HakiElimu Yamzima Rais Mstaafu Jakaya Kikwete
TAASISI isiyo ya kiserikali ya HakiElimu leo imezindua ripoti iliyobainisha madudu yaliyofanywa katika utawala wa Awamu ya Nne chini ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete. BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleKasi ya Rais Magufuli Haiko Kwenye Makontena Bandarini tu, imepita na TFF...
Ikiwa bado siku moja Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli atimize mwezi mmoja toka aapishwe kuwa Rais wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, tumeshuhudia mengi...
View ArticleIS CRISTIANO RONALDO Ga.y? See These PHOTOs That Started That Whole Gossip
We all know that Cristiano Ronaldo has dated several women but there are rumours going round social media that he may be in an intimate relationship with Moroccan boxer, Badr Hari, who he flies out of...
View ArticleKANYE WEST ASHINDA TUZO KIATU CHA MWAKA 2015
Kanye West ameshinda tuzo ya kiatu cha mwaka 2015 ‘Shoe of the Year’ kupitia kiatu chake cha adidas Yeezy Boost 350 kwenye tuzo za Footwear News 29th Annual Achievement Awards.“Nasubiri mtoto wangu wa...
View ArticleSerena Hotel Yazushiwa Kufungwa Kwa Kutolipa Kodi
HOTELI ya kimataifa ya Serena jana ilikumbwa na msukosuko wa kuandamwa na waandishi wa habari baada ya kusambaa kwa tetesi kuwa imefungwa kwa amri ya serikali kwa kosa la kukwepa kulipa kodi.Tetesi...
View ArticleUjerumani Yamsifu Raid Magufuli Kwa Kupamvana na Ufisadi Kwa...
Serikali ya Ujerumani imeeleza kufurahishwa na kasi ya kupambana na rushwa na ufisadi ya Rais John Magufuli na kuahidi kumpa ushirikiano katika masuala ya maendeleo.Ujerumani inakuwa nchi ya kwanza ya...
View ArticleKigogo wa Bandari Afariki Kwa Presha...Undani wa Kifo chake Waelezwa Hapa
WAKATI Rais John Magufuli akiwa kwenye zoezi la kutumbua majipu kwenye Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleDeath Has Forgotten Me, Now I Have Lost All Hope to Die....179-Year-Old Man...
An Indian man who claims to be born in 1835 is not only the oldest man in the world, but also the man who has lived the longest since the history of mankind (according to the Guinness World...
View ArticleAfisa TPA: Vigogo Walitumia "Vimemo" Kupitisha Makontena yao ya Ndugu zao na...
Afisa mmoja wa TPA amesema vigogo na watu wakubwa wenye ushawishi serikalini walitumia kampuni za mifukoni na vimemo kupitisha makontena yao bandarini.Afisa huyo amesema vigogo hao walikuwa wakituma...
View ArticleWatorosha Makontena Bandarini Bila Kulipia Ushuru Hawa Hapa...Majina Yatajwa
Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) imetaja majina ya kampuni 43 na wamiliki wa makontena 329 ambayo yalipitishwa bandarini bila kulipiwa na kufichuliwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wiki iliyopita.BONYEZA...
View ArticleHOFU YATANDA : ULINZI WA RAIS MAGUFULI UIMARISHWE,MAJIPU ANAYOTUMBUA VIGOGO...
Rais Dk. John Pombe Magufuli alipofanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Taifa Muhimbili wiki kadhaa zilizopita.Hofu ya kifo! Maisha ya Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...
View ArticleRAIS MAGUFULIA AMKALIA KOONI KIGOGO ALIYETAKA KUWEKEZA KWENYE UFUKWE WA COCO...
Akitumia lugha ya mafumbo na moja kwa moja alisema hata ukiwa na fedha hata ukiwa na uwezo wa kufoji documents jua serikali ipo tena yaBONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleSiku 30 za Kuwa Madarakani Kama Rais , Magufuli Aokoa Sh1trilioni
Rais John Magufuli leo ametimiza mwezi mmoja tangu alipoapishwa kushika wadhifa huo huku akiweka rekodi ya kuokoa kiasi cha Sh997.4 bilioni (karibu Sh 1trilioni) ambazo zilikuwa zitumike kwa matumuzi...
View ArticleGazeti la Dagens Nyheter(Sweden); Magufuli atajwa Kuwachonganisha Marais...
Dagens Nyheter ni gazeti kubwa kushinda yote nchini Sweden, ndio 'Daily News' lao kwa maana ya jina la gazeti.Katika toleo lake la Ijumaa Desemba 4, habari za John Magufuli zimepamba pia gazeti...
View ArticleTreni ya Mizigo Yaanguka....Abiria 1000 Wakwama
ABIRIA zaidi ya 1000 waliyokuwa wakisafiri na treni ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), jana wamekwama mkoani Dodoma na kushindwa kuendelea na safari kutokana kuanguka treni ya mizigo kati ya Kituo cha...
View ArticleBalozi Sefue: Maagizo Ya Rais Magufuli Hayavunji Sheria ya Ununuzi
Katibu mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema maagizo ya Rais Magufuli kutaka fedha zilizokuwa zitumike kwa matumizi yasiyo ya lazima, kupelekwa katika miradi mbalimbali ya maendeleo nchini,...
View ArticleKiama Cha Waliotorosha Makontena 2431 Kimekaribia.....Majina Yao Yameshatua...
Baada ya moto kuwawakia watumishi wa Mamlaka ya Mapato wanaotuhumiwa kujihusisha na ukwepaji kodi wa kifisadi kwenye Bandari Kavu (ICDS) na kupelekea wanane kati ya watuhumiwa 37 kufikishwa mahakamani,...
View ArticleCALL NOW +255 658 194 194 FOR MC DR CHENI I T & BUSINESS CONSULTANCY...
TUNAWEZA KUKUSAIDIA KATIKA MAMBO HAYA CALL NOW +255 658 194 194 FOR MC DR CHENI I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION PROPOSAL FOR DONORS...
View Article