Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Usiku wa Rona mirado hall Ulinoga sanaaaaa

Bi harusi mtarajiwa RonaRona akimpa zawadi mme wake mtarajiwa Rona akipokea fedha kutoka kwa dada yakeMc Dr Cheni akiwajibikaFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM:...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMO WA DALADALA WAINGIA SIKU YA PILI MANISPAA YA MOROGORO

Moja ya magari ya kubeba mizigo likiwa limebeba abiria kutoka Kihonda kuelekea katikati ya mji wa Manispaa ya Morogoro kufuatia madereva na wamiliki wao kufanya mgomo wa kusafirisha abiria kutumia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAWA Yazidi Kuitesa CCM Dar es Salaam...Huyu Ndio Naibu Meya Mpya wa Jiji la...

Diwani  wa Kata ya Kiwalani, Mussa Kafana (Cuf), ameibuka mshindi katika uchaguzi wa Naibu Meya wa Jiji la Dar es Salaam, kwa kumbwaga mpinzani wake kwa kura nne.Uchaguzi huo ulifanyika jana katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOMA Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya April 22, Ikiwemo Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION

PROJECT PROPOSAL ............................................................300,000/=RESEARCH PROPOSAL WRITTING.......................................250,000/=RESEARCH PAPER...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOA ODA YAKO SASA KWA HUDUMA YA MC DR CHENI NI MSHEREHESHAJI BORA ZAIDI TANZANIA

 Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEWIS MBONDE BLOG INADHAMINIWA NA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI...

LEWIS MBONDE BLOG INADHAMINIWA NA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI NA MBADALA.ANAPATIKANA MOROGORO,MTAA WA MAFISA KARIBU NA KANISA LA KAKOBE PIGA +255 717 344 281+255 765 732 242+255 784 732...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jinsi ya Kupunguza Uzito wa Mwili/Unene Kwa Kutumia Saladi

Ulaji saladi ya spinachi, matunda ya apple na parachichi unaweza kumsaidia mtu kuwa na uzito unaotakiwa kiafya.Kabla mtu hajaanza kula mlo wake wa asubuhi, mchana au usiku anashauriwa aanze na mboga za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aina Kumi za Wanawake Ambao Wanaume Wengi Wanavutiwa Kuwa Nao Kimapenzi

1. The childish womanThere are some men that like childish women. They may appreciate the fact that this type of women is cheerful, playful and represents sunshine in their dull or stressful life....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AHSANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YANG LEWIS MBONDE BLOG

"AHSANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YANG LEWIS MBONDE BLOG NAWAPENDENI SANA NAOMBA MUENDELEE KUNIUNGA MKONO.SIKU NJEMA"BY CEO LEWIS MBONDE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Awageukia Watumishi HEWA Ndani ya CCM

Rais John Magufuli juzi aliwazungumzia makada walioihama CCM wakati wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu uliopita, alipoeleza kuwa kuondoka kwao pengine kulimsaidia kupata ushindi. BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Jumamosi ya April 23,2016

 ;

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siwema wa Nay wa Mitego Ahukumiwa Jela Miaka Miwili

Sheria  ya Makosa ya Mtandao ya Mwaka 2015 imemkumba mwanadada ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa staa wa Bongo fleva, Emmanuel Eribariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema anayeishi Mwanza baada ya kuhukumiwa kwenda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bosi wa Bandari Aliyetumbuliwa Jipu Akutwa na Kesi ya Kujibu Kwa Matumizi...

Mkurugenzi Mtendaji wa zamani wa Mamlaka ya Bandari (TPA), Ephraim Mgawe, pamoja na aliyekuwa Naibu wake,  Hamad Koshuma, wanaokabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka wamepatikana na kesi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVCCM Yataka Majipu Ndani ya Chama Yaanze Kujitumbua ......Ni wale...

Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa, Shaka Hamduni Shaka amewataka wanachama wanaojitambua kuwa ni majipu kwa kukisaliti chama kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka jana, waanze kujitumbua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ofisi ya Waziri Mkuu Kutumia Bajaji na Bodaboda

Ofisi ya Waziri Mkuu itatumia usafiri wa bajaji na bodaboda kuendesha shughuli zake kuanzia mwaka ujao wa fedha wa 2016/2017 ikiwa ni mkakati wa kubana matumizi wa Serikali ya Awamu ya Tano. Mpango huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha 17 za snura akifungua zipu kabla ya uzinduzi wa video ya chura jumapili

 Kutana na msanii wako pendwa jumapili hii maisha basement kwenye usiku wa chura, hapo itazinduliwa video mpya ya chura kutoka kwa snura mushi mamaa chura,

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilimanjaro: Watumishi HEWA Wakopa Mamilioni ya Pesa Benki

Msako ulioanzishwa na Rais John Magufuli wa kutokomeza tatizo la wafanyakazi hewa katika utumishi wa umma, umeendelea kuibua mazito, ambapo mkoani Kilimanjaro, Benki ya CRDB imejikuta ikitoa mkopo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania Leo Jumapili ya April 24,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZ:MWANAMUZIKI MKONGWE PAPAA WEMBA AFARIKI DUNIA

 Papa Wemba akiwa jukwaani kwa mara ya mwisho jijini Abidjan, Ivory Coast, usiku wa kuamkia leoMwanamuziki nguli wa Congo Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba maarufu kama Papa Wemba amefariki dunia huko...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live