Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BEKI Aliyenusurika Ajali Ya Ndege Iliyowaua Wabrazil Aanza Kutembea

Alan Ruschel, aliyesalimika kwenye ajali ya ndege iliyoua watu zaidi ya 70 wakiwemo wachezaji wa timu ya Chapecoense ya Brazil ameanza kutembea.Ruschel ameanza kutembea kwa msaada wa mmoja wa madaktari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Salome ya Diamond ni video ya muziki iliyotazamwa zaidi Kenya kwenye Youtube,...

Video ya wimbo wa Diamond Platnumz aliomshirikisha Raymond, Salome, ndiyo video ya muziki iliyotazamwa zaidi kwenye mtandao wa Youtube nchini Kenya, kwa mujibu wa shirika la habari la BBC, kupitia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mungu mwenyewe atakuja kuinusuru tasnia ya filamu sio sisi – Gabo Zigamba

Msanii wa filamu Salim Ahmed aka Gabo Zigamba amedai hakuna msanii wa filamu ambaye ataweza kuinusuru tasnia ya filamu kutokana na wasanii wa filamu kukosa umoja.Alisema hayo wiki hii wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BIRTHDAY TANZANIA GODBLESS TANZANIA

Happy Birthday Tanzania...Tanganyika ni jina la kihistoria la sehemu kubwa ya Tanzania ya leo, yaani ile yote isiyo chini ya serikali ya Zanzibar.Kwa sababu za kisiasa, mara nyingi huitwa "Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: Rais Dk Magufuli akitembea kama mwanajeshi baada ya kukagua gwaride

Leo Desemba 9 Tanzania Bara imeazimisha miaka 55 tangu ilipopata uhuru wake kutoka kwa wakoloni mwaka 1961. Maadhimisho hayo yamepambwa na shughuli mbalimbali za kijeshi lakini pia ngoma za asili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli ataja mambo yanayoikwamisha Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameitaja rushwa kama changamoto sugu ambayo bado inaendelea kulitafuna taifa la Tanzania katika miaka yake 55 ya Uhuru.Rais Magufuli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sherehe za Uhuru kuhamia Mkoani Dodoma....Leo Ilikuwa Mara ya Mwisho...

Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara zitakuwa zikifanyika mjini Dodoma kuanzia mwaka 2017 badala ya Jijini Dar es Salaam kama ilivyozoeleka.  Uamuzi huo umetangazwa leo na Rais wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha 16 za Maadhimisho ya Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara Yaliyofanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: Makomando wa JWTZ walivyoonyesha uwezo wao mbele ya Rais Magufuli

Leo  zimefanyika sherehe za maadhimisho ya 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Uhuru Dar es salaam, ambapo Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli alikuwa mgeni Rasmi. Mbele ya Rais Magufuli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABWENI YA MTWARA TECHNICAL SCHOOL YATEKETEA KWA MOTO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIBONZO VILIVYOBAMBA LEO MTANDAONI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO TANZANIA JUMAMOSI 10 DESEMBA 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA Kuhusu Usalama Wa Dawa Aina Ya “Diclofenac” Na “Diclopar

TAARIFA KWA UMMA    28  Oktoba, 2016USALAMA WA DAWA AINA YA “DICLOFENAC” NA “DICLOPAR”1. TFDA inajukumu la kulinda na kudumisha afya ya jamii kwa kudhibiti ubora, usalama na ufanisi wa vyakula, dawa,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA HIVI VITUKO NATUMAI NAWE UTAVUNJIKA MBAVU ZAKO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BILIONEA AMZIKA MAMA YAKE NDANI YA GARI LA KIFAHARI HAMMER HUKO NIGERIA

 Ama kweli Duniani kuna mambo, Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni. Huko nchini Nigeria Bilionea mmoja maarufu amemzika mama yake akiwa ndani ya gari la kifahari aina ya Hummer SUV Jeep , lenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hawa hapa Wasanii wa Bongo Flava Ambao Walichezea Shilingi Kwenye Shimo la...

Hapana shaka hata kidogo mziki wa Bongefleva umepanda chati kwa kasi sana kimataifa hasa barani afrika na wanamuziki wake wamekuwa na ushawishi mkubwa katika kiwanda cha muziki ndani na nje ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI ASAMEHE WAFUNGWA 5,678 .......1,340 WATAACHILIWA HURU

Katika kuadhimisha miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe  9 Disemba, 2016 Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutumia madaraka aliyopewa chini ya Ibara ya 45(1)(d) ya Katiba ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIBONZO VILIVYOBAMBA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAIDIZI wa Mbowe, Ben Saanane Adaiwa Kupotea Tangu Nov 18, Hata Simu Zake...

Moja kati ya wasaidizi wa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameripotiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa siku 22 hadi leo.Taarifa zilizothibitishwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchungaji awanywesha waumini dawa ya kuua bakteria “Dettol” adai ameagizwa na...

Afrika Kusini inazidi kuzichukua headlines nyingine ikiwa ni wiki kadhaa tangu iripotiwe taarifa ya mchungaji aliyewapulizia waumini wake dawa ya kuua wadudu “Doom” kwa maelezo kuwa watapona magonjwa...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live