Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof Ndulu Gavana wa BOT Afichua Siri ya Kilio Cha Fedha Kupotea Mtaani

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Benno Ndulu jana alitolea ufafanuzi hali ya kiuchumi nchini huku akieleza siri ya kilio kinachovuma cha fedha kupotea mtaani na nyingine zikidaiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu 5 mbaroni kwa makosa ya mtandaoni

VIJANA watano wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumdhalilisha Rais Dk. John Magufuli na Jeshi la Polisi kutokana na mauaji ya askari polisi wanne waliouawa na majambazi katika eneo la Mbande na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Septemba 15,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Faiza Ally Afunguka Kumpenda Sugu Kutoka Moyoni..Adai Haogopi Kuchekwa Kwa...

Faiza Ally Amefunguka haya Katika ukurasa wake wa Instagram:Leo nimeamka akili yangu inawaza mapenzi tu... Mkatae mkubali mapenzi yana nafasi kubwa sana ktk maisha... Na mapenzi hayana baunsa...😅 Mimi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Namanga: Edward Lowassa asimamishwa na wananchi wamweleze ugumu wa maisha

Mh Edward Lowassa Mjumbe wa kamati kuu wa chama Cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA ) na Chama kikuu cha Upinzani TANZANIA na Waziri Mkuu mstaafu amesimamishwa na Wananchi wa Namanga Mpakani mwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Congo DRC: Waasi wa Mai Mai wamewateka madereva 5 wa Tanzania, wanataka $...

KUNA TAARIFA KUWA waasi wa Mai Mai wamewateka madereva wa Tanzania watano na kuchoma baadhi ya magari. Wanadai usd 4000 kwa kila Dereva amasivyo watawapiga risasi. Wametoa deadline ya majeshi kuondoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utafiti wa Twaweza: Watazania 96% wanampongeza Rais Magufuli

Taasisi inayojishughulisha na kufanya tafiti mbalimbali nchini ya TWAWEZA. Leo imetoa ripoti inayoonyesha kuwa asilimia 96 ya Watanzania wapongeza utendaji wa Rais Magufuli, huku asilimia 68 wapongeza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kanitafutia Kazi Sasa Nimekua Mtumwa wa Ngono Kwake

Hi guys, niaje?Ni miezi miwili sasa tangu nimeacha kazi kampuni ya zamani, na sasa nipo kwenye kampuni nyingine, hii kazi mpya nimetafutiwa na Boss wangu ambae ndie mkuu wa idara yetu, nimepanda cheo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO YA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

 Spika wa Bunge la Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiingia katika ukumbi wa Bunge kuongoza kikao cha saba cha bunge la kumi na moja leo mjini Dodoma. BONYEZA  HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI ITAHAKIKISHA WALIOTEKWA NYARA KONGO WANAPATIKANA WAKIWA SALAMA

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Mindi KasigaNa. Immaculate Makilika- MAELEZO.Serikali imesema kuwa inashirikiana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ESMA PLATNUMZ ALUSHA DONGO GIZANI KWA WANYAKUNYAKU

Dada wa Diamond ameamua kufunguka ya moyoni na kudai anampenda sana mume wake Petit Man ambae walitengana kwa muda kutokana na kutokuelewa hapa na pale lakini kwa sasa inaonekana wameweka mambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBONZO CHA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Itafanyika lamada hotel.... Apartment (mikumi) chumba namba 38

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbongo Flava Billnass Awa Lulu , Label Kubwa za Mziki Zamgombania Bongo

Msanii wa muziki wa Hip Hop anayefanya vizuri na wimbo ‘Chafu Pozi’ Billnas amesema yupo kwenye mazungumzo ya kuhamia katika label kubwa ya muziki hapa nchini hivi karibuni.Rapper huyo ambaye kwa sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rubby Atangaza Kujisimamia Mwenyewe Baada ya Kutemana na Clouds FM, Adai...

Msanii wa Bongo Fleva, mwanadada Ruby ambaye amewahi kutamba na wimbo wake wa “Na Yule’ amefunguka na kusema kwa sasa amebadili uongozi wake na kujisimamia yeye kwani anataka kusimama yeye pamoja na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 16,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijana Singida anyofolewa ulimi na mke wa jirani yake wakati ‘wakikiss’

Mkazi wa Mandewa, Manispaa ya Singida, Said Mamba (24), amelazwa katika hospitali ya mkoa mjini Singida baada ya kung’atwa theluthi tatu ya ulimi wake na mwanamke waliyekuwa wakinyonyana ndimi. Tukio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Update: Watanzania Wenzetu Waliokuwa Wametekwa huko DRC Congo Wameokolewa

Madereva wa malori kutoka Tanzania waliokuwa wametekwa katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo hatimaye wameokolewa na vikosi vya jeshi la nchi hiyo.Waziri wa mambo ya ndani wa nchi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shilole Aeleza Kilichomsukuma Kupatana na Nuh Mziwanda

Baada ya hivi karibuni Sholole na Nuh Mziwanda kupatana, Shilole amefunguka na kuzungumzia nini kimemsukuma mpaka akapatana na mkali huyo wa wimbo ‘Jike Shupa’.Wawili hao ambao walikuwa wapenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTAFITI:Faida za Kiafya Kwa Wanawake Wenye Makalio Makubwa Hizi Hapa

Licha ya mvuto yaliyonayo yakiwa kwenye jinzi, makalio makubwa ya wanawake ni kinga kwa kisukari na magonjwa ya moyo.Wataalamu wa afya wanadokeza kwamba makalio ni muhimu kwa afya ya binadamu kwani...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live