Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853
↧

MBUNGE Lema Anyimwa Dhamana Tena Leo....Wafuasi Watawanywa Kwa Mabomu ya Machozi

$
0
0

ARUSHA: Mbunge Lema amenyimwa dhamana amerudishwa Magereza ya Kisongo, kesi kusikilizwa tena siku ya Ijumaa, tarehe 16 Desemba 2016.

Inadaiwa kuwa baadhi ya wafuasi waliokusanyika mahakamani kusikiliza kesi hiyo walitawanyishwa kwa mabomu ya machozi.
↧

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Latest Images

Trending Articles