEKA AKIWA INDIA TAYARI KUMKABILI VIJENDER SINGH 17 DEC

Mkutano na waandishi wa habari new delhi India Champion Francis Cheka akiwa na Promota wake Jay Msangi new delhi IndiaAmeuambia mtandao huu kuwa "Tumefika salama na naendelea vzuri na mazoezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Francis Cheka:"Wewe dogo Mm sio wa mchezomchezo waulize niliowapiga...

"Wewe dogo Mm sio wa mchezomchezo waulize niliowapiga watakuambia usinichukulie poapoa medali ya olimpiki sio kitu kwangu mm ni bingwa wa dunia inter-continental champion dec 17 utajua ni kwa nini mm...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Alhamisi ya Disemba 15,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamko la LHRC na THRDC kuhusu kukamatwa mwanzilishi wa JamiiForums

Kutoka LHRC:Kutoka THRDC:

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kauli ya CHADEMA kufuatia kutoweka kwa kada wao Bwana Ben Sanane

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hadi sasa hakijui alipo msaidizi wa Mwenyekiti wa chama hicho, Ben Saanane.Kimevitaka vyombo vya dola, kuchukua hatua za haraka kuhakikisha msaidizi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU NDIYE POLISI MREMBO ZAIDI HUKO KENYA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATARAJIO Makubwa ya Kupata Kazi Baada ya Masomo, Yanatuponza

Ni kweli kwamba tunapokuwa vyuoni au tunapopata nafasi za kujiunga na vyuo wengi wetu matarajio ni kumaliza na kuja kupata kazi nzuri zenye mishahara minono minono.Ila matarajio huwa sio pale...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE Lema Anyimwa Dhamana Tena Leo....Wafuasi Watawanywa Kwa Mabomu ya Machozi

ARUSHA: Mbunge Lema amenyimwa dhamana amerudishwa Magereza ya Kisongo, kesi kusikilizwa tena siku ya Ijumaa, tarehe 16 Desemba 2016.Inadaiwa kuwa baadhi ya wafuasi waliokusanyika mahakamani kusikiliza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI la Polisi Lafanya Ukaguzi Ofisi za Jamii Forums na Nyumbani kwa Mmiliki...

Leo Jeshi la Polisi limefanya ukaguzi na mahojiano kwenye Ofisi za Jamii Media(Fikrapevu.com na JamiiForums.com) na walienda pia nyumbani kwa Mwanzilishi, Maxence MeloPolisi walichoondoka nacho ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIBONZO VILIVOBAMBA LEO MTANDAONI

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live