Kigogo wa Serikali Amnasa Mkewe Nyumba ya Kulala Wageni Gesti....
Mke wa kigogo mmoja wa serikali Mkoa wa Morogoro ambaye ni mwenyeji wa Wilaya ya Iringa, Kijiji cha Mlangali, Sakina Kisukari, amenaswa akiwa katika nyumba ya kulala wageni (gesti) akiwa na...
View ArticleRais Wa Vietnam, Mhe. Truong Tan Sang Akaribishwa Ikulu, Jijini Dar Leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Joseph Magufuli (wa pili kushoto) akimkaribisha mgeni wake Rais wa Vietnam, Mhe. Truong Tan Sang Ikulu Jijini Dar es Salaam 9 Machi, 2016 kwa...
View ArticleAtupwa Jela Miaka 7 kwa Kumkata Mkewe Sehemu za Siri Ili Apate Mali
Mkazi wa Kata ya Mbugani, Manispaa ya Tabora, Mashaka Maziku (60) amehukumiwa kifungo cha miaka saba jela kwa kosa la kumkata sehemu za siri mkewe kwa imani za kishirikina ili apate mali.Hakimu Joctan...
View ArticleCALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION
BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)...................................50,000/=BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)........................25,000/=ADSENSE (BLOGGERS UJIPATIE...
View ArticleKAMA UNAHITAJI MC WA SHEREHE MC DR CHENI NI CHAGUO SAHIHI KWA SHEREHE YAKO
Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde
View ArticleMapokezi ya Lulu Michael Tanzania yawashtua Afrika Magharibi
Mapokezi ya Elizabeth ‘Lulu’ Michael wiki hii yameishtua Afrika Magharibi.BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleRais Magufuli Afanya Ziara Ya Kustukiza Benki Kuu (BOT) Jijini Dar Es Salaam...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa kaongozana na BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleMwanamuziki Diamond Platnumz Aonyesha Pesa Aliyozovuna Kwenye Show Dubai.....
Diamond ameamua kuwaonesha mashabiki wake madolari aliyoyachuma Dubai wiki hii. Ni mengi!!Staa huyo amepost burungutu sitazilizoshiba za dola mia mia zikiwa juu ya gitaa.
View ArticleLulu: Tuzo Niliyoshinda ni Mpango wa Mungu, Kutokana na Matatizo Niliyopitia...
Mshindi wa tuzo ya Best Movie-East Africa, Elizabeth Michael ‘Lulu’ alieleza hayo mara tu baada ya kutua Dar-es-salaam akitokea Lagos Nigeria na tuzo yake.‘’Kila kitu ambacho kinatokea sasa hivi...
View ArticleGharama ya Mwili Wangu ni Ada ya Watoto London JB
Msanii wa filamu nchini Jacob Stephen maarufu kama JB amesema gharama ya mwili wake ni sawa na kusomesha watoto wawili London.Jb ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano katika kipindi cha E News...
View ArticleMBUNGE ALA KICHAPO CHA MAANA TOKA KWA MKEWE SIKU YA WANAWAKE DUNIANI...
Mwanasiasa mkongwe Moses Wetang’ula Senator wa kaunti ya Bungoma, ambaye pia ni Waziri wa zamani wa mambo ya nje na Waziri wa zamani wa Biashara nchini Kenya. Jumapili ya tar.6 March (siku mbili kabla...
View ArticleWavaa 'Vimini' Wavuliwa Nguo Hadharani Jijini Mbeya
Wasichana wanaovaa nguo fupi za kubana na wavulana wanaovaa milegezo jijini Mbeya , juzi walipata wakati mgumu baada kundi la vijana kuwa BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleRais Magufuli Atoa Kibali Cha Safari Nje ya Nchi Kwa Mawaziri Wawili
Tangu Novemba 5 wakati Dk John Magufuli alipoapishwa, ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Augustine Mahiga pekee waliotoka nje ya nchi, lakini jana Rais aliwaruhusu...
View ArticleLulu Michael Afunguka Baada ya Mtu Kumzushia Kuwa Alihusika Kusababisha Ajali...
Wengi wamefurahia ushindi wa Waigizaji wa Tanzania Lulu pamoja na Richie kwenye tuzo za Africa Magic Viewer’s Choice Awards 2016 na sasa tumeendelea kushuhudia comments na post mbalimbali kwenye...
View ArticleForbes rates Dangote richer than Trump, Abramovich, Oprah put together
Aliko Dangote, president of Dangote group, is now richer than Donald Trump, Republican front runner; Roman Abramovich, owner of Chealsea football club and Oprah Winfrey, the richest black woman, put...
View ArticleSifa za Wanaume Katika Mahusiano na Mapenzi Kutokana na Majina yao
Majina ya wanaume na Sifa zao katika mahusiano yao na mapenzi1. Dennis-mapenzi ya tamthiliya2. Nicolas-muongo3. Albert-domo zege ila mjanja mjanja4. Mathias-anapenda mwanamke kwa muda mrefu5....
View ArticleIt Is Official: Diamond Platnumz Cries After Tiffah's DNA Results In...
Tanzania’s superstar Diamond Platnumz is the biological father of Latifah Dangote, DNA tests conducted on Diamond, Zari Hassan and Latifah have confirmed.Tanzania’s Amani newspaper reports that the...
View ArticleDida wa Times FM Aeleza Kisa cha Kutukanwa na Mke Mdogo wa Mzee Yussuf
Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ amefunguka na kuzungumzia sababu ya kutukanwa katika mtandao wa kijamii na mke mdogo wa Mzee Yussuf, Chiku.Mzee...
View Article