Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), Dr. Helen K. Bisimba amepata ajali ya gari katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es salaam. Amekimbizwa hospitali tunaendelea kufuatilia maendeleo yake na kuwajulisha . Pichani juu na chini ndilo gari alilokuwa akisafiria.