Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION

BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)...................................50,000/=BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)........................25,000/=ADSENSE (BLOGGERS UJIPATIE...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katika hizi picha 7 za vituko kutoka facebook, ipi imetisha?

1Mtandao wa kijamii wa facebook, ni mtandao ambao unaweza kuupa nafasi ya dakika 10 na ukajionea vitu tofautitofauti zikiwemo habari, matukio mbalimbali na vituko au vichekesho pia.Hizi ni sehemu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kuteleza si Kuanguka, Chidi Benz Asaidiwe Anatia huruma sana

Hivi ndivyo Chidi Benz anavyoonekana  kwa sasa.  Katika mitandao ya kijamii Jumamosi iliyopita kulisambaa picha za rapa Chidi Benz ambazo zinamuonyesha jinsi alivyokonda na kupoteza ule mwili wake wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya March 21,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kichanga Mwingine Adaiwa Kufariki Dunia Kwa Uzembe Mkoani Mwanza

Matukio ya wajawazito kupoteza watoto kwa madai ya uzembe wa wahudumu wa afya yameendelea kuugubika Mkoa wa Mwanza baada ya mkazi wa Nyarawambo wilayani Sengerema Tatu Muhangwa, kujifungua na mtoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto Afariki Kwa Kukosa Matibabu..Wazazi Waliamini Maombi Pekee

Mwanafunzi wa darasa la saba Shule ya Msingi Laela A, Ruti Sikapitaamefariki dunia baada ya wazazi wake kukataa kumpeleka hospitali  kwamadai kuwa imani ya dhehebu lao haliruhusu waumini wake  kutibiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Ampongeza Dr. Shein kwa Kushinda Urais Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za pongezi Rais Mteule wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, kufuatia ushindi alioupata katika marudio ya Uchaguzi Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bad News: Msafara wa Kamati ya Bunge Utawala na TAMISEMI Wapata Ajali Mbaya...

WATU watano wamefariki dunia huku nane wamejeruhiwa, katika ajali iliyoyahusisha magari manne, mawili yakiwa katika msafara wa Kamati ya Bunge Utawala na TAMISEMI maeneo ya Kerege, Bagamoyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr. Ali Mohammed Shein Atangazwa Rasmi kuwa Mshindi wa Kiti Cha Urais...

Mgombea wa urais kupitia chama cha CCM Visiwani Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameshinda kiti cha urais kwa jumla ya kura 299,982 awa na asilimia 91.4 ya kura zote halali 328,327 katika uchaguzi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA KALI ZA MREMBO HUDDAH MONROE ANAYEKIMBIZA KENYA

Super Star Huddah downtown Nairobi live!!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atekeleza Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekuwa mtu kwanza kutekeleza agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam la kuhakiki silaha, ambapo bunduki zake mbili aina ya Shortgun na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAJABU MSICHANA ATOKWA DAMU MACHONI

Huyu ni Marnie-Rae Harvey ambaye hutokwa na damu machoni lakini madaktari hawaelewi chanzo chake ni nini.Msichana huyo mwenye umri wa miaka 17 anasema kuwa hawezi kutoka nje na hana marafiki kwa sababu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lucy Mayenga Ajisalimisha....Amuomba Rais Magufuli Ampumzishe Ukuu wa Wilaya

Wakati Taifa likisubiri uteuzi wa wakuu wa wilaya huku wanaoshikilia nafasi hizo wakiwa katika chekeche kwa kuzingatia vigezo vitano, Mkuu wa Wilaya Iramba, mkoani Singida, Lucy Mayenga amemuomba Rais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama Yatupilia Mbali Maombi ya Kuzuia Uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar Es...

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeamuru uchaguzi wa meya na naibu meya wa Jiji la Dar es Salaam, kufanyika leo kama ilivyopangwa. Hakimu Mkazi Mkuu, Warialwande Lema alitoa uamuzi huo jana akijibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Tanzania Jumanne ya March 22,2016

BONYEZA HAPA KUSOMA MAGAZETI MENGINE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwandishi wa Habari Salma Said Asimulia Alivyotekwa

Mwandishi wa habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) na DW, Salma Said amedai alitekwa na wanaume wawili baada ya kumkamata na kumuingiza kwenye gari lao kisha kuondoka naye na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkuu wa Wilaya ya Njombe Sarah Dumba afariki dunia

Mkuu wa wilaya ya Njombe Sarah Dumba amefariki dunia jana jioni ya  baada ya kuugua ghaflaMkuu wa mkoa wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi amethibitisha kutokea kwa msiba huo, na kueleza kuwa marehemu Sarah...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Platnumz Ateketeza Sh.Mil 100 UGHAIBUNI na Familia yake

Kufuru! Ndilo neno pekee linaloweza kuakisi takriban Sh. milioni 100 ambazo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameziteketeza akiwa na msururu mrefu wa wanafamilia wa Wasafi Classic Baby (WCB) barani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zari ni Mjamzito tena??? Tazama alichokiandika Mama ake Diamond

Muda si mrefu sana toka Zari na Diamond Platnumz wamepata mtoto wao wa kwanza kwa jina TIFFAKupitia mtandao wa Instagram Mama wa Diamond Platnumz amepost picha ya pamoja akiwa na Diamond Platnumz...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DR CHENI AMUUNGA MKONO PAUL MAKONDA KATIKA KAMPENI YA KUWEKA JIJI LA DAR SAFI

  Katika kuonekana kukubali kampeni ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mheshimiwa Paul Makonda, ya kuliweka jiji safi la mkoa wa Dar es salaam ambapo kampeni hiyo imepewa jina la#DSMPaulMakonda BONYEZA...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live