KIMENUKA..Wema Sepetu Atimuliwa Kwenye Nyumba..Aliyodai Kainunua Kwa Sh...
Mizigo ikipakizwa kutoka kwenye nyumba hiyo.Musa MatejaUFALME umeanguka! Unaweza kusema hivyo! Hatimaye Miss Tanzania 2006, aliye pia staa wa filamu za Bongo, Wema Isaac Sepetu amedaiwa kutimuliwa...
View ArticleNape Nnauye Awashukia Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Kwa Kurusha...
Serikali imeliagiza Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kutoa maelezo ya kina baada ya kurusha matangazo ya moja kwa moja sherehe za harusi kwa zaidi ya saa mbili, jambo lilihojiwa na wananchi maeneo...
View ArticleExclusive: Bifu zito kati ya Diamond na Rommy Jones
Diamond Platnumz vs Rommy JonesKuna bifu kubwa linaendelea chini chini kati ya Diamond Platinumz na binamu yake na mtu wake wa karibu Rommy Jones.Chanzo cha bifu hilo japo wenyewe hawataki kuweka wazi...
View ArticleRais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo
Rais Magufuli amekutana na kuzungumza na mgombea urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif juu ya mgogoro wa uchaguzi wa ZanzibarMpekuzi blog
View ArticleWalichoongea Rais Kikwete Na Maalim Seif Baada ya Kukuta Ikulu Jijini Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amekutana naMakamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharrif...
View ArticleORODHAYA WAUZAUNGA ILIYOKATALIWA NA WAZIRI
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga amesema hana orodha ya majina ya watu wanaouza dawa za kulevya na hana muda wa kushughulika na hiyo inayoitwa orodha. Badala yake, amesema chini ya...
View ArticleBreaking News: Rais Magufuli Amsimamisha Kazi Mkurugenzi wa shirika la...
Rais wa Jamhuri ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania (RAHCO) Mhandisi Benhadard Tito ili...
View ArticleAjali ya gari kupinduka na kuungua moto,watu 7 kufariki hapohapo
WATU saba wamefariki duniani na wengine kumi wamejeruhiwa katika ajali ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka na kulipuka na kuwaka moto.Akiongea na mtandao huu ofisini kwake Mganga Mkuu wa hospitali...
View ArticleRais Magufuli Atoa Zawadi Za Sikukuu Ya Krismasi Kwa Watoto Wa Kijiji Cha...
Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Sekretarieti ya Mkoa wa Dodoma Bi. Ziada Nkinda (Aliyebeba Mtoto) akikabidhi zawadi za siku kuu ya Noeli (Christmas) zilizotolewa na Mhe. Rais John Pombe Magufuli kwa...
View ArticleCALL NOW +255 658 194 194 FOR MC DR CHENI I T & BUSINESS CONSULTANCY...
BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA).............................. 60,000/= BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)..................... 45,000/= ADSENSE (BLOGGER...
View ArticleRais Magufuli Atoa Zawadi Za Sikukuu Ya Krismasi Kwa Watoto Wa Kijiji Cha...
Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Sekretarieti ya Mkoa wa Dodoma Bi. Ziada Nkinda (Aliyebeba Mtoto) akikabidhi zawadi za siku kuu ya Noeli (Christmas) zilizotolewa na Mhe. Rais John Pombe Magufuli kwa...
View ArticlePolisi Wauana Kwa Risasi Jijini Mwanza Wakiwa Lindoni
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, SACP Justus Kamugisha. ASKARI Polisi wa Kituo cha Polisi Nyamagana jijini Mwanza, Konstebo Daud Masunga Elisha, amemuua askari mwenzake, Konstebo Petro Saimon Matiko...
View ArticleNancy Sumari Dons Maasai Look For Her Dowry And Engagement Ceremony.
Former Miss Tanzania and Miss World Africa 2005 Nancy Sumari got engaged to businessman Luca Neghesti few weeks ago and this weeks it was dowry and official engagement ceremony happened in her home...
View ArticleSupermodel Millen Magese Honored With Humanitarian Award At The 2015...
Tanzanian international supermodel and former Miss Tanzania 2001 Millen Magese last night was awarded Humanitarian Award at the 2015 Music Meets Runway at Eko Hotel in Lagos, Nigeria. Millen got the...
View ArticleTop 10 Overpaid Hollywood Actors of 2015: Forbes.
Johnny Depp has been named the most overpaid movie star in Hollywood by Forbes magazine after posting a string of box office turkeys.Depp, one of the highest-paid actors on the planet with estimated...
View ArticleSerikali Yatangaza ‘Kuminya’ AJIRA za Wageni......Wanaoishi Nchini Bila...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga ameagiza waajiri kote nchini kutowapa ajira wageni kwa kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania.Pia, ameagiza maofisa wa Idara ya Uhamiaji kufanya...
View ArticleMwanaume Tambua Dawa ya Wanawake Wanaokukataa Kwa Sababu Huna Pesa....
Kuna tabia ambayo baadhi ya wanaume wamekuwa waki wa lalamikia wasichana kuwa hawana mapenzi ya Kweli wanapenda pesa tu,sasa minawapa dawa wanaume wenzangu ya kufanya wanapokataliwa na wanawake kwa...
View Article