Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Tukumbushane; Utumishi Wa Umma Na Swali La ' Nani Atauzima Mshumaa Wa Serikali?'

$
0
0

Ndugu zangu,
Kuna wakati Mama Maria Nyerere alipata kuulizwa swali la kukera kutoka kwa mwandishi kijana.
Mwandishi huyo alimuuliza Mama Maria Nyerere: “Hivi, inakuwaje Mwalimu ameondoka na kuacha familia yake ikiishi katika hali ya kawaida sana bila kuwa na mali nyingi wakati tunaona watendaji wa siku hizi wana mali na wengine wanasomesha watoto wao nje ya nchi?”



Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853