Dewji wins Forbes` year man award
An American business magazine, Forbes has named a Tanzanian business tycoon Africa’s Person Of the Year (POY), for the first time in its 3-year history of evaluating success stories in the continent....
View ArticleIKULU: KATIBU WA WIZARA AMBAYE NI GOIGOI AJIONDOE MAPEMA
Joto la utawala wa Rais John Magufuli limebadili utendaji kazi wa makatibu wakuu wa wizara mbalimbali waliozoea kukaa ofisini na sasa wanafanya kazi nje ya ofisi na kusikiliza kero za wananchi kwenye...
View ArticleMOTO WA MAGUFULI WACHOMA ZAIDI TRA
Moto wa serikali ya awamu ya tano katika kukomesha upotevu wa kodi kwenye Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) umeendelea kushika kasi baada ya vigogo wengine watatu kusimamishwa kazi jana kuhusiana na...
View ArticleBREAKING NEWS: JIPU LA MADAWA YA KULEVYA, KAMATA KAMATA YAANZA,KIGOGO MMOJA...
Vita dhidi ya Madawa ya Kulevya: Mshukiwa wa siku nyingi, BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleHAPA KAZI TU” YAWAWEKA SAWA WAFANYAKAZI WA DAWASCO
Ofisa Mtendaji wa Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (Dawasco), Mhandisi Cyprian Luhemeja, akizungumza katika mkutano na BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleMISHONO :: DASHIKI ENSEMBLE
This ensemble is inspired from the eighties fashion kutokana na the shoulders puffy details.. na ipo modern for it is a cropped top pamoja na pencil skirt cut with attention to details . This outfit...
View ArticleTukumbushane; Utumishi Wa Umma Na Swali La ' Nani Atauzima Mshumaa Wa Serikali?'
Ndugu zangu,Kuna wakati Mama Maria Nyerere alipata kuulizwa swali la kukera kutoka kwa mwandishi kijana.Mwandishi huyo alimuuliza Mama Maria Nyerere: “Hivi, inakuwaje Mwalimu ameondoka na kuacha...
View ArticleBREAKING NEWS:HAPA KAZI TU YAZUIA MAKONTENA YA BAKHRESSA
Mamlaka ya Mapato Tanzania imezuia kampuni ya Bakhresa kupeleka makontena yake katika bandari yake kavu.Hii ni kutokana na baadhi ya makontena kugundulika kuwa yalipitishwa bila kulipa kodi.
View ArticleManeno ya mtoto wa marehemu Mawazo yaliyowatoa machozi waombolezaji, Lowassa...
Precious, wa kwanza kushoto (msitari wa mbele)Mtoto wa Marehemu Alphonce Mawazo aliyetajwa kwa jina la Precious alikuwa mmoja kati ya waombolezaji waliotoa ujumbe wakati wa kuaga mwili wa baba yake...
View ArticleLowassa, Mbowe Watua Alipouawa Alphonce Mawazo
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na aliyekuwa mgombea urais wa chama hicho Mhe. Edward Lowassa pamoja na viongozi mbalimbali wakitazama eneo ambalo Alphonce Mawazo alifanyiwa kitendo ya...
View ArticleRED ALERT: Two High Walue ISIS Terrorists Arrested While Planning a Terror...
Kenya’s security agencies have foiled an imminent and deadly terror attack by Iranian trained terrorists after they arrested two Kenyans suspected to have been recruited into an Iranian terror cell to...
View ArticleTaarifa Sahihi Kuhusu Habari ya Kukamatwa Mabunda ya Hela Kwa Afisa wa TRA...
Habari zilizosambaa mitandaoni kuhusiana na mabunda ya noti za dola ya Kimarekani kuwa zimekutwa nyumbani kwa mmoja wa watuhumiwa wa mtandao wa wizi bandarini na TRA sio za kweli, Ukweli ni kwamba...
View ArticleHili la Wakuu wa Mikoa/Wilaya Kufuta Likizo ni Kuweka Watu Vizuizini ni...
Siungi mkono na sitothubutu kuunga mkono matamko ya wakuu wa mikoa ya Tanga na Kilimanjaro kufuta likizo za watumishi wa umma kwa mwezi huu wa December bila kutolewa ufafanuzi wa kisheria! Hizi ni...
View ArticleSocialite CORAZON Teases Kenyan Men After Being “Eaten” By a Ugandan Tycoon
Kisii’s s3xiest socialite, Corazon Kwamboka, has decided to tease Kenyan men days after landing in the Country from Uganda, where she had gone to satisfy a youthful tycoon.Just feast your eyes on this.
View ArticleTaarifa Kutoka Azam Kampuni ya Bakhresa Kuhusu Kuhusishwa Kwnye Makontena 349...
Kumekuwa na taarifa zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii kuwa kampuni ya Bakhresa inahusika na upotevu wa Makontena 349 yaliyoripotiwa hivi karibuni kuwa yametolewa bandarini bila kulipiwa ushuru....
View ArticleWaziri Mkuu: Tumedhamiria Kuwatumikia Watanzania...Tutahakikisha Mapato Ya...
WAZIRI MKUU Majaliwa Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kuhakikisha kila kinachokusanywa kama mapato ya nchi BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleZitto Afunguka..Asema Nguvu ya Lowassa ilikuwa Kubwa Sana Kiasi cha...
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema nguvu ya aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa ilivuruga mpango wake wa kupokea wabunge 50 kabla ya Uchaguzi...
View Article