Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA: Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Christina Lissu Afariki Dunia Jijini Dar

Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum toka Singida, Christina Mughwai Lissu(CHADEMA) amefariki dunia kwa ugonjwa wa kansa.Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa cancer tangu mwaka jana.Tundu Lissu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: MABULA AMGALAGAZA WENJE KESI YA UBUNGE JIJINI MWAZA LEO

Mbunge wa jimbo la Nyamagama,jijini Mwanza pichani akifurahia mara baada ya kutangazwa mshindi wa jimbo hilo na Mahakama kuu ya jijini Mwanza dhidi ya aliyekuwa Mgombea Ubunge wa jimbo hilo kupitia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUBWA FELLA ASEMA KWENYE MUZIKI UCHAWI UPO

Meneja wa Kundi la Yamoto Band Said Fella ‘Mkubwa Fella’ amesema anakubali kwenye tasnia ya muziki hapa nchini uchawi pia upo.Fella ameyasema hayo katika kipindi cha eNews kinachorushwa na EATV siku ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu TFF Akana Tuhuma za Upangaji Matokeo Ligi Daraja la Kwanza Baada ya...

Siku chache tangu kamati ya nidhamu ya TFF iwaadhibu baadhi ya viongozi wa vilabu vya ligi daraja la kwanza na kuvishusha vilabu hivyo kutokana na kupatikana na hatia ya kupanga matokeo ya michezo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Amteua Bwana G. Byakanwa Kuwa Mkuu Wa Wilaya Ya Hai .

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bw. Gelasius Gaspar Byakanwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro.Taarifa iliyotolewa leo Ikulu Jijini Dar es Salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kutoka JWTZ Kuhusu Wanajensi wa Tanzania Kutuhumiwa Kuhusika na...

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania limeshitushwa na kusikitishwa kwa taarifa zinazo lituhumu JWTZ kuhusu unyanyasaji wa kijinsia unaodaiwa kufanywa na Wanajeshi wetu kwa Wananchi wa Jamhuri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NWANKWO KANU ATEMBELEA WAGONJWA WA MOYO TAASISI YA JAKAYA KIKWETE HOSPITALI...

Na Dotto MwaibaleAliyekuwa mchezaji nguli wa timu ya taifa ya Nigeria au Super Eagles, Nwankwo Kanu ambaye pia kwa sasa ni balozi wa makampuni ya StarTimes barani Afrika jana jioni alitembelea Taasisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA MUONEKANO MPYA WA ELIZABETH LULU

  Debe Tupu ndo hupiga Kelele....😊😊😊

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Jumamosi ya April 9,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZZ:MWANAMUZIKI NDANDA KOSOVO AFARIKI DUNIA

Globu ya jamii imepokea taarifa za Mwanamuziki mkongwe aliyewahi kujizolea sifa kem kem katika miondoko ya dansi hapa  nchini wakati akiwa na bendi ya FM miaka ya nyuma kabla ya kujiengua na kuunda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOA ODA YAKO SASA KWA HUDUMA YA MC DR MSHEREHESHAJI BORA ZAIDI TANZANIA

 Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEWIS MBONDE BLOG INADHAMINWA NA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI...

LEWIS MBONDE BLOG INADHAMINWA NA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI NA MBADALA.ANAPATIKANA MOROGORO,MTAA WA MAFISA KARIBU NA KANISA LA KAKOBE PIGA +255 717 344 281+255 765 732 242+255 784 732...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION

PROJECT PROPOSAL ............................................................300,000/=RESEARCH PROPOSAL WRITTING.......................................250,000/=RESEARCH PAPER...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mrema wa TLP Amuomba Rais Magufuli Atimize Ahadi yake ya Kumpa KAZI Kama...

Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour (TLP) taifa, Augustine Mrema amemuunga mkono Rais John Mgufuli kwa kasi yake ya kupambana na ufisadi na kumuomba ampe kazi ili amsaidie kutekeleza jukumu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYEMPIGA CHENGA MAGUFULI, ANASWA TRA

Askari wakisimamia zoezi la kuvunja mlangoMkurugenzi wa Elimu kwa walipa kodi Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA, Richard Kayombo akionesha ndoo zinazotarajiwa kuwekwa mafuta.Sukari na viroba vya kuweka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msanii Mwigine wa Bongo Anayeteketea Kwa Madawa ya Kulevya Huyu Hapa....

Wauza unga kuweni na huruma kwa watanzania wenzetu,yule Dogo Mfaume wa enzi zile za "kazi yangu ya dukani" ndo basi tena sasa hivi kashakua teja....daah vipaji vya ukweli vinazidi kupotea kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Jumapili ya April 10,2016 Ikiwemo Ridhiwani Kikwete...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijana Ukitaka Kuoa Tafuta Mwanamke Mwenye Nyota..Mengine ni Mbwembwe tu..

Kuna kitu kipo lakini watu hawajui au hawjawahi kukifikiria!! Nacho ni Nyota ya mwanamke!! Ndio nyotaLeo nimeambiwa kisa kimoja ambacho kimelipua mawazo yangu yaliyolala kwa kitu ambacho nilshakua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mambo Matatu ya Muhimu Unayoweza Kufanya ili Kumdatisha Mpenzi Wako Bila...

Na Martha MagawaNikikuuliza unapenda kipi kutoka kwa mpenzi wako najua wengi watatoa majibu tofauti tofauti wapo watakao sema, mcheshi, anamvuto napenda anavyotabasamu na vitu vingine kama hivyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msafara wa Rais Magufuli Kutozidi watu 10.....Balozi Mahega Asema Anategemea...

Rais John Magufuli anataraji kusafiri tena kwenda nje ya nchi hivi karibuni akiwa na msafara ambao unawezekana usizidi jumla ya watu 10.Ilimchukua Rais Magufuli siku 153 tangu kuapishwa kwake kufanya...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live