Kanye West ameshinda tuzo ya kiatu cha mwaka 2015 ‘Shoe of the Year’ kupitia kiatu chake cha adidas Yeezy Boost 350 kwenye tuzo za Footwear News 29th Annual Achievement Awards.
“Nasubiri mtoto wangu wa kiume azaliwe ziku yoyote sasa,namuangalia mtoto wangu wa kike na mama yake alivyokuwa tajiri, na mimi sina mpango wakuishiwa kabisa .”
Kanye West amekuwa akiwekeza pesa nyingi kwenye ubunifu na utengenezwaji wa mavazi tofauti duniani.