Kodi ya Kusajili Gari Kwa Kuandika Jina Lako Yaongezeka Kutoka Milioni 5 Hadi 10
Bajeti ya Serikali iliyotangazwa huenda ikapunguza idadi ya watu wanaopenda kuonekana tofauti, kwenye usajili wa magari kwa kuandika majina yao badala ya namba.Wamiliki wa magari wanaotaka kusajili...
View ArticleMchanganuo Mzima wa Bajeti ya Serikali 2016/ 2017 Iliyosomwa Jana...
SERIKALI imewasilisha Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2016/2017 ya Sh trilioni 29.53, ambayo nguvu kubwa imewekwa katika kukusanya mapato kwa kulinda viwanda vya ndani na kubana matumizi ya serikali ili...
View ArticleMwanza, Kagera, Kigoma Zaongoza kwa Umasikini wa Kipato
PAMOJA na maendeleo yaliyotokana na kukua kwa pato la wastani la Mtanzania na kupungua kwa umasikini wa mahitaji ya msingi, serikali imeainisha mikoa mitano iliyokithiri kwa umasikini wa...
View ArticleMitumba Inapozuiwa Bila Kuwa na Misingi ya Kujenga Viwanda
Hivi Unapozuia Mitumba Isiingie Nchini Wakati Huna Kiwanda Hata Kimoja Cha Kutengeneza Nguo Uko Sahihi Kweli? Wananchi Wa Vijijini Wamezoea Kuvaa Nguo Za Bei Nafuu Sh 1000 Wateweza Kweli Kushona Nguo...
View ArticleNaibu Spika awavuruga wabunge wa Ukawa, Aagiza wasilipwe Posho wakisusa
Hatimaye Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson ametoa maamuzi kuhusu hoja ya wabunge kulipwa posho au kutolipwa wanapoingia Bungeni na baadae kutoka nje kwa shughuli...
View ArticleCALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION
CALL +255 658 194 194 BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA).............................. 60,000/= BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)..................... 45,000/=...
View ArticleMAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AKUTANA NA HASHIM THABEET MCHEZAJI WA NBA LEO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mchezaji wa kikapu wa kulipwa nchiniMarekani, Mtanzania Hashim Thabeet, wakati alipofika Ofisini kwa Makamu wa...
View ArticleBOT YAPANGA KUONDOA NOTI ZOTE ZA MIA TANO NDANI YA MIEZI 4 IJAYO
Benki kuu ya Tanzania (BoT)imepanga kuondoa noti zote za shilingi mia tano ndani ya miezi minne ijayo kutokana na uchakavu.Mkurugenzi wa kurugenzi ya usimamizi wa mabenki Martian Kobelo amesema sarafu...
View ArticleWakili Apigwa na Kuchaniwa Nguo Mahakamani
Wakili wa China aliyevuliwa nguo Mawakili wengi wa China wamenyanyaswa,kukamatwa na hata kufungwa jela lakini picha ya mmoja wao aliyekuwa naBONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleWatoto Sita Wafariki Wakibatizwa Mtoni Huko Zimbabwe
NB-Siyo picha katika habari hapa chiniWatoto sita wamekufa maji bila kutarajiwa katika sherehe za kubatizwa kwao katika mto nchini Zimbabwe. Watoto watatu walinusurika kufa maji ya mto huo ambao maji...
View ArticleMahakama ya Rufani Yatengua Hukumu ya Mahakama Kuuu Dhidi ya Bosi wa Zamani...
Mahakama ya Rufani Tanzania, imeamuru jalada la kesi inayomkabili Kamishna Mkuu wa zamani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya na wenzake kurudishwa Mahakama Kuu kwa ajili ya kusikilizwa...
View ArticleRaymond of WCB shows off his 100 millions on Instagram
Raymond from WBC and hit maker of 'Natafuta kiki' has shared a photo of himself holding 100 Million Tanzanian shilings, Earlier Today diamond Platnumz also shared on his Instagram Account a photo of...
View ArticleDUNIANI WAWILI WAWILI KUFANANA ONA RAIS WA DUNIA NA MFANNANO WAKE
Ni Rais Joko Widodo wa Indonesia na Barack Obama wa Marekani.
View ArticleUfafanuzi umetolewa kuhusu mti unaodaiwa kutokelezea sura ya Mwl Nyerere
Kuanzia juzi kumekuwa na habari zilizosambaa kwenye mitandao kijamii kutokea Tengamano Tanga ambapo imedaiwa mti aina ya Mwembe unatokelezea sura ya Mwl Julius Nyerere na upande mwingine Mama Maria...
View ArticleMaster Jay: Tulikuwa Wapenzi Miaka 10 Bila Kujulikana
Akizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, Master Jay alisema walikuwa katika mapenzi ya siri kwa muda wote huo hadi walipoamua kuweka wazi hivi karibuni baada ya watu kuhisi uhusiano wao.“Nilimpenda Shaa...
View ArticleJosephine Mshumbushi: CHADEMA ni Mali ya Mtei, Kimejengwa kwa Misingi ya...
Ameandika Josephine Mshumbushi mke wa Dr.W.Slaa katika ukurasa wake rasmi wa FacebookKwa Vijana wa CHADEMA!Salaam,Miaka 15,iliyopita sikuwahi kujua watoto wangu wataishi kuyasoma maandiko yangu...
View ArticleVijana, Wadau Kumchangia aliyemtukana Rais Magufuli
Vijana, wadau na wanaharakati wamefungua vikundi vya mtandao wa kijamii kwa ajili ya kuchanga fedha za kumsaidia kijana wa Arusha aliyepatikana na hatia ya kumtukana Rais na kuhukumiwa faini ya Sh7...
View ArticleKilio Kwa watumia M-pesa, Tigo Pesa , Airtel Money na Wale wa Kwenye...
Wachambuzi na wadau mbalimbali wametoa maoni yao kuhusu Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2016/17, huku watumiaji wa huduma za fedha kwa njia ya simu wakikumbwa na maumivu wa kodi.BONYEZA HAPA...
View Article