Ministry tells MSD to pull up socks
Deputy Minister for Health, Community Development, Gender, Elders and Children, Dr Hamisi Kigwangalla yesterday gave the Medical Stores Department (MSD) a two week ultimatum to address the...
View ArticlePolisi Yasusia Maiti ya Polisi Aliyeuawa Akifanya Ujambazi...Yaidai...
Jeshi la Polisi mkoa wa Katavi limesusa kusafirisha mwili wa askari polisi, Konstebo Nobart Chacha (25) ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi kifuani wakati akifanya ujambazi.Kwa mujibu wa habari...
View ArticleSerikali Yatoa Vipaumbele Vyake Kwa Wananchi
Serikali imetoa jumla ya Sh. Bilioni 318.406 kwa mwezi wa Januari mwaka 2016, kwa ajili ya miradi ya maendeleo nchini na Sh. Bilioni 538.5 kwa mishahara ya watumishi wa Umma.Akizungumza na waandishi wa...
View ArticleJinsi Rubani Rodgers Gower Alivyouawa Na Majangili
Siku moja baada ya kifo cha rubani Rodgers Gower (37) aliyekuwa anaendesha helikopta inayomilikiwa na Mwiba Holdings, baadhi vyombo vya habari vya kimataifa vimeripoti kuwa huenda bunduki iliyomuua ni...
View ArticleDr. Shein Azindua Miaka 39 ya Kuzaliwa CCM.....Asisitiza Chama Chake Kiko...
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema chama hicho kipo tayari kwa uchaguzi wa marudio Machi 20 kwa lengo la kuhakikisha kinashika dola na waliochukua uamuzi wa kususa ni...
View ArticleSerikali Yakataa Maombi Yote Ya Shule Binafsi Kupandisha Ada Mwaka Huu
Kamishna wa Elimu nchini amekataa maombi yote ya shule za msingi na sekondari zisizo za Serikali kupandisha ada katika mwaka huu wa masomo na ameagiza shule zilizopandisha ada kinyume cha tamko la...
View ArticleAskofu Mpya KKKT Aonya Utumbuaji MAJIPU.......Amtahadharisha Rais Kutumbua...
(Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Frederick Shoo (kulia) na Askofu Mkuu wa KKKT Mstaafu Alex Malasusa baada ya ibada...
View ArticleMahakama Yashusha Rungu kwa Majangili........Yawapiga Kifungo cha Miaka 20 na...
Mahakama ya Wilaya ya Manyoni, mkoani Singida, imewahukumu mtu na kaka yake, kutumikia kifungu cha miaka 20 kila mmoja na kulipa fidia ya sh. milioni 270, baada ya kuwatia hatiani kwa makosa ya kukutwa...
View ArticleWaziri Mkuu Majaliwa na Edward Lowassa Wakutana Uso Kwa Uso
Lowassa na Waziri Mkuu MajaliwaWaziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa katika ibada ya kumuingiza kazini Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Askofu...
View ArticleRed Carpet + Winners Full List : The 2016 Screen Actors Guild Awards.
The SAG Awards 2016 took place last night, this is the only award function which actor vote for best performances of the year. Big names like Idris Elba, Leonardo DiCaprio shone at the event. Look full...
View ArticleUKAWA Wapinduliwa....Kamati Iliyoibua Sakata la Escrow Yakabidhiwa Kwa...
Wabunge wa upinzani, wakiwamo wanaootoka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wamepata pigo la aina yake baada ya jukumu mojawapo muhimu la kamati wanayopaswa kuiongoza kuondolewa...
View ArticleToka Bungeni: Serikali Yaahidi Kuboresha Huduma Za Afya.......Wauguzi...
Serikali imejipanga kutoa huduma bora za afya kwa wananchi kwa kuwawezesha kila mwananchi kupata Bima ya Afya itakayosaidia kupata huduma bora za afya katika zahanati na hospitali mbalimbali.Hayo...
View ArticleCALL NOW +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE...
BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)............................ 60,000/= BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG).................... 45,000/= ADSENSE (BLOGGER...
View ArticleWatu 6 Watiwa Mbaroni Kufuatia Kutunguliwa helikopta Katika Ranchi ya...
Watu sita wanaodaiwa kuwa majangili, wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuitungua helikopta ya doria na kusababisha kifo cha rubani wake katika pori la akiba la Maswa.Kukamatwa kwa watu hao kumekuja...
View ArticleMeli kubwa ya vitabu duniani imetiananga Bandari ya Dar
Kama wewe ni mpenzi wa kusoma vitabu, basi Good news ikufikie kuwa tayari meli ya Logos Hope ya Ujerumani ambayo huzunguka nchi mbalimbali Duniani kusambaza vitabu vya aina tofauti imeshatua Dar...
View ArticleKIJANA AGONGWA NA TRENI AFARIKI DUNIA AKIJIPIGA SELFIE
Kutokana na kitu ‘selfie’ kuonekana kupata nguvu kubwa sana na kupendwa na watu wengi, yako matatizo pia ambayo yanasababishwa na selfie hizohizo, ishu ya ajali na vifo nayo inatajwa.Wiki chache...
View ArticlePicha Mpya za Zari Zilizowaacha Team Wema Midomo Wazi na Kukubali Yaishe
Jana Zari Ameshare Nasi Picha hizi Ambazo Zimezua gumzo mtandaoni kwa wengi kusema amezidi kuwa mcharo utazani binti wa miaka 21 ....Yaani Huwezi Amini kama ni Mama wa watoto wanne mmoja akiwa ni wa...
View Article